Hassan Khamis πŸ‡΅πŸ‡Έ (@hassankham1s) 's Twitter Profile
Hassan Khamis πŸ‡΅πŸ‡Έ

@hassankham1s

Proud Zanzibari embracing the beauty, culture, & history of my beloved island. Join me as I share my love for Zanzibar's pristine beaches, vibrant spice market.

ID: 214023856

linkhttps://zawauk.org/ calendar_today10-11-2010 11:16:37

15,15K Tweet

15,15K Followers

1,1K Following

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo Septemba 14, 2025 Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACTWazalendo, Ndugu Othman Masoud Othman amezindua kampeni zake Mjini Unguja Viwanja vya Kibanda Maiti. Oktoba #LindaKura #OMO2025

Leo Septemba 14, 2025 Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a> amezindua kampeni zake Mjini Unguja Viwanja vya Kibanda Maiti.

Oktoba #LindaKura
#OMO2025
Hassan Khamis πŸ‡΅πŸ‡Έ (@hassankham1s) 's Twitter Profile Photo

CHAGUA OTHMAN MASOUD OTHMAN – RAIS WA WANANCHI Siku ya Oktoba 29, 2025 ni siku ya mabadiliko makubwa kwa Zanzibar. Ni siku ya kuamua mustakabali wa nchi yetu. Othman Masoud Othman ana dhamira thabiti ya: Kuimarisha uchumi wa kila Mzanzibari kwa kuweka kima cha chini cha milioni

CHAGUA OTHMAN MASOUD OTHMAN – RAIS WA WANANCHI

Siku ya Oktoba 29, 2025 ni siku ya mabadiliko makubwa kwa Zanzibar. Ni siku ya kuamua mustakabali wa nchi yetu.

Othman Masoud Othman ana dhamira thabiti ya:
Kuimarisha uchumi wa kila Mzanzibari kwa kuweka kima cha chini cha milioni
Hassan Khamis πŸ‡΅πŸ‡Έ (@hassankham1s) 's Twitter Profile Photo

Umati mkubwa wa Wazanzibari umefurika uwanja wa Tibirinzi Pemba kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025. Hii ndiyo sauti ya mabadiliko, mshikamano na matumaini mapya kwa Zanzibar. #WazanzibarWanamua2025

Umati mkubwa wa Wazanzibari umefurika uwanja wa Tibirinzi  Pemba kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025. Hii ndiyo sauti ya mabadiliko, mshikamano na matumaini mapya kwa Zanzibar.
#WazanzibarWanamua2025
Hassan Khamis πŸ‡΅πŸ‡Έ (@hassankham1s) 's Twitter Profile Photo

Badala ya fedha za walipa kodi kutafunwa na Jamhuri ya Walaji, Serikali ya ACT Wazalendo itazipeleka kunakostahiki - kubadilisha maisha ya Wazanzibari. #RaisOthmanMasoudOthman

Badala ya fedha za walipa kodi kutafunwa na Jamhuri ya Walaji, Serikali ya ACT Wazalendo itazipeleka kunakostahiki - kubadilisha maisha ya Wazanzibari.
#RaisOthmanMasoudOthman
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Msimamo Rasmi wa ACTWazalendo kuhusu kuondolewa kwa Mgombea Urais wetu ndg. Luhaga Mpina katika orodha ya Wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Msimamo Rasmi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kuhusu kuondolewa kwa Mgombea Urais wetu ndg. Luhaga Mpina katika orodha ya Wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Othman Masoud Othman (@othmasoud) 's Twitter Profile Photo

β€œSerikali ya ACT Wazalendo itaweka uvuvi katika kipaumbele cha kwanza, kwa sababu maendeleo ya Zanzibar hayawezi kujengwa bila kumuinua mvuvi. Huu ndio wakati wa mabadiliko ya kweli!”.

β€œSerikali ya ACT Wazalendo itaweka uvuvi katika kipaumbele cha kwanza, kwa sababu maendeleo ya Zanzibar hayawezi kujengwa bila kumuinua mvuvi. Huu ndio wakati wa mabadiliko ya kweli!”.