SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile
SITE TV

@rssereed

ID: 1230871274362220544

calendar_today21-02-2020 15:06:14

1,1K Tweet

93 Takipçi

49 Takip Edilen

SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Umoja wa wanawake CCM mkoa wa Mbeya kupitia kwa Eng:Maryprisca Mahundi (Mb) mkoa wa Mbeya umemkabidhi tuzo Rais Dkt:Samia ya kutambua jitihada zake za kumwezesha Mwanamke katika Nyanja Mbalimbali Tuzo hiyo amekabidhiwa Spika wa Bunge Dkt:Tulia na kisha RC Mbeya Mwakilishi wa Rais

Umoja wa wanawake CCM mkoa wa Mbeya kupitia kwa Eng:Maryprisca Mahundi (Mb) mkoa wa Mbeya umemkabidhi tuzo Rais Dkt:Samia ya kutambua jitihada zake za kumwezesha Mwanamke katika Nyanja Mbalimbali
Tuzo hiyo amekabidhiwa Spika wa Bunge Dkt:Tulia na kisha RC Mbeya Mwakilishi wa Rais
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt:Tulia Ackson amezindua daraja la Ilomba lililojengwa kwa nguvu za Wananchi ambapo limegharimu Sh: 9,560000/ujenzi wa awali Dkt.Tulia pia amechangia Sh: 2,000,000/ ili kuongeza kasi ya kumalizika haraka

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt:Tulia Ackson amezindua daraja la Ilomba lililojengwa kwa nguvu za Wananchi ambapo limegharimu Sh: 9,560000/ujenzi wa awali Dkt.Tulia pia amechangia Sh: 2,000,000/ ili kuongeza kasi ya kumalizika haraka
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt:Samia Suluh Hassan kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa zawadi za sikukuu ya Christmass kwenye kituo cha kulea watoto Yatima kilichoko Iwambi kinachomilikiwa na Kanisa la KKKT. Vilivyotolewa ni Mbuzi(2)mchele maharage na mafuta

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt:Samia Suluh Hassan kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa zawadi za sikukuu ya Christmass kwenye kituo cha kulea watoto Yatima kilichoko Iwambi kinachomilikiwa na Kanisa la KKKT. Vilivyotolewa ni Mbuzi(2)mchele maharage na mafuta
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

#ACHENIMAJUNGU TUFANYEKAZI Leo Disemba 24 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt. Tulia Ackson akiwa na Wenyeviti wa CCM kata mtaa na wilaya amewataka Wananchi kuacha tabia za kuendekeza majungu na badala yake wajikite katika kujenga taifa.

#ACHENIMAJUNGU TUFANYEKAZI
Leo Disemba 24 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt. Tulia Ackson akiwa na Wenyeviti wa CCM kata mtaa na wilaya amewataka Wananchi kuacha tabia za kuendekeza majungu na badala yake wajikite katika kujenga taifa.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Comrade Juma Homera pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busokelo Bi Loema Peter akikagua jengo la kuhifadhi maiti(Motuary) na jengo la wodi ya wagonjwa wa upasuaji la wanaume katika Hospitali ya wilaya ya Busokelo leo Dec:28

Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Comrade Juma Homera pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busokelo Bi Loema Peter akikagua jengo la kuhifadhi maiti(Motuary) na jengo la wodi ya wagonjwa wa upasuaji la wanaume katika Hospitali ya wilaya ya Busokelo leo Dec:28
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

"Kuna Baadhi ya wakuu wa shule wanawalazimisha walimu wa kike kufanya nao Mapenzi huku wakiwatishia kuwahamisha wasipowakubalia,Mmoja tulimkamata na tayari Mkurugenzi amemuondoa Kazini.Nina laani vikali Tabia hiyo tukikukamata hatutakuacha" RC Homera akikagua Madarasa Mbeya jiji

"Kuna Baadhi ya wakuu wa shule wanawalazimisha walimu wa kike kufanya nao Mapenzi huku wakiwatishia kuwahamisha wasipowakubalia,Mmoja tulimkamata na tayari Mkurugenzi amemuondoa Kazini.Nina laani vikali Tabia hiyo tukikukamata hatutakuacha"
RC Homera akikagua Madarasa Mbeya jiji
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

#NEWS Spika wa Bunge la Tanzania Dkt:Tulia Ackson leo Dec:29,2022 amezindua zoezi la ujenzi mpya wa madarasa ya kidato cha tano na sita kwa kuchangia mifuko 100 ya saruji yenye thamani ya Shilingi 1,500,000.00 katika Shule ya Sekondari Iganzo iliyopo kata ya Iganzo Jijini humo.

