Gushi Madini (@gushimadini) 's Twitter Profile
Gushi Madini

@gushimadini

trueCITIZEN

ID: 1405145591370366981

calendar_today16-06-2021 12:51:05

19,19K Tweet

481 Followers

551 Following

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 (@davitheempire) 's Twitter Profile Photo

M h . L U C A S N G O T O - Kwetu sisi watu wa MBUGANI ni SIMBA wa SERENGETI -Kwetu sisi Wanachama wa KANDA MAALUMU ni MWENYEKITI -Kwetu sisi CHADEMA Hq ni The man who never fear hata kanda 9 kati ya 10 Jan 21 zilipoungana yeye alisimama imara WIKI ya MASHUJAA

M h .  L U C A S      N G O T O
- Kwetu sisi watu wa MBUGANI  ni  SIMBA wa SERENGETI
-Kwetu sisi Wanachama wa KANDA MAALUMU ni MWENYEKITI 
-Kwetu sisi CHADEMA Hq ni The man  who never fear hata kanda 9 kati ya 10 Jan 21 zilipoungana yeye alisimama  imara 

WIKI ya MASHUJAA
Official Bavicha Taifa (@bavicha_taifa) 's Twitter Profile Photo

Mashujaa wetu walijitoa kwa namna mbalimbali kulipambania taifa,tuwakumbuke kwa Dua,Sara na kuwatembelea ndugu zao na kuwashika mkono.

Mnyawami (@jacksonmnyawam2) 's Twitter Profile Photo

Mkutano wa Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko Watoto tupuu,Kuna Ongezeko Kubwa ya Matumizi ya watoto wadogo kwenye Mikutano ya kampeni ya CCM,CCM na Wagombea wao wamekosa kuungwa mkono na wananchi,Wameshindwa hata kusomba watu wazima,wamasomba watoto wadogo na kuwajaza mikutanoni

Mkutano wa Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko Watoto tupuu,Kuna Ongezeko Kubwa ya Matumizi ya watoto wadogo kwenye Mikutano ya kampeni ya CCM,CCM na Wagombea wao wamekosa kuungwa mkono na wananchi,Wameshindwa hata kusomba watu wazima,wamasomba watoto wadogo na kuwajaza mikutanoni
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Diamond alipitiwa na P. Diddy leo anapata wapi nguvu ya kukejeli Vijana wa Tanzania au alitaka na wao wapitiwe kama yeye ndo aone kwamba Vijana wanajituma?

Lucas Ngoto (@lucas_ngoto) 's Twitter Profile Photo

Wakala wa ununuzi wa mahindi NFRA lipeni watu mahindi yao mliochukuwa tangia 1/8/2025 katika vituo vya sumbawanga mjini kasu wilaya nkasi Hawa ni wafanyabiashara wadogo na wakulima waliwapa mahindi kwa kuamini mtawapa mapema pesa zao lakini ni mwezi sasa tangia mchukuwe

Wakala wa ununuzi wa mahindi NFRA lipeni watu mahindi yao mliochukuwa tangia 1/8/2025 katika vituo vya sumbawanga mjini kasu wilaya nkasi 
Hawa ni wafanyabiashara wadogo na wakulima waliwapa mahindi  kwa kuamini mtawapa mapema pesa zao lakini ni mwezi sasa tangia mchukuwe
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Kwamba hiki kipindi kimeota MBAWA? Nimeweka UTV hapa nasubiri naona KIMYA. Wabongo nimewakubali. Mmepiga spana kwenye Comment mpaka wajomba wameona waingie mitini. Safi sana huu uelewa uliopo TANZANIA kwasasa tumebakisha hatua ndogo sana kulikomboa hili taifa. TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Kwamba hiki kipindi kimeota MBAWA?

Nimeweka UTV hapa nasubiri naona KIMYA.

Wabongo nimewakubali.

