iHumphreys (@ihumphreyz) 's Twitter Profile
iHumphreys

@ihumphreyz

Believer | Mwalimu | Life Long Learner

ID: 2897439280

calendar_today29-11-2014 13:52:11

193,193K Tweet

63,63K Takipçi

1,1K Takip Edilen

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Ushiriki wa kweli kwenye siasa bado upo chini, kuna watu katika level ya familia wanakatazwa na kujazwa hofu" Fortunata #DemokrasiaYetu

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Kila Oktoba 11, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike. Mwaka 2025, Tanzania yazindua #AjendaYaMsichana2025 ikilenga kumweka msichana katikati ya maendeleo ya taifa kuelekea #Tanzania2050. Ni wakati wa kusikiliza sauti ya msichana. Msichana Initiative

Kila Oktoba 11, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike. Mwaka 2025, Tanzania yazindua #AjendaYaMsichana2025 ikilenga kumweka msichana katikati ya maendeleo ya taifa kuelekea #Tanzania2050.
Ni wakati wa kusikiliza sauti ya msichana.
<a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Takribani watoto milioni 3.2 wa miaka 7–17 hawapo shuleni. Wengi wao ni wasichana. Ndoa za utotoni na mimba za mapema bado ni kikwazo kikubwa. Ni wakati wa kuchukua hatua thabiti kwa maendeleo endelevu. #AjendaYaMsichana2025 Msichana Initiative

Takribani watoto milioni 3.2 wa miaka 7–17 hawapo shuleni.
Wengi wao ni wasichana.
Ndoa za utotoni na mimba za mapema bado ni kikwazo kikubwa.
Ni wakati wa kuchukua hatua thabiti kwa maendeleo endelevu.
#AjendaYaMsichana2025
<a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Asilimia 90 ya ajira duniani zinahitaji ujuzi wa kidijitali, lakini wanawake ni 35% tu ya wahitimu wa STEM. Tukibadilisha hii leo, tunaandaa kizazi cha wanawake wabunifu kesho. #AjendaYaMsichana2025 Msichana Initiative

Asilimia 90 ya ajira duniani zinahitaji ujuzi wa kidijitali, lakini wanawake ni 35% tu ya wahitimu wa STEM.
Tukibadilisha hii leo, tunaandaa kizazi cha wanawake wabunifu kesho. 
#AjendaYaMsichana2025
<a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Ajenda ya Msichana 2025 inalenga kuziba pengo la kidijitali, kiuchumi na kielimu. Kaulimbiu mpya: “Wasichana na Ujuzi kuelekea Dira 2050.” Ujuzi ni silaha na nyenzo ya kujikwamua kijamii na kiuchumi. #AjendaYaMsichana2025 Msichana Initiative

Ajenda ya Msichana 2025 inalenga kuziba pengo la kidijitali, kiuchumi na kielimu.
Kaulimbiu mpya: “Wasichana na Ujuzi kuelekea Dira 2050.”
Ujuzi ni silaha na nyenzo ya kujikwamua kijamii na kiuchumi.
#AjendaYaMsichana2025
<a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Wasichana 250 kutoka mikoa yote wanakutana Dar es Salaam kutoa tamko lao mbele ya viongozi, serikali na wadau. Watadai haki, nafasi na mustakabali wao. Jiunge nasi kusikiliza sauti ya mabadiliko. #AjendaYaMsichana2025 #Tanzania2050 Msichana Initiative

Wasichana 250 kutoka mikoa yote wanakutana Dar es Salaam kutoa tamko lao mbele ya viongozi, serikali na wadau.
Watadai haki, nafasi na mustakabali wao.
Jiunge nasi kusikiliza sauti ya mabadiliko.
#AjendaYaMsichana2025 #Tanzania2050
<a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Kuanzia Septemba 12 hadi Oktoba 5, zaidi ya wasichana 250 watashiriki matukio (satellite events) nchi nzima, kuelekea kilele cha Ajenda ya Msichana 2025 jijini Dar es Salaam. Safari ya mabadiliko inaanzana ni endelevu #AjendaYaMsichana2025 Msichana Initiative

Kuanzia Septemba 12 hadi Oktoba 5, zaidi ya wasichana 250 watashiriki matukio (satellite events) nchi nzima, kuelekea kilele cha Ajenda ya Msichana 2025 jijini Dar es Salaam.
Safari ya mabadiliko inaanzana ni endelevu
#AjendaYaMsichana2025
<a href="/MsichanaUwezo/">Msichana Initiative</a>
Tech & Media Convergency (TMC) (@mediaconvergecy) 's Twitter Profile Photo

𝗕𝗿𝗶𝗱𝗴𝗶𝗻𝗴 𝗟𝗮𝘄 𝗮𝗻𝗱 𝗧𝗲𝗰𝗵𝗻𝗼𝗹𝗼𝗴𝘆: 𝗧𝗠𝗖 𝗮𝘁 𝘁𝗵𝗲 𝟱𝘁𝗵 𝗩𝗜𝗖𝗢𝗡 𝗠𝗼𝗼𝘁 𝗖𝗼𝘂𝗿𝘁 𝗖𝗼𝗺𝗽𝗲𝘁𝗶𝘁𝗶𝗼𝗻 Our Policy & Civic Tech Lead, Mr. Robert Majige, served as one of the Judges during the 5th Victory Attorneys National Moot Court Competition

