Holly Green(@greenagrictz) 's Twitter Profileg
Holly Green

@greenagrictz

Agriculture company deals with agronomy and irrigation soil test, farm planning, drip irrigation, green house,fish ponds, training and consultancy(0763347985)

ID:939902244073496578

linkhttp://www.greenagriculturetz.com calendar_today10-12-2017 16:58:52

6,0K Tweets

18,3K Followers

2,8K Following

Holly Green(@greenagrictz) 's Twitter Profile Photo

Holly Green tumefunga pump yenye uwezo mkubwa wa kumwagilia Hadi 6 acres Kwa mara Moja at maximum pressure of 7bar. Huu Mfumo umefungwa kwenye shamba la mbegu za mbogamboga za asili ASA Tengeru-Arusha , tunamwagilia 5 hector's

@greenagrictz tumefunga pump yenye uwezo mkubwa wa kumwagilia Hadi 6 acres Kwa mara Moja at maximum pressure of 7bar. Huu Mfumo umefungwa