Steph (@ihebojr) 's Twitter Profile
Steph

@ihebojr

sharing things i'm learning through life and other interests

ID: 1662897087858573316

calendar_today28-05-2023 19:02:28

62,62K Tweet

5,5K Takipçi

2,2K Takip Edilen

IN GOD WE TRUST⭐ (@mjombabobjunior) 's Twitter Profile Photo

Kila kitu kwenye maisha yako kinaanzia kwanza kwenye ulimwengu wa roho kabla ya kudhihirika kwenye uhalisia wako , hivyo huwezi pata ushindi wowote ule wa maana huku nje Kama hujashinda kiroho 🤔 .

FIKRA BAAABKUBWA 🙌 (@fikrababkubwa) 's Twitter Profile Photo

Sikuhizi mabinti wanaloga Sana ili wapate wanaume wenye vigezo vyao wawaoe , hivyo Kama kijana kua makini unaweza dhani umepata MTU sahihi kumbe wapi ila ni tunguli tu zimekukolea 🤔 .

MASTER MIND 🤔 (@mtumashuhuri) 's Twitter Profile Photo

Yeyote yule anayefanyiwa wema na kulipiza kwa kufanya mabaya kisiri siri huyo ni shetani na hafai popote pale katika jamii ya watu waliostarabika 🤔 .

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

A reminder: Mhubiri 12:1 "Mkumbuke Muumba wako katika siku za ujana wako, kabla hazijaja siku za taabu, wala haijakaribia miaka utakaposema, 'Sina furaha katika hiyo.'"

Sarafina (@finah_business) 's Twitter Profile Photo

Good morning Imagine juice ya nanasi, tikiti, passion, imo humo😋, inahamasisha sana JUG & GLASS ZAKE 6 TSH 25,000 0755 693 113 📍TUPO UBUNGO EXTERNAL KARIBU NA MARIOTI HOTEL, MIKOA YOTE TUNATUMA Leo tunafungua mchana 📌

Good morning 

Imagine juice ya nanasi, tikiti, passion, imo humo😋, inahamasisha sana

JUG  & GLASS ZAKE 6
TSH 25,000

0755 693 113

📍TUPO UBUNGO EXTERNAL KARIBU NA MARIOTI HOTEL,  MIKOA YOTE TUNATUMA 

Leo tunafungua mchana 📌
Mchizi chizi kichizi (@mchizidamas) 's Twitter Profile Photo

TEAM VS INDIVIDUAL WORK:Thread Hayati Mahatman Ghandih anamsemo unasema “Strength doesn’t come from physical capacity it comes from indomitable will”Maana yake Nguvu zetu hazitokani na mionekano na hali ya miili yetu ila hutokana na nia ya dhati isiyokata wala kukatishwa tamaa👇🏾

Mchizi chizi kichizi (@mchizidamas) 's Twitter Profile Photo

✍🏻Young Afrika wamekamilisha usajili wa kiungo Moussa Balla Conte(21) kutoka SC Sfaxien Dau linakadiriwa kufikia $450K ,Signing fees kwa klabu $300k,Mchezaji $150K mkataba wa miaka miwili na option ya kuongeza mmoja badae Simba Sc hawakuwai kutuma ofa rasmi kwenda SC Sfaxien👇🏾

✍🏻Young Afrika wamekamilisha usajili wa kiungo Moussa Balla Conte(21) kutoka SC Sfaxien Dau linakadiriwa kufikia $450K ,Signing fees kwa klabu $300k,Mchezaji $150K mkataba wa miaka miwili na option ya kuongeza mmoja badae 

Simba Sc hawakuwai kutuma ofa rasmi kwenda SC Sfaxien👇🏾
Steph (@ihebojr) 's Twitter Profile Photo

jumapili kama hii unaenda kanisani na familia, mkitoka mnapitia sehemu mama na mtoto wanapata supu & juice na baba unapata 1,2,3 au 4 ndo siku inaendelea...