uncle J (@helman_joshua) 's Twitter Profile
uncle J

@helman_joshua

Tech enthusiast | Nature lover | Entrepreneur. YOU HAVE THE POWER TO MAKE THE BEAUTyFULL THINGS.

ID: 3010541557

calendar_today05-02-2015 20:02:45

4,4K Tweet

320 Followers

530 Following

simo_northern47 (@slello47) 's Twitter Profile Photo

Tunawatafuta ndugu zetu Aron Jonas Massawe na Kelvin Indig Mushi ambao waliondoka Toka 3/10/205 Dukani Kariakoo wakiwa wanapeleka simu kwa mteja amabye alikua amefika kanisa la KKKT hapa kariakoo na hadi leo hatujawaona Tumetoa taarifa za Kupotea kwao kituo cha Polisi msimbazi,

Tunawatafuta ndugu zetu Aron Jonas Massawe na Kelvin Indig Mushi ambao waliondoka Toka 3/10/205 Dukani Kariakoo wakiwa wanapeleka simu kwa mteja amabye alikua amefika kanisa la KKKT hapa kariakoo na hadi leo hatujawaona 

Tumetoa taarifa za Kupotea kwao kituo cha Polisi msimbazi,
mtafutaji (@mserasaf) 's Twitter Profile Photo

Ezekiel ‘Top Pen’ Kamwaga Nacho elewa nikwamba siasa sio always kushinda mkifikia muafaka wa maridhiano kwenye lengo linalotakiwa mnaweza ungana kufanya nchi kusonga. Hayo maafakiano yalikuwa yanafika that's why raila alikuwa ana agree situations hiyo Mara kwa Mara siasa always n about maslahi ya raia.

Mturi, C. (@chachawegelo) 's Twitter Profile Photo

Ndio Duniani kila mmoja alikuja kwa kusudi lake,lakini hii haiondoi ukweli kwamba kuna umuhimu wa watu wote kufundishwa 1.UTU 2.HAKI NA WAJIBU 3.THAMANI YA UHAI Kwani hii itapunguza kama sio kuondoa kabisa tabia ya wachache kujipa majukumu ya kimiungu .

criannicas♟️ (@criannicas_) 's Twitter Profile Photo

If you want anything, just start. Stop telling yourself “nitaanza kesho” or “watu watanionaje.” Bro, Your brain will always look for comfort, train it to obey, not to negotiate. Don’t wait for one day. Make it count Day One.

criannicas♟️ (@criannicas_) 's Twitter Profile Photo

Maisha yaenda kasi sana! Nilikua naimagine zamani watu walikua wanaogopa kusema uongo. Ila siku hizi, watu wanaogopa kusema ukweli ili wabaki salama. Yani tunafikia point uongo ndio unathamiwa, kushabikiwa na kupewa kipaumbele kuliko ukweli. The world is flipped.🤦🏾‍♂️

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

INSPEKTA WA POLISI AMWAGA MAZITO YA KUHAKIKISHIA RAIA USALAMA NA USHIRIKIANO OKTOBA 29 Hello , important plz. Mimi ni police rank ya inspector, naomba nikujuze kwamba tumeshajipanga vizuri kuikomboa nchi, wa Tanzania wasiogope kutoka ndani na wala wasiogope hayo magari hivyo

INSPEKTA WA POLISI AMWAGA MAZITO YA KUHAKIKISHIA RAIA USALAMA NA USHIRIKIANO OKTOBA 29 

Hello , important plz. 

Mimi ni police rank ya inspector, naomba nikujuze kwamba tumeshajipanga vizuri kuikomboa nchi, wa Tanzania wasiogope kutoka ndani na wala wasiogope hayo magari hivyo
OSENGO🐐 (@boflexin_) 's Twitter Profile Photo

African presidents are the worst people I've ever seen In this world, so what's the point of oppressing your nation just because you're the one in power. STOP ABDUCTING PEOPLE, and be a good leader to your people.

Cyprian, Is Nyakundi (@c_nyakundih) 's Twitter Profile Photo

Sorry guys I am switching fully to Tanzania for five days. No way Suluhu can send bots to abuse us. I need more graphics in Swahili targetting youths between 18 - 35 years. Time not on our side

(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Anna Tibaijuka Tito Magoti Issa Shivji Sikio la kufa halisikii dawa mama. Hivi hata kwa common sense tu, ni nini haswa kinachojustify ushenzi unaofanywa na serikali ya Samia? Ni nini hicho cha maana ambacho anajaribu kukilinda kwa gharama ya damu za watu na mateso makubwa kiasi hiki? Ni threat gani substantial

Mchokozi !! (@olemtetezi) 's Twitter Profile Photo

Maandamano Ya Tarehe 29/10/2025 Hayahatarishi Amani Ya Nchi Yanahatarisha Amani Ya Watekaji, Wabadhirifu Wa Mali Za Umma, Wana CCM Mtandao Na Wanufaika Wa Mifumo Mibovu Ya Nchi Hii Hivyo Msiwadanganye Watu Kuwa Kuwakosesha Amani Watajwa Hapo Juu Ni Kulikosesha Amani Taifa

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Nipo hapa kuwakumbusha—watu wote waliokamatwa na polisi huu mwezi hukumu yao ipo mikono mwetu. Tukishindwa kuandamana KESHO basi hao wote WANAPOTEZWA kama kuku na hakuna kitu tunaweza kuwafanya wakina MAFWELE kama tulivyoshindwa kuwafanya lolote walipomteka POLEPOLE , HECHE &

ASTRA (@tzastra2014) 's Twitter Profile Photo

Road map ya Dar es salaam kesho tunataka watu zaidi ya 10,000 Vituo vya polis o’bey. Stakishari Airport Ikulu Kwa Mafwele mikocheni Tunaomba watu kwa Jakaya Kikwete hapo Nyumba ziwake kabisa Tunaomba watu kwa Central Polis hatutoshi