George Sylvester (@gsylvester6) 's Twitter Profile
George Sylvester

@gsylvester6

ID: 2730982894

calendar_today01-08-2014 19:12:12

320 Tweet

146 Followers

1,1K Following

ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei, 2025. 🇹🇿🇳🇦

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei, 2025.
 🇹🇿🇳🇦
SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Hofu zako zinapoishia ndipo ujasiri wako unapoanzia. Hatua moja zaidi ya Ujasiri, ni hatua moja mbali na hofu zako." ~Togolani Mavura.

"Hofu zako zinapoishia ndipo ujasiri wako unapoanzia. Hatua moja zaidi ya Ujasiri, ni hatua moja mbali na hofu zako." ~Togolani Mavura.
Mohammed Kawaida (@comradekawaida) 's Twitter Profile Photo

#OKTOBATUNATIKI✅✅ #OKTOBATUNATIKI✅✅ #OKTOBATUNATIKI✅✅ #OKTOBATUNATIKI✅✅ #OKTOBATUNATIKI✅✅ #OKTOBATUNATIKI✅✅ #OKTOBATUNATIKI✅✅

#OKTOBATUNATIKI✅✅
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#OKTOBATUNATIKI✅✅
SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Kuishi ni sanaa,wengine ni karama yao,wengine huipata kwenye malezi, na wengine hufunzwa na ulimwengu, haijalishi umeipataje muhimu uwe nayo." ~Togolani Mavura.

"Kuishi ni sanaa,wengine ni karama yao,wengine huipata kwenye malezi, na wengine hufunzwa na ulimwengu, haijalishi umeipataje muhimu uwe nayo." ~Togolani Mavura.
Uhamiaji Tanzania (@uhamiajitz) 's Twitter Profile Photo

📸 MJUE JIRANI YAKO 🇹🇿 Kuelekea uchaguzi wa 2025, Idara ya Uhamiaji Tanzania inaendelea na kampeni ya *Mjue Jirani Yako* kwa kasi nchi nzima – bara na visiwani! 🌍 Maafisa Uhamiaji wako mstari wa mbele kutoa elimu kwa wananchi kwenye: 🗣️ Mikutano ya hadhara 🏫 Vyuo na

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

🔰IJUE ILANI Kwenye Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2025-2030, Sura ya pili ukurasa wa 23 imeelekeza kuendelea kutoa elimu ya msingi na sekondari bila ada. Lengo ni kuona kuwa angalau asilimia 80 ya watoto wanaomaliza elimu ya msingi wanaendelea na elimu

🔰IJUE ILANI 

Kwenye Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2025-2030, Sura ya pili ukurasa wa 23 imeelekeza kuendelea kutoa elimu ya msingi na sekondari bila ada. 

Lengo ni kuona kuwa angalau asilimia 80 ya watoto wanaomaliza elimu ya msingi wanaendelea na elimu
SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Je wajua kuwa msafara wa Nyumbu kuhama kutoka Serengeti kwenda Masai Mara na kurudi hautokani na akili za Nyumbu bali ni muitikio wa asili kufuata harufu na uelekeo wa wingu la mvua? Somo:Usiache safari yako maana si kila unayemuona katika msafara usiokuwepo anajua anapokwenda."

"Je wajua kuwa msafara wa Nyumbu kuhama kutoka Serengeti kwenda Masai Mara na kurudi hautokani na akili za Nyumbu bali ni muitikio wa asili kufuata harufu na uelekeo wa wingu la mvua? Somo:Usiache safari yako maana si kila unayemuona katika msafara usiokuwepo anajua anapokwenda."
SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Shule ndio kiwanda cha uhakika cha kuleta mapinduzi na maendeleo na kustawisha maisha ya mtu, kaya na taifa. Ndio geti la kutokea masikini." ~Togolani Mavura.

"Shule ndio kiwanda cha uhakika cha kuleta mapinduzi na maendeleo na kustawisha maisha ya mtu, kaya na taifa. Ndio geti la kutokea masikini." ~Togolani Mavura.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Kazi ya kuifanya nchi yetu kuwa kitovu cha biashara, usafirishaji na uzalishaji wa bidhaa, inahitaji uwekezaji na miundombinu bora. Kazi hiyo tunaendelea kuifanya kwa weledi ambapo, leo mkoani Pwani nimezindua Bandari Kavu ya Kwala, usafirishaji wa mizigo kwa SGR kutoka Kwala

Kazi ya kuifanya nchi yetu kuwa kitovu cha biashara, usafirishaji na uzalishaji wa bidhaa, inahitaji uwekezaji na miundombinu bora. Kazi hiyo tunaendelea kuifanya kwa weledi ambapo, leo mkoani Pwani nimezindua Bandari Kavu ya Kwala, usafirishaji wa mizigo kwa SGR kutoka Kwala
SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Wenye nafasi nzuri ya kufanikiwa katika dunia ya kesho ni wale tu waliotayari kujifunza na wepesi wa kubadilika." ~Togolani Mavura.

"Wenye nafasi nzuri ya kufanikiwa katika dunia ya kesho ni wale tu waliotayari kujifunza na wepesi wa kubadilika." ~Togolani Mavura.
Rev. Dr. Eliona Kimaro (@elionakimaro) 's Twitter Profile Photo

Ninakutakia neema,baraka na nguvu za Mungu ziambatane nawe unapouanza mwezi huu wa nane. Siku zote tembea ukikumbuka kuwa, unayaweza mambo yote katika yeye akutiaye nguvu. Mungu akubariki sana.

SikilizaTogolani (@sikilizatogolan) 's Twitter Profile Photo

"Kama mwana mpumbavu ni mzigo wa mamae na mwana mwerevu ni fahari ya babae, basi tuwashukuru akina mama kwa kusitiri madhaifu yetu ya kimalezi." ~Togolani Mavura.

"Kama mwana mpumbavu ni mzigo wa mamae na mwana mwerevu ni fahari ya babae, basi tuwashukuru akina mama kwa kusitiri madhaifu yetu ya kimalezi." ~Togolani Mavura.
Rev. Dr. Eliona Kimaro (@elionakimaro) 's Twitter Profile Photo

Katika jambo lolote lile unalopitia kwenye maisha yako, na ukajihisi umekata tamaa au linaelekea kukushinda. Asubuhi ya leo nina neno moja tu kwako. Usiogope, you are not alone. Mungu yuko kazini kwa ajili yako. GOD AT WORK

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Chama Cha Mapinduzi kinaendelea Kudhihirisha ya kuwa ndio Chama Kikubwa na chenye ushawishi zaidi Afrika ; Tukisema Oktoba Tunatiki, Tunamaanisha !

Chama Cha Mapinduzi kinaendelea Kudhihirisha ya kuwa ndio Chama Kikubwa na chenye ushawishi zaidi Afrika ; Tukisema Oktoba Tunatiki, Tunamaanisha !
Rev. Dr. Eliona Kimaro (@elionakimaro) 's Twitter Profile Photo

"Je! Wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo" - Mith 22:29

"Je! Wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo" - Mith 22:29