๐’๐ก๐ข๐ ๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐ญ๐จ๐ฑ๐ข๐ง ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@paschal_iam) 's Twitter Profile
๐’๐ก๐ข๐ ๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐ญ๐จ๐ฑ๐ข๐ง ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@paschal_iam

๐‘๐จ๐š๐ ๐ญ๐จ 2๐Š ๐Ÿ๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ๐ž๐ซ๐ฌ

ID: 1747290226316206080

linkhttps://youtube.com/@jida-tz?si=h7IWoD_Gx-hVjDxr calendar_today16-01-2024 16:10:56

19,19K Tweet

1,1K Takipรงi

1,1K Takip Edilen

Masterplan๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@master_plan7) 's Twitter Profile Photo

Sema ile Crip Mchungaji Wenu Amejimaliza sana Anasema Mkitoka hapo Nyie Mnaenda Kugombania Daladala mi naingia kwenye Chuma Mnaenda kwenye nyumba za Kupanga mi naenda kulala kwenye Kasri haya Majigambo ya hovyo Huwezi kuyaskia kwa MWAKASEGE.

DIGGALLER๐Ÿ’ฏ (@danford_tz) 's Twitter Profile Photo

Mtu tumekubaliana leo jumamosi anaibuka kiumeni, Muda umefika hajibu message. Ila hii jinsia ikiamua kukutesa kisaikolojia lazima upate trauma kddk๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Fundi viatu na mabegi ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mshona_viatu) 's Twitter Profile Photo

Mungu niepushe na changamoto zote zile ambazo ziko nje ya uwezo wangu na unajua kabisa sitoziweza kuzitatua pasipo mkono wako Good morning wasakatonge wenzangu

Mungu niepushe na changamoto zote zile ambazo ziko nje ya uwezo wangu na unajua kabisa sitoziweza kuzitatua pasipo mkono wako 

Good morning wasakatonge wenzangu
Fundi viatu na mabegi ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mshona_viatu) 's Twitter Profile Photo

Kuna muda kuchagua ukimya dhidi ya malumbano haina maana kuwa wewe ni udhaifu isipokuwa ni njia moja wapo ya kuthibitisha vile unajitambua kuliko wao Habari za asubuhi wasakatonge wenzangu

DIGGALLER๐Ÿ’ฏ (@danford_tz) 's Twitter Profile Photo

Huyu kamaliza form six juzi tu kuchati kwenyewe hajui sehemu yenye โ€œSโ€ anaweka โ€œXโ€ ila jinsi ananisumbua mamaee๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ NB;Picha hapo chini haihusiani na tweet

Huyu kamaliza form six juzi tu kuchati kwenyewe hajui sehemu yenye โ€œSโ€ anaweka โ€œXโ€ ila jinsi ananisumbua mamaee๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

NB;Picha hapo chini haihusiani na tweet
Jane (@jayii22) 's Twitter Profile Photo

Elon musk ,Bill Gates, mark zuckerburg, Aliko Dangote, my self and other billionaries Tunapenda kuwatakia happy wednesday๐Ÿซถ๐ŸŒน

Dullah_theKing๐ŸŽง (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Nafika kwa Mumama wa Mihogo nakuta imebaki mitatu tuu, namwambia aniuzie hiyo hiyo ananijibu ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ "SIKOPESHI" Daah huyu Mumama hawajali kabisa wateja wake wa Kudumu ๐Ÿ˜ฅ