Said Hashimu Ally💵 (@saidhashimually) 's Twitter Profile
Said Hashimu Ally💵

@saidhashimually

I Come From Nothing and I am building wealth for my family and leaving a legacy for my children || Money is a faithfull servant || Money is an army ||

ID: 1287754804152983553

linkhttps://www.youtube.com/channel/UCAC_d02kU-2EgCZFLIKMpTQ calendar_today27-07-2020 14:21:26

4,4K Tweet

1,1K Takipçi

0 Takip Edilen

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Nilikuwa napiga story na daktari, nikamuuliza kuwa mtu akila sumu ama akiwa poisoned, kuna mechanism gani kwamba akinywa maziwa, sumu inakata/inapungua? Akanijibu kuwa hakuna kitu kama hiko, ni uzushi na mazoea ya watu wenye uelewa mdogo. Aise nilijiona kilaza sana😆

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Kama bado unaweka unga na mchele kwenye vile visado transparent vyenye mifuniko ya blue, ndugu yangu ongeza bidii na maombi, bado una safari ndefu sana.

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Ni jambo la kushangaza sana kwa mwanaume kusherekea birthday party yake... seriously, unawezaje kufurahia siku ambayo matatizo na shida zako zilianza hapa duniani?

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Ukiona unapoteza muda mwingi kutafuta vitu vyako, mfn una-misplace funguo, simu, wallet, Cards, notebook nk. maana'ke wewe ni careless na ni dalili una akili ndogo. Kwanini kila kitu kisiwe in order? Unajua kbs ukihitaji kitu fulani basi lazima kipo sehemu fulani.

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Bahati mbaya ndugu zangu WaTZ hua hatuna utamaduni wa kusoma vitabu. Hata wale wachache wanaosoma vitabu hawa-practice walivyojifunza. Ukitaka kuelewa ile "It's too much bro, it's too much bro" Soma law 21 ya The 48 Laws of Power. Nime-summarize in Swahili 👇

Bahati mbaya ndugu zangu WaTZ hua hatuna utamaduni wa kusoma vitabu. Hata wale wachache wanaosoma vitabu hawa-practice walivyojifunza.

Ukitaka kuelewa ile "It's too much bro, it's too much bro" Soma law 21 ya The 48 Laws of Power. Nime-summarize in Swahili
👇
Ja Leto (@_falsi1ke) 's Twitter Profile Photo

Emotional intelligence is also knowing that you don't need to necessarily say what's on your mind at certain times no matter how true or correct it might be.

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

-Waondolee wanasiasa kujiona wa muhimu -Wape kima halali cha mishahara -Walipishwe kodi stahiki -Wapunguzie posho & marupurupu -Wapunguzie nguvu ya kiutawala -Wazibie mianya ya wizi Waahidi mambo yakibadilika watarudishiwa vyote Nakuapia, nchi inanyooka ndani ya mwaka mmoja tu