Bixen (@heisbixen) 's Twitter Profile
Bixen

@heisbixen

Philosophy, Psychology, Motivation. Learn From The Wisest & Smartest People Who Ever Lived On Earth and Teach You How To Heal. God's Masterpiece.

ID: 1050655864548446208

linkhttps://instagram.com/heisbixen?utm_medium=copy_linkhttps:// calendar_today12-10-2018 07:54:13

270,270K Tweet

41,41K Takipรงi

3,3K Takip Edilen

๐‹๐š๐›๐ž๐ฅ๐ฅ๐š ๐Œ๐š๐Ÿ๐ข๐š (@labella_mafia95) 's Twitter Profile Photo

Wanaijeria wanasema watamfanya Jux kuwa internationally famous! Hata kama hawaelewi Kiswahili, wako tayari kusapoti muziki wake. Sasa ni wakati wa Jux kujipanga vizuriโ€”soko la Nigeria limeshafunguka, na ndoa hii ni strategic move!

Wanaijeria wanasema watamfanya Jux kuwa internationally famous! Hata kama hawaelewi Kiswahili, wako tayari kusapoti muziki wake. Sasa ni wakati wa Jux kujipanga vizuriโ€”soko la Nigeria limeshafunguka, na ndoa hii ni strategic move!
Taivina James (@thereal_taivina) 's Twitter Profile Photo

Huyu Mama angekuwa Mbunge Wangu kura yangu angekula kiboss tu bila hata nguvu nyingi. Kuna viongozi wanazurura page za Udaku tu wakikutana na Kesi zetu hata tukiwa Tag wanazipita post kama Ads za Alibaba ila huyu Mama anajitahidi sana japo hawezi wafikia wote. Mungu amuweke

Huyu Mama angekuwa Mbunge Wangu kura yangu angekula kiboss tu bila hata nguvu nyingi. 

Kuna viongozi wanazurura page za Udaku tu wakikutana na Kesi zetu hata tukiwa Tag wanazipita post kama Ads za Alibaba ila huyu Mama anajitahidi sana japo hawezi wafikia wote.

Mungu amuweke
Spana & V.A.R Movement (@spana_konki) 's Twitter Profile Photo

Tuhuma za kunyonywa Washeli ni kali sana. Hizo chats zipo au tutembelee maneno ya Timeline tuu? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ #SundayVAR

Tuhuma za kunyonywa Washeli ni kali sana. Hizo chats zipo au tutembelee maneno ya Timeline tuu? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ #SundayVAR
M.D (๐Ÿ…จ) (@regantesla_) 's Twitter Profile Photo

Nimemkumbuka huyu Binti Akwilina, Binti asie na hatia ambae damu yake ilimwagika sababu ya matumizi makubwa ya nyuvu kwa askari wetu dhidi ya siasa.. ๐Ÿ’” Unfortunately! Sijawahi kuskia yeyote aliewajibika sababu ya tukio hilo. R.I.P Akwilina Akwilini ๐Ÿ•Š๏ธ

Nimemkumbuka huyu Binti Akwilina, Binti asie na hatia ambae damu yake ilimwagika sababu ya matumizi makubwa ya nyuvu kwa askari wetu dhidi ya siasa.. ๐Ÿ’”

Unfortunately! Sijawahi kuskia yeyote aliewajibika sababu ya tukio hilo.

R.I.P Akwilina Akwilini ๐Ÿ•Š๏ธ