#NEWS Spika wa Bunge la Tanzania Dkt:Tulia Ackson leo Dec:29,2022 amezindua zoezi la ujenzi mpya wa madarasa ya kidato cha tano na sita kwa kuchangia mifuko 100 ya saruji yenye thamani ya Shilingi 1,500,000.00 katika Shule ya Sekondari Iganzo iliyopo kata ya Iganzo Jijini humo.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewakikishia wanafunzi waliofaulu kujiunga na elimu ya sekondari mkoani humo wataingia madarsani 2023 bila tatizo Madarasa yamejengwa ya kutosha kupitia fedha za tozo na mfuko wa Rais Samia #pochilaMama Idadi ya waliofaulu ni 45595 kati ya 51104

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewakikishia wanafunzi waliofaulu kujiunga na elimu ya sekondari mkoani humo wataingia madarsani 2023 bila tatizo Madarasa yamejengwa ya kutosha kupitia fedha za tozo na mfuko wa Rais Samia #pochilaMama Idadi ya waliofaulu ni 45595 kati ya 51104
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewahakikishia wanafunzi waliofaulu kujiunga elimu ya sekondari mkoani humo wataingia Madarasani 2023 bila tatizo Madarasa yamejengwa ya kutosha kupitia fedha za tozo na mfuko wa Rais Samia #pochilaMama Idadi ya waliofaulu ni 45595 kati ya 51104

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewahakikishia wanafunzi waliofaulu kujiunga elimu ya sekondari mkoani humo wataingia Madarasani 2023 bila tatizo Madarasa yamejengwa ya kutosha kupitia fedha za tozo na mfuko wa Rais Samia #pochilaMama Idadi ya waliofaulu ni 45595 kati ya 51104
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Spika wa Bunge la Tanzania Dkt.Tulia Ackson amewaasa Wananchi wa Kata ya Ruanda na Jiji la Mbeya kuzingatia Usafi katika maeneo yao ili kulinda hadhi ya jiji. Ameyasema hayo wakati akiwaongoza wananchi kufanya usafi ambapo amesikitishwa na mlundikano wa taka ambazo hazijazolewa.

Spika wa Bunge la Tanzania Dkt.Tulia Ackson amewaasa Wananchi wa Kata ya Ruanda na Jiji la Mbeya kuzingatia Usafi katika maeneo yao ili kulinda hadhi ya jiji.
Ameyasema hayo wakati akiwaongoza wananchi kufanya usafi ambapo amesikitishwa na mlundikano wa taka ambazo hazijazolewa.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

#News "Katazo la kuzuia mikutano ya kisiasa limeondolewa rasmi, Wajibu wa Serikali ni kuwalinda mfanye mikutano yenu salama. Nendeni kafanyeni siasa za kistaarabu,kaonyesheni changamoto zilipo nakubali kukoselewa"Dkt.Samia Suluhu Hassan #Tukutanesite #tukutanekazini KutokaIkulu

#News "Katazo la kuzuia mikutano ya kisiasa limeondolewa rasmi, Wajibu wa Serikali ni kuwalinda mfanye mikutano yenu salama. Nendeni kafanyeni siasa za kistaarabu,kaonyesheni changamoto zilipo nakubali kukoselewa"Dkt.Samia Suluhu Hassan
#Tukutanesite #tukutanekazini
 KutokaIkulu
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera ameongoza kikao cha bodi ya Barabara mkoa wa Mbeya 2022/2023.Kikao hicho kimejadiri maendeleo ya ujenzi wa Majengo ya Uwanja wa Ndege Songwe Airport kadharika njia mbadala za kutatua changamoto za Barabara Mkoani Mbeya chini ya TANROADS na TARURA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera ameongoza kikao cha bodi ya Barabara mkoa wa Mbeya 2022/2023.Kikao hicho kimejadiri maendeleo ya ujenzi wa Majengo ya Uwanja wa Ndege Songwe Airport kadharika njia mbadala za kutatua changamoto za Barabara Mkoani Mbeya chini ya TANROADS na TARURA
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Kyela ianze kuzitumia Mil:30 kujenga Shule ya Cacao Girls Sec:School,Ni baada ya kutolewa na Taasisi ya Tulia Trust kwaajiri ya ujenzi wa Bweni la shule ya Sekondari Ipinda na kukaa zaidi ya mwaka bila kutumika.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Kyela ianze kuzitumia Mil:30 kujenga Shule ya Cacao Girls Sec:School,Ni baada ya kutolewa na Taasisi ya <a href="/TuliaTrust/">Tulia Trust</a> kwaajiri ya ujenzi wa Bweni la shule ya Sekondari Ipinda na kukaa zaidi ya mwaka bila kutumika.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Homerajr(katikati) akiwa na Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Tanzania Dkt:Dr. Tulia Ackson (kulia) wakipokea msaada wa mahitaji kutoka kwa Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Mh:Simbachawene kwaajiri ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea Jan:7,2023.

