Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile
Rastafarian culture

@ireneigora

Take it Easy I didn't mean to hurt you 🧎🤥

ID: 1549241276305915906

calendar_today19-07-2022 03:54:57

186,186K Tweet

102,102K Takipçi

4,4K Takip Edilen

Sonnino⚡ (@sonnino123) 's Twitter Profile Photo

Elimu na Ushirikiano wa Kweli kwa Vijana Kupitia #TangaYetu Awamu ya Pili, mradi huu kwa kushirikiana na Gift of Hope Foundation hauishii kutoa onyo tu bali unawapa vijana maarifa, mitandao ya kusaidiana na mbinu za kujilinda wao na wenzao dhidi ya madhara ya dawa za kulevya,

Elimu na Ushirikiano wa Kweli kwa Vijana 
Kupitia #TangaYetu Awamu ya Pili, mradi huu kwa kushirikiana na Gift of Hope Foundation hauishii kutoa onyo tu bali unawapa vijana maarifa, mitandao ya kusaidiana na mbinu za kujilinda wao na wenzao dhidi ya madhara ya dawa za kulevya,
Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Sijawahi vaa wigi katika maisha yangu Ila kwa jinsi Wanawake wanavoyaweka miongoni mwa basic needs zao I have to try it may be I will yana kitu cha ziada😹😹

Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Mwaka 2015 ikiwa imebaki miezi michache kabla ya mkutano mkuu wa CCM kuchagua mgombea wa kukinadi chama chao kama mgombea urais, huko Lushoto mkoani Tanga kulikuwa na mkutano mzito. Mkutano huu ulifanyikia nyumbani kwa hayati rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa

Mwaka 2015 ikiwa imebaki miezi michache kabla ya mkutano mkuu wa CCM kuchagua mgombea wa kukinadi chama chao kama mgombea urais, huko Lushoto mkoani Tanga kulikuwa na mkutano mzito.

Mkutano huu ulifanyikia nyumbani kwa hayati rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa
Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAVUNJA REKODI KATIKA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA NISHATI NCHINI. Kutokana na umuhimu wa nishati katika kuendesha shughuli za maendeleo ya kijamii na kiuchumi, Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kusimamia kwa nguvu utekelezaji wa miradi ya kuzalisha na

Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

ILANI YA CCM 2025–2030: KUIMARISHA UFUGAJI WA KISASA NCHINI. Katika kipindi cha 2025 hadi 2030, Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepanga kuimarisha sekta ya mifugo kwa kuhakikisha wafugaji wanapata maeneo rasmi na huduma muhimu kwa ajili ya shughuli za ufugaji wa kisasa.

ILANI YA CCM 2025–2030: KUIMARISHA UFUGAJI WA KISASA NCHINI.

Katika kipindi cha 2025 hadi 2030, Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepanga kuimarisha sekta ya mifugo kwa kuhakikisha wafugaji wanapata maeneo rasmi na huduma muhimu kwa ajili ya shughuli za ufugaji wa kisasa.
Sonnino⚡ (@sonnino123) 's Twitter Profile Photo

Kuna uelewa mdogo sana kuhusu athari za matumizi ya dawa za kulevya. Mradi wa 'Focus on youth, Not the Substance.' unalenga elimu mashuleni, vikundi vya vijana na matamasha ya michezo ~ Said Bandawe, Mkurugenzi Mtendaji wa Gift Hope Foundation. Cc TangaYetu INNOVEX

Kuna uelewa mdogo sana kuhusu athari za matumizi ya dawa za kulevya. Mradi wa 'Focus on youth, Not the Substance.' unalenga elimu mashuleni, vikundi vya vijana na matamasha ya michezo ~ Said Bandawe, Mkurugenzi Mtendaji wa Gift Hope Foundation.

Cc <a href="/TangaYetu/">TangaYetu</a>
<a href="/innovexdc/">INNOVEX</a>
Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Kigamboni Darajani ndo hapakafikiwa Tu maana Umeme wa pale ni WA shida Sana pamoja na kwamba kumejaa viwanda na matank karibia yote ya mafuta yako pale

Sonnino⚡ (@sonnino123) 's Twitter Profile Photo

Ray from Noones App reminds us that the Global South is where the real opportunity lives. With untapped potential, talent, and innovation, Africa is set to shape the future of global growth more than ever before. #BuiltForNoOnes

Ray from <a href="/noonesapp/">Noones App</a> reminds us that the Global South is where the real opportunity lives. With untapped potential, talent, and innovation, Africa is set to shape the future of global growth more than ever before. 

#BuiltForNoOnes
Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Call me when you free I mean ukipata muda Tu I really hate Mtu mnaongea maongezi siriasi alafu pembeni anaongea na Watu wengine maongezi mengine mara aseme ebu subiri kidogo ntakupigia mie mood huwa inaisha sipokeagi tena naonaga kama dharau hivi 😂💔

Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Back in days ilikuwa inikiuma Sana baadae nikaja kugundua Watu hawakunipenda mie walipenda nlivojitoa kwao nlivoishiwa Nikawa sina kazi sikuonaga hata simu zao hata zangu hawakuwa wakishika now days I don't regret kutokumsaidia yeyote watajua wenyewe japo wenye Roho nzuri wapo🫂

Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Kama Una mtu unajuana nae hapa dar Iwe ndugu au Rafiki na anatenga muda wa kuonana nawewe mheshimu Sana huyo mshikilie anakupenda huu mji Watu wako bize Sana 🙌🙌

Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Chumba na sebule nipange niweke nini mimi jamani namiliki Godoro Tu na nguo nalo nimelinunua sabasaba sikuwa nalo naomba mnipongeze Japo nguo bado natunza kwenye dustbin kesho ntanunua sahani na kikombe 🙂💪💪💪

Ms_Frida💎 (@famworld2025) 's Twitter Profile Photo

Today is a Kisinia day Choose your favorite meal and check me through Mawasiliano 0629076937📞 whatsapp :0718893552 Delivery popote Dar es salaam 📍kigamboni

Today is a Kisinia day Choose your favorite meal and check me through 
Mawasiliano
0629076937📞
whatsapp :0718893552
Delivery popote Dar es salaam
📍kigamboni
Classickizito (@classickizito) 's Twitter Profile Photo

The Hadzabe of Tanzania among the last remaining hunter-gatherers on Earth - do not kill for profit, nor excess, nor pleasure. They hunt to sustain life, not to exploit it. Each arrow they craft is a meditation on necessity, precision, and respect.

The Hadzabe of Tanzania among the last remaining hunter-gatherers on Earth - do not kill for profit, nor excess, nor pleasure. They hunt to sustain life, not to exploit it. Each arrow they craft is a meditation on necessity, precision, and respect.
Rastafarian culture (@ireneigora) 's Twitter Profile Photo

Kuhusu swala la Ndoa followers wangu msijali mi na shemeji yenu tumebet kuna Mtia Nia mmoja tumembetia akiingia Tu madarakani Ndoa tunayo asipoingia ntaolewa na Rafiki yake hivo kuweni wavumilivu wali mtakula kama sio wa harusi ni wa Arobaini ya mtoto wetu 😹😹🙂