Mmepiga spana kwenye Comment mpaka wajomba wameona waingie mitini. Safi sana huu uelewa uliopo TANZANIA kwasasa tumebakisha hatua ndogo sana kulikomboa hili taifa.

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Kutoka mezani kwa Dada wa Taifa Mange Kimambi. Hii nchi inaliwa aisee haya mambo hatukuwahi kuyaona awamu zilizopita yani Rais Nyerere alikuwa na watoto, Mwinyi alikuwa na watoto, Mkapa alikuwa na watoto, Kikwete alikuwa na watoto, Magufuli alikuwa na watoto,

Kutoka mezani kwa Dada wa Taifa <a href="/mangekimambi/">Mange Kimambi</a>.

Hii nchi inaliwa aisee haya mambo hatukuwahi kuyaona awamu zilizopita yani

Rais Nyerere alikuwa na watoto, 

Mwinyi alikuwa na watoto, 

Mkapa alikuwa na watoto, 

Kikwete alikuwa na watoto, 

Magufuli alikuwa na watoto,
GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

Mwanzo nilifikiri Habari za Mange ni UDAKU. Lakini hili la Kuleta Ushahidi wa Picha Halisi kabisaa kwa yale aliyokua akizungumza Hakika nime Mvulia KOFIA🫡 Nb; Pichani ni Watoto wa Mkuu wa Usalama wa Taifa. Ndg; Mombo Cheki Hiyo Migari Kudadeki! Imagine hyu ni DGIS. #KodiZenu

Mwanzo nilifikiri Habari za Mange ni UDAKU.

Lakini hili la Kuleta Ushahidi wa Picha Halisi kabisaa kwa yale aliyokua akizungumza Hakika nime Mvulia KOFIA🫡

Nb; Pichani ni Watoto wa Mkuu wa Usalama wa Taifa. Ndg; Mombo

Cheki Hiyo Migari Kudadeki!

Imagine hyu ni DGIS. #KodiZenu
Emmanuel chacha Christopher (@immamtanganyika) 's Twitter Profile Photo

Ni Kazi ya nguvu ya umma kuhakikisha huu ujumbe wa Nuru Okanga kutoka kenya unamfikia SIMBA..!🦁 Anayesimanga vijana wa kitanzania . REPOST za kutosha Hapa .

Amb. Humphrey H Polepole (@polepolehumph) 's Twitter Profile Photo

Mnaolalamikia kuhusu code mnamaanisha kodi au code, kuna samaki hatotamani tena kutukana mama zetu, ngoja tupate feed za mtetezi wa taifa letu kwanza, huyu samaki aliombe msamaha taifa, yamebaki masaa 9 kwa hapa nilipo, hatoamini #kataawahuni

Mnaolalamikia kuhusu code mnamaanisha kodi au code,
kuna samaki hatotamani tena kutukana mama zetu, ngoja tupate feed za mtetezi wa taifa letu kwanza,

 huyu samaki aliombe msamaha taifa, yamebaki masaa 9 kwa hapa nilipo, hatoamini

#kataawahuni
GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

Watoto wa MOMBO mkuu wa Usalama wa TAIFA wanvyokula Raha Hawa watu ndio maana wapo radhi wakuchomoe UHAI, ukikosoa Utawala wa Maza. Kwanini Msiletewe Kodi za Kila Rangi kwa Maisha haya ya Anasa wanayofanya. Nchi inatafunwa na Kikundi cha Watu Wachachetu. Cheki hiyo Mindinga..

Watoto wa MOMBO mkuu wa Usalama wa TAIFA wanvyokula Raha

Hawa watu ndio maana wapo radhi wakuchomoe UHAI, ukikosoa Utawala wa Maza.

Kwanini Msiletewe Kodi za Kila Rangi kwa Maisha haya ya Anasa wanayofanya.

Nchi inatafunwa na Kikundi cha Watu Wachachetu.

Cheki hiyo Mindinga..