Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile
Idris

@idrissultan

“Sijui kitu” 🎬📺🍿🌱

ID: 311028305

linkhttps://linktr.ee/Idrissultans calendar_today04-06-2011 19:32:57

87,87K Tweet

1,5M Followers

637 Following

Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile Photo

Nguo unaipenda sababu ya jinsi inakukumbatia, watu wanavaa jinsi wanavyotaka kukumbatiwa. Wale wa tight ndo hivyo kumbato tight, wa mabwanga ndo kumbato lililo relax. Nakuruhusu kuona ngozi yangu mpaka hapa, ndo wa nguo za wazi na kufunika. Mavazi ni uchokozi. Hisia na tabia ya

Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile Photo

Ubaya ni kwamba wengi wanaamini kuwa mtu anabakwa tu na watu wasiojuana. Wengi sana. Mara nyingi mtu anabakwa na mtu wa karibu sana na inamfedhehesha balaa sababu akisema anaonekana muongo ila akinyamaza pia anakuwa na maumivu ya moyo na hasira. Kwa kifupi hajui wapi pa

Rweyo JR (@jrrweyo) 's Twitter Profile Photo

Demu wangu alibakwa na RAFIKI yangu kisa kaenda kumtembelea kwao wakati mimi nimesafiri nje ya DAR. Mijitu Mieusi hatuwezagi kuvumilia TAMAA YA NGONO sijui kwa nini

James (@jymesjohnes) 's Twitter Profile Photo

Idris % Kubwa binadamu ana umizwa na watu wanaomzunguka hasa katika maisha ya kilasiku. Matukio mengi yanayopaswa kuendeshwa kisheria sisi tunaendesha kwa kufata mila na desturi kwa kuogopa uhasama/ujirani kufa.

Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile Photo

Anza na utu kisha swali. “Pole sana kaka kwa kilichotokea, unaweza kutuambia ulijuaje hili limetokea?” Utu kwanza !

Uncle John (@hekimaneno) 's Twitter Profile Photo

Natamani kila mmoja weti katika.jamii awe anajaribu kuvaa viatu vya maumivu ya mtendwa kabla ya kujadili au kuamua mambo yanayotweza utu wa mtu bila kujali ni nani kwako maana hata kwako yanawezatokea, jifunze kupigana kabla upigwe, kinachoniuma ni kuskia mtoto wa 2y kaharbiwa👇

m.s.a.k.i+ (@raphyrodrick) 's Twitter Profile Photo

IDRIS SULTAN AKABIDHI ZAWADI YA GARI KWA MSHINDI WA TAP TAP HUTOBOA. Tukio la kukabidhi zawadi kwa washindi wetu lilikuwa limejaa furaha, kutoka kukabidhi Boxer mpya hadi zawadi kubwa ya Mazda CX-5. Safari ya ushindi imefika kileleni, shukrani kwa wote walioshiriki!

IDRIS SULTAN  AKABIDHI ZAWADI YA GARI KWA MSHINDI WA TAP TAP HUTOBOA.

Tukio la kukabidhi zawadi kwa washindi wetu lilikuwa limejaa furaha, kutoka kukabidhi Boxer mpya hadi zawadi kubwa ya Mazda CX-5. Safari ya ushindi imefika kileleni, shukrani kwa wote walioshiriki!
SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

IDRIS ATOA ZAWADI YA GARI. Idris Sultan amempa furaha mtanzania mwingine mmoja kwa kubadilisha maisha yake baada ya kumpatia zawadi ya gari mpya. Idris alitoa zawadi hiyo baada ya mtanzania huyo kushinda katoka droo ya Tap Tap Utoboe inayoendeshwa na bank ya Exim Tanzania.

IDRIS ATOA ZAWADI YA GARI.

Idris Sultan amempa furaha mtanzania mwingine mmoja kwa kubadilisha maisha yake baada ya kumpatia zawadi ya gari mpya.

Idris alitoa zawadi hiyo baada ya mtanzania huyo kushinda katoka droo ya Tap Tap Utoboe inayoendeshwa na bank ya Exim Tanzania.
Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile Photo

Leo nimenusa perfume nzuri nyingi sana kwenye launch ya Aromaze slipway, nahisi kama pua zimesema basi baba kwa leo. Sasahivi hadi nikinusa chapati inanukia udi. Pua sijui zimeenda autopilot.

Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile Photo

Kuna muigizaji unaweza mchukia tu kwa kitendo alichomfanyie mtu kwenye movie scene aliyoigiza. Hii ni ishara ya muigizaji mzuri sana. Nani unakumbuka amekukera kuliko wote na ilikuwa scene ipi?

Idris (@idrissultan) 's Twitter Profile Photo

Mabadiliko kidogo, nina kikao masaki kwahiyo kurudi itakuwa mbali, wale niliowaahidi tutaangalia mechi ya Arsenal vs Man City tukipiga zetu Guinness. Tuhamie Hoppipola masaki. Mi nitakuwa hapo saa kumi na moja na nusu 🍻📺⚽️