Eng. Mbwambo (@ialfordmbwambo) 's Twitter Profile
Eng. Mbwambo

@ialfordmbwambo

...Rafiki!

ID: 1268812961822490627

calendar_today05-06-2020 07:52:54

37,37K Tweet

61,61K Followers

2,2K Following

Eng. Mbwambo (@ialfordmbwambo) 's Twitter Profile Photo

Mwanafunz mwaka wa pili UDSM Nimejikita katika utengenezaji wa application na USSD kwa wasio na smartphone ambayo itamuwezesha mtumiaji wa Luku mita kununua umeme toka kampuni za mawasiliano na kwenda moja kwa moja katika Luku mita za majumbani bila kutumia data(MB) #MoGifts2020

Eng. Mbwambo (@ialfordmbwambo) 's Twitter Profile Photo

...Rafiki! Mwogope sana yule anayetengeneza matatizo kwako, kisha akaja na suluhisho la tatizo alilolianzisha, halafu anataka kushangiliwa na kusifiwa kwa kujali kutataua Matatizo aliyoyatengeneza mwenyewe.

US Embassy Tanzania (@usembassytz) 's Twitter Profile Photo

Throw Back Thursday: Did you ever wonder why TAZARA locomotives have the United States of America’s logo of partnership on them? The Tanzania-Zambia Rail Line opened in 1976 nominally to support regional economic integration. Just two years later – by late-1978 – the line’s

Throw Back Thursday:  Did you ever wonder why TAZARA locomotives have the United States of America’s logo of partnership on them?  The Tanzania-Zambia Rail Line opened in 1976 nominally to support regional economic integration.  Just two years later – by late-1978 – the line’s
Eng. Mbwambo (@ialfordmbwambo) 's Twitter Profile Photo

...Kwenye corporates "ukifariki ata hawaulizagi unazikwa wapi". First things first is finding your replacement. Wewe shinda hapo ukiji overwork eti I love my job, Does your job love you.!!? Acha kujipendekeza Acha ku snitches wenzio do your job and go home, no one cares about you

Allan Lucky (Klub A-Z) (@allan_lucky) 's Twitter Profile Photo

Heshima kubwa uliyoijenga kwa kazi yako inaweza kupotea dakika moja tu kutokana na mawazo hovyo na yenye hila dhidi ya binadamu wenzako. Kuna watu kamwe sitowapa tena heshima niliyowahi kuwapa hapo zamani - baadhi yao wanajiita waandishi wa habari wabobevu.

ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana kaka. Wanangu turetweet yangu nidake hiyo simu ndio niongeze mawanda ya kutoa nondo kwa simu nyingi. Haters na wanangu sana. Turetweet hii nishinde sasa, hamnilipagi mjue🤣 Hii naiombeni. Njiwa Store

Chando LAPTOP💻 (@chandolaptop) 's Twitter Profile Photo

Huu ndio mkeka wa laptop wa bei kitonga zaidi Duniani, laptop kuanzia 195,000/= Tu zenye ram 8GB🙌kwa kufungia mwaka 2025. Laptop ya Tano( 5 ) itakushangaza bei yake..

Huu ndio mkeka wa laptop wa bei kitonga zaidi Duniani, laptop kuanzia 195,000/= Tu zenye ram 8GB🙌kwa kufungia mwaka 2025. Laptop ya Tano( 5 ) itakushangaza bei yake..
Eng. Mbwambo (@ialfordmbwambo) 's Twitter Profile Photo

..Watanzania wengi bado hatuna elimu ya kutosha ya uokoaji na huduma ya kwanza. Mara nyingine wenzetu wanapoteza maisha au kupata ulemavu wa kudumu kwa kukosa ufahamu wa jinsi ya kusaidia au kukabiliana na ajali na majanga yanapotokea. Elimu hii ni muhimu, hasa kuanzia mashuleni.

Dr. Kala. MD (@kalegamyeh) 's Twitter Profile Photo

Wakati fulani kwenye dili za hapa na pale nilikutana na kijana mmoja mwenye kama miaka 24 hapo. Baba yake ni mmoja wa freedom fighters wa nchi yetu so kijana alikua vizuri sana. Weekend moja akanialika nikakutana na cycle yake sehemu za starehe. Zile story ambazo zilikua

Eng. Mbwambo (@ialfordmbwambo) 's Twitter Profile Photo

...Kuna mtu kakosea namba ameniomba ruhusa ya siku mbili kazini me nimempa wiki nzima watajuana wenyewe na boss wake🤣🤣🤣