PARLA (@parlabc) 's Twitter Profile
PARLA

@parlabc

Entrepreneurs:Business constant and analysts | Farmer| fan @Barcelona and @ChelseaFc

ID: 1363225915845578752

calendar_today20-02-2021 20:36:24

7,7K Tweet

364 Takipçi

1,1K Takip Edilen

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Viashiria vya kuwa uko kwenye safari ya kuamka kiroho; Utaanza kuziona nambari mbalimbali zinazojirudia(Angel Numbers); 1111,111,444,888,1212,1010 etc. Utaanza kujikuta kupenda na kuvutiwa zaidi na vitu vya asili. Utaanza kutambua kuwa mafundisho mengi unayoyajua ni uongo.

Viashiria vya kuwa uko kwenye safari ya kuamka kiroho;

Utaanza kuziona nambari mbalimbali zinazojirudia(Angel Numbers); 1111,111,444,888,1212,1010 etc.

Utaanza kujikuta kupenda na kuvutiwa zaidi na vitu vya asili.

Utaanza kutambua kuwa mafundisho mengi unayoyajua ni uongo.
🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Utaanza kujiona na kujihisi mpweke zaidi na uko mwenyewe. Utaanza kujiweka mbali na kujitenga na watu pamoja na marafiki ama ndugu utakaoona hawaelewi kitu unavhokipitia. Utaanza kuona watu na vitu tofauti na vile ulivyokuwa unavyoona hapo awali, utagundua mengi ni illusion tu.

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Ni viongozi wazuri kiasilia kwasababu ni watu wenye upendo na kujali watu. Kwao kujitegemea na kuwa huru na maisha yao ni mission yao namba moja. Ni watu wenye mapenzi mengi, wanapenda kusafiri na matumizi makubwa ya vitu.

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Wanashauriwa kujikumbuka na wao kipindi wakiwa bize kutatua matatizo ya watu. Wanaweza kufanikiwa zaidi endapo wataendesha ama kufungua biashara au huduma zitakazokuwa ndani ya mzunguko unaohusiana na kusaidia wengine pia. Nje na hapo huwa watu wasioshaurika kirahisi na kiburi!!.

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Kuna siku utavuka hilo jaribu na shida unazopitia wakati huu na utakubaliana na mimi kuwa kila kitu kilichokuwa kinatokea kwenye maisha yako kilikuwa kinatokea kwa sababu. Utajitizama jinsi ulivyokuwa mtu bora na ngangari kuliko nyakati zako zote za maisha yako.

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Palm reading; Iko tofauti kidogo na astrology, hii hutumia alama za mistari zilizopo kwenye viganja. Ina vitu vyake ambavyo utavifahamu pekee kupitia elimu hii. Mfano; inaaminika ukiwa na mstari mfupi sana wa maisha una possibility kubwa ya kuishi maisha mafupi😂

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

How to protect your spirit. 1. Kaa mbali na vitu au watu ambao sio salama kwa spirit yako. Wambea, wachawi, wanafiki, etc. 2. Acha tabia zisizo salama kwa spirit yako, kununua malaya, kufanya punyeto mata kwa mara, kufanya mapenzi kinyume na maumbile etc. 👇👇👇👇

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Ushauri, haijalishi unapoteza mtu wa muhimu kiasi gani, kitu, kazi au chochote, jua kuondoka kwa kitu chengine ni maandalizi ya nafasi ya kuja kwa kitu chengine. Sio rahisi kuacha ila ni muhimu pale inapohitajika bila kujali ulitamani kiasi gani kuendelea na hiko kitu.

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

Nguvu ya MWANAUME Inatoka Katika Hizi Sehemu 4: 1). Pesa 2). Ukimya 3). Connection—(a.k.a Network) 4). Kutumia Muda Mwingi Kuwa Peke Yako PS: Zingatia zaidi Namba 2 & 4!

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

1). Haongei sana 2). Akipata Wazo anaingiza kwenye ACTION Haraka 3). Muda Mwingi yupo Peke yake Hizo ni Sifa Kuu 3 za Mtu HATARI Zaidi!

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Hutakuja kujua una nguvu kiasi gani mpaka pale utakapomsamehe mtu ambaye hajawahi kukuomba msamaha na kuukubali msamaha ambao haujawahi kuupokea. Wakati mwengine tunawasamehe wengine si kwa sababu wanastahili msamaha bali tunastahili zaidi kuwa na amani.

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Nishati iliyopo angani ndo inachochea kila kinachoendelea huku chini. Jua, nyota, mwezi etc viko angani. Siku unayozaliwa nishati husika iliyopo angani hujiunganisha na kutengeneza umbo moja lenye sifa ambazo ndo huzaliwa nazo. Mtu aliyezaliwa new moon hafanani na wa full moon.

🕷️ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Ni kulingana na nishati ya mwezi ukiwa mdogo haifanani na ukiwa mkubwa. Hata kasi ya mawimbi baharini hutegemeana na ukubwa umbo la mwezi, fatilia. Mtu aliyezaliwa asubuhi hawezi fanana na aliyezaliwa usiku. Muunganiko wa mambo mengi ndo huunda nishati/tabia uliyozaliwa nayo.

Lucas E. Malembo (@malembole) 's Twitter Profile Photo

Afrika unaweza kuwa na wazo la kujibu changamoto za jamii yako, kwasababu ya kukoswa sapport ya kifedha, kujengewa uwezo n.k wazo lako linakufana wewe unakufa na wazo lako.

LUSAJO (@sajo_mwaihabi) 's Twitter Profile Photo

Nenda kwenye WhatsApp status yako, Kisha reply status kwa wale wateja wako ambao hujawasiliana nao muda mrefu. Utashanga unajibiwa hivi!! "Bora umenitext yaani Kuna kazi nmekumbuka nikupe unifanyie" "Boss ulipotea, pita ofcn kuna issue nikupe" "Hivi bado unauza zile..."

Nenda kwenye WhatsApp status yako, Kisha reply status kwa wale wateja wako ambao hujawasiliana nao muda mrefu.

Utashanga unajibiwa hivi!!

"Bora umenitext yaani Kuna kazi nmekumbuka nikupe unifanyie"

"Boss ulipotea, pita ofcn kuna issue nikupe"

"Hivi bado unauza zile..."