Emanuel Eckson (@emanueleckson) 's Twitter Profile
Emanuel Eckson

@emanueleckson

C'est la vie #Simba #Arsenal

ID: 1308707373079461889

calendar_today23-09-2020 09:59:14

3,3K Tweet

341 Takipรงi

251 Takip Edilen

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini. Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako. Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

China has played a pivotal role in transforming Tanzania's landscape, from roads to railways and energy projects, proving that prosperity can be achieved through collaboration and bold investment. ๐Ÿ‘๐Ÿผ๐Ÿ‘๐Ÿผ Chinese Embassy in Tanzania

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Moja ya vitu ambavyo vinaweza kuwa msingi na siri ya Mafanikio ya China na haisemwi na CULTURE. Mtindo wa maisha unaorithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Kifupi hata Uchapakazi ni sehemu ya Culture. Uvivu ni Culture pia, sijasema mtu.

viola julius (@vwalaviola) 's Twitter Profile Photo

Mapema leo Global Impact Transformation wamehudhuria kikao cha awali kuelekea โ€œUzinduzi wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutekeleza Ajenda ya Wanawake, Amani, na Usalama 2025-29โ€. Kikao hicho kimekutanisha wadau wa maendeleo kutoka serikalini, NGOs, wahisani nk. #WPSAgendaTz #GITImpact #WPS

Mapema leo  <a href="/globalimpactt/">Global Impact Transformation</a> wamehudhuria kikao cha awali kuelekea โ€œUzinduzi wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutekeleza Ajenda ya Wanawake, Amani, na Usalama 2025-29โ€.

Kikao hicho kimekutanisha wadau wa maendeleo kutoka serikalini, NGOs, wahisani nk.
#WPSAgendaTz #GITImpact #WPS
FlavianaMatataFdn (@fmfound) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ“ Tuko Njombe siku ya 4๏ธโƒฃ ya mafunzo ya muundo wa klabu na bango kitita. Mkufunzi kutoka Taasisi ya Elimu anawapa wanafunzi Mbinu muhimu za uongozaji wa clubs pamoja na stadi za maisha ili wakirudi shuleni wawashirikishe wenzao. #FMFProjects #SchoolClubs #StadiZaMaisha

๐Ÿ“ Tuko Njombe siku ya 4๏ธโƒฃ ya mafunzo ya muundo wa klabu na bango kitita.
Mkufunzi kutoka Taasisi ya Elimu anawapa wanafunzi  Mbinu muhimu za uongozaji wa clubs pamoja na stadi za
maisha ili wakirudi shuleni wawashirikishe wenzao. #FMFProjects #SchoolClubs #StadiZaMaisha
viola julius (@vwalaviola) 's Twitter Profile Photo

Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutekeleza Ajenda ya Wanawake, Amani, na Usalama 2025-2029โ€ uliosubiriwa miaka na miaka leo umekamilika na kuzinduliwa hapa #Tanzania ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘๐Ÿพ. Mgeni rasmi; Mh. Dotto Biteko, N.Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati #WPSAgendaTz #GITImpact #WPS

Mpango Kazi wa Kitaifa wa kutekeleza Ajenda ya Wanawake, Amani, na Usalama 2025-2029โ€ uliosubiriwa miaka na miaka leo umekamilika na kuzinduliwa hapa #Tanzania ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘๐Ÿพ.

Mgeni rasmi; Mh. Dotto Biteko, N.Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

#WPSAgendaTz #GITImpact #WPS
bridoz (@bridoz_) 's Twitter Profile Photo

I was rejected by the Uongozi Institute, but Iโ€™ve been accepted into the Aspire Leaders Program in the USA, look at God! ๐Ÿฅบ๐Ÿ™ He knew how much I wanted this course. The best part is, they even fund your project!

FlavianaMatataFdn (@fmfound) 's Twitter Profile Photo

Teachers are on the frontlines of shaping the next generation, yet too many are left without the tools to protect and empower their students.

Chinese Embassy in Tanzania (@chineseembtz) 's Twitter Profile Photo

In October 1942, Japanese Lisbon Maru, a cargo ship with over 1800 British POWs, was sinking near Chinaโ€™s Dongji Island. The local fishermen risked their lives in the Japanese gunfire & saved 384 British POWs. Listen to the daughter of a British survivor.

Ntuli Kapologwe (@tuserod) 's Twitter Profile Photo

Today, I had the honour of serving as Guest of Honour at the 3rd Annual Conference of the Tanzania Human Genetics Organization (THGO) held at MUHAS in Dar es Salaam, commemorating its five-year milestone under the theme: โ€œAdvancing Human Genomic Research for Precision Medicine in

Today, I had the honour of serving as Guest of Honour at the 3rd Annual Conference of the Tanzania Human Genetics Organization (THGO) held at MUHAS in Dar es Salaam, commemorating its five-year milestone under the theme: โ€œAdvancing Human Genomic Research for Precision Medicine in
KOT FM Media (@kotfm_ke) 's Twitter Profile Photo

Kariakoo Derby: Tanzania Football Federation (TFF) sets September 16, 2025, as the date for the Community Shield match pitting champions Yanga against archrivals Simba. #KOTFMKESports

Kariakoo Derby: Tanzania Football Federation (TFF) sets September 16, 2025, as the date for the Community Shield match pitting champions Yanga against archrivals Simba. #KOTFMKESports
January Makamba (@jmakamba) 's Twitter Profile Photo

Congratulations on transforming your creativity into a product and ultimately a business. Iโ€™ll look forward to purchasing some.

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,kilichoketi leo Agosti 21,2025 Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,kilichoketi leo Agosti 21,2025 Jijini Dodoma
MR BEN (@eric__bernard) 's Twitter Profile Photo

Kwenye Siasa akiba ya Maneno muhimu sana... Usishangilie sana Anguko la Mwanasiasa ukamaliza... Wanasiasa huwa wana tabia ya Kushuka na Kupanda kimaajabu sana!!!

mhd (@mhdhamad) 's Twitter Profile Photo

Even without the nomination, your service and dedication speak louder than politics. We celebrate you today and always. ๐Ÿซถ๐Ÿฝ

Even without the nomination, your service and dedication speak louder than politics. We celebrate you today and always. ๐Ÿซถ๐Ÿฝ
hamza Lule (@hamzaalbhanj) 's Twitter Profile Photo

Bro to Young Bro Kama hauna Surname ya Maana Tambua maisha ni mchakato Inaweza kukuchukua miaka 3-5 kupata uhakika wa Bills na mandinga Kitu muhmu ni subira na kucheza kwenye zone yako na kuhakikisha una mwanamke sahihi hawa mjini Mjin sana watakufelisha Maisha hayataki haraka