HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile
HABARIMPYA TV

@habarimpyatv

News Updates 24 hours,.

WhatsApp Number 0752765922

ID: 1496589254981472262

linkhttp://www.com calendar_today23-02-2022 20:54:29

14,14K Tweet

122,122K Followers

5,5K Following

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaomba wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini kuendelea kuyasema mazuri yanayofanywa na serikali anayoiongoza ili kuweza kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi Mkuu wa

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema safari ya Watanzania kufanya shughuli za maendeleo bila kutegemea mikopo mikubwa inaanza ndani miaka mitano ijayo. Dkt Samia ameeleza hayo leo Jumamosi wakati akizungumza na wananchi wa Dakawa

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema chama hicho kinatekeleza mambo kwa uhakika siyo ‘tone tone’ hivyo amewaomba Watanzania kukichagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba. Amewasihi Watanzania kuchagua mafiga matatu (wabunge, madiwani na Rais

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Tazama Mafuruko ya watu kwenye uzinduzi wa kampeni za chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) katika Viwanja vya Biafra, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Tazama Mafuruko ya watu kwenye uzinduzi wa kampeni za chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) katika Viwanja vya Biafra, Kinondoni jijini Dar es Salaam.
HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Ukiacha umahiri wa kuongoza alionao Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, kulisakata rumba ni eneo lingine aliloonyesha uhodari usio na kifani. Hilo limeshuhudiwa leo, Jumapili Agosti 31, 2025 mkoani Dodoma, Dkt Samia aliposimama kuonyesha uwezo

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Mgombea urais wa CUF, Gombo Samandito amezindua kampeni zake kwenye Viwanja vya Furahisha, wilayani Ilemela, Mkoani Mwanza, na kutaja vipaumbele vya chama hicho, ikiwemo kulinda maslahi ya wafanyakazi, kuimarisha sekta ya kilimo, na kukuza sekta ya mawasiliano kwa kununua

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Kada wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Kilwa Kusini Selemani Saidi Bungara (Bwege) amesema anaamini kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kiko sahihi kusimamia 'No Reforms, No Election' na kwamba vyama vyote vya upinzani nchini ikiwemo chama

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Maoni ya Msanii Mkongwe Dudubaya kuhusu kauli ya Msanii mwenzake Diamond Platnumz iliyozua mijadala mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii.

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Mgombea wa Kiti cha Urais Zanzibar kupitia chama AAFP, Said Soud alisema hayo tarehe 3/09/2025 wakati anamjibu Mgombea wa Urais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha ACT wa Wazalendo Othaman Masoud Othman anayedaiwa kutoa kauli za kichochezi na kukejeli

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

WAZIRI wa Ujenzi na mgombea ubunge wa Jimbo la Mkuranga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Ulega, amesema Watanzania wanapaswa kumchagua Rais Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi huu kwa vile ndiye kiongozi pekee mwenye nia, historia, maono na uwezo wa kuwaletea

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

"Kuelekea Hamasa ya Kampeni za Uchaguzi Jimbo la Pangani jumapili tarehe 07 September 2025 huu ni ujumbe wangu kwa wananchi wenzangu wa Pangani mlionimini na kunituma Bungeni kuwa muwakilishi wenu, ninawaomba mnipime dhamira yangu na October 29 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

Hatua ya Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo na mbolea, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema imeifanya Tanzania kushika nafasi ya pili kwa uzalishaji wa mahindi Afrika. Kwa mujibu wa Dkt Samia ambaye pia ni mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika mwaka huo,