𝗕𝗿𝗶𝗱𝗴𝗶𝗻𝗴 𝗟𝗮𝘄 𝗮𝗻𝗱 𝗧𝗲𝗰𝗵𝗻𝗼𝗹𝗼𝗴𝘆: 𝗧𝗠𝗖 𝗮𝘁 𝘁𝗵𝗲 𝟱𝘁𝗵 𝗩𝗜𝗖𝗢𝗡 𝗠𝗼𝗼𝘁 𝗖𝗼𝘂𝗿𝘁 𝗖𝗼𝗺𝗽𝗲𝘁𝗶𝘁𝗶𝗼𝗻

Our Policy &amp; Civic Tech Lead, Mr. Robert Majige, served as one of the Judges during the 5th Victory Attorneys National Moot Court Competition
LUSAJO (@sajo_mwaihabi) 's Twitter Profile Photo

"Sitalitaja Jina lako ili nipate UFAHARI!!" Sio maneno yangu, Bali ni maneno ya vijana Mateka Wanne, walio simama mbele ya Mfalme kwa ujasiri na kusema. Issue Ilikuwa hivi 🧵👇🏾 Wakati fulani Mfalme mmoja wa milki ya Babylon aliitwa Mzee Neza aliamua kuuteka Mji wa Yuda.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Ukigundua madini kwenye ardhi unayomiliki, kisheria madini hayo ni mali ya serikali Lakini swali linabaki, je, mwenye ardhi ana utaratibu wa kunufaika, hata kama hataki kushiriki uchimbaji? #HojaYakoMezani HakiRasilimali

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

“Migogoro mingi haianzi kwa wachimbaji wadogo, bali kwa wawekezaji wakubwa,” anasema Mohamed Mustafa. Hapa ndipo changamoto za uchafuzi wa mazingira, uvunjifu wa haki za binadamu na mazingira duni ya kazi zinapoanzia. Ni wakati wa kusisitiza haki na uwajibikaji. #HojaYakoMezani

M.D (🅨) (@regantesla_) 's Twitter Profile Photo

Kwa miaka ya hivi karibuni kumezalishwa watu wengi sana wenye kuamini kuwa mtu kuipinga au kuikosoa Serikali ni kosa linalostahili kifo au lolote baya. Imetokea hata wachache kusema hadharani maneno ya hatari kama vile "Hamtii amri acha mpotezwe" Hizi ni kauli Wanazotoa

Kwa miaka ya hivi karibuni kumezalishwa watu wengi sana wenye kuamini kuwa mtu kuipinga au kuikosoa Serikali ni kosa linalostahili kifo au lolote baya.

Imetokea hata wachache kusema hadharani maneno ya hatari kama vile "Hamtii amri acha mpotezwe"

Hizi ni kauli Wanazotoa
Mwemezi Rwiza, PhD (@swahilibible) 's Twitter Profile Photo

Bwana Mungu nashangaa kabisa, Nikitazama jinsi vilivyo, Nyota, ngurumo, vitu vyote, Viumbwavyo kwa uwezo wako. Roho yangu na ikuimbie, Jinsi Wewe ulivyo mkuu, Roho yangu na ikuimbie, Jinsi Wewe ulivyo mkuu.

Mwemezi Rwiza, PhD (@swahilibible) 's Twitter Profile Photo

Recently, I have been reading about stars, moons, galaxies, and the universe Itoshe tu kusema; MUNGU NI MKUU SANA na Hatupaswi hata kugombana We are too small to be even existing

Tech & Media Convergency (TMC) (@mediaconvergecy) 's Twitter Profile Photo

𝗘𝘅𝗽𝗹𝗼𝗿𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗘𝗰𝗼𝗻𝗼𝗺𝗶𝗰 𝗜𝗺𝗽𝗮𝗰𝘁 𝗼𝗳 𝗗𝗶𝗴𝗶𝘁𝗮𝗹 𝗣𝗹𝗮𝘁𝗳𝗼𝗿𝗺 𝗥𝗲𝘀𝘁𝗿𝗶𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻𝘀 Today, TMC hosted a Focus Group Discussion grounded in our policy dialogue “Offline, Off-Balance: Unmasking the Economic Impact of TikTok, X, and Instagram

𝗘𝘅𝗽𝗹𝗼𝗿𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗘𝗰𝗼𝗻𝗼𝗺𝗶𝗰 𝗜𝗺𝗽𝗮𝗰𝘁 𝗼𝗳 𝗗𝗶𝗴𝗶𝘁𝗮𝗹 𝗣𝗹𝗮𝘁𝗳𝗼𝗿𝗺 𝗥𝗲𝘀𝘁𝗿𝗶𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻𝘀

Today, TMC hosted a Focus Group Discussion grounded in our policy dialogue “Offline, Off-Balance: Unmasking the Economic Impact of TikTok, X, and Instagram
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Unatafuta ardhi bora, salama na halali? Karibu Survland Land Brokerage Tunakuwezesha kununua, kuuza, kupima na kupata ushauri sahihi wa uwekezaji wa ardhi kwa uhalali na usalama 💼 📍Dodoma | ☎️ +255 761 505 726 | IG: @surv_land SURVEYOR ANDERSON

Unatafuta ardhi bora, salama na halali?
Karibu Survland Land Brokerage 
Tunakuwezesha kununua, kuuza, kupima na kupata ushauri sahihi wa uwekezaji wa ardhi kwa uhalali na usalama 💼
📍Dodoma | 
☎️ +255 761 505 726 | 
IG: @surv_land 
<a href="/Magero255/">SURVEYOR ANDERSON</a>