Mkuu wa mkoa wa Mbeya <a href="/JumaHomera/">Homerajr</a>(katikati) akiwa na Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Tanzania Dkt:<a href="/TuliaAckson/">Dr. Tulia Ackson</a> (kulia) wakipokea msaada wa mahitaji kutoka kwa Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Mh:Simbachawene kwaajiri ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea Jan:7,2023.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

#News Ni Mapokezi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh:Kassim Majaliwa Majaliwa ambaye amewasili tayari Mkoani Mbeya na kupokelewa na Mwenyeji wake @Jumahomera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwaajiri ya ziara ya Kikazi ya siku mbili kwa wilaya ya Mbeya na Mbarali. #Tukutanesite

#News Ni Mapokezi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh:<a href="/KassimMajaliwa_/">Kassim Majaliwa Majaliwa</a> ambaye amewasili tayari Mkoani Mbeya na kupokelewa na Mwenyeji wake @Jumahomera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwaajiri ya ziara ya Kikazi ya siku mbili kwa wilaya ya Mbeya na Mbarali.
#Tukutanesite
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

"Serikali imewakubalia Wananchi wa Mbarali, Kwa wale ambao wamelima tutawaacha watumie ardhi hiyo mpaka watakapovuna mazao yao kisha baada ya hapo watalipwa fidia na kutafuta maeneo mengine ya kuishi.Lazima Raia wetu waishi vizuri pia hifadhi zetu zibaki salama" @KasimMajaliwa

"Serikali imewakubalia Wananchi wa Mbarali, Kwa wale ambao wamelima tutawaacha watumie ardhi hiyo mpaka watakapovuna mazao yao kisha baada ya hapo watalipwa fidia na kutafuta maeneo mengine ya kuishi.Lazima Raia wetu waishi vizuri pia hifadhi zetu zibaki salama" @KasimMajaliwa
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mgogoro wa mpaka baina ya Hifadhi ya Taifa RUAHA na Wananchi wilayani Mbarali hatimae umefika ukomo baada ya Serikali kutangaza kulifuta tangazo No:28 maarufu kama #GN28 badala yake itatoa tangazo lingine jipya litakaloendana na uhalisia wa vijiji vilivyoondolewa na vinavyobaki.

Mgogoro wa mpaka baina ya Hifadhi ya Taifa RUAHA na Wananchi wilayani Mbarali hatimae umefika ukomo baada ya Serikali kutangaza kulifuta tangazo No:28 maarufu kama #GN28 badala yake itatoa tangazo lingine jipya litakaloendana na uhalisia wa vijiji vilivyoondolewa na vinavyobaki.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

Mkoa wetu wa Mbeya tumeendelea kupunguza Idadi ya vifo vinavyotokana na Uzazi kwa watoto wachanga Mwaka 2019 tulikuwa na #vifo75 lakini mwaka 2022 tumekuwa na #vifo65 ni mafanikio makubwa.Tutaongeza vituo vya kutolea huduma za Dharula mkoani kwetu Rc Homera akizindua kikao M-Mama

Mkoa wetu wa Mbeya tumeendelea kupunguza Idadi ya vifo vinavyotokana na Uzazi kwa watoto wachanga Mwaka 2019 tulikuwa na #vifo75 lakini mwaka 2022 tumekuwa na #vifo65 ni mafanikio makubwa.Tutaongeza vituo vya kutolea huduma za Dharula mkoani kwetu
Rc Homera akizindua kikao M-Mama
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

#NEWS Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amefanya ziara ya kushtukiza katika Ghala za kuhifadhia Mbolea jijini Mbeya na kubaini changamoto ya Uhaba wa uwepo wa Mbolea ya kukuzia, unaotokana na baadhi ya makampuni kuzifungia ndani ya Godauni badala ya kuzisambaza kwa Wakulima.

#NEWS Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amefanya ziara ya kushtukiza katika Ghala za kuhifadhia Mbolea jijini Mbeya na kubaini changamoto ya Uhaba wa uwepo wa Mbolea ya kukuzia, unaotokana na baadhi ya makampuni kuzifungia ndani ya Godauni badala ya kuzisambaza kwa Wakulima.
SITE TV (@rssereed) 's Twitter Profile Photo

#NEWS Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mbeya ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa Homerajr imeongoza zoezi la Upandaji miti kata ya Mwansekwa Halmashauri ya jiji la Mbeya ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Makam wa Rais Dkt:Philip Mpango ya kutunza na kuhifadhi mazingira nchini.

#NEWS Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Mbeya ikiongozwa  na Mkuu wa Mkoa <a href="/JumaHomera/">Homerajr</a>  imeongoza  zoezi la Upandaji miti kata ya Mwansekwa Halmashauri ya jiji la Mbeya ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Makam wa Rais Dkt:Philip Mpango ya kutunza na kuhifadhi mazingira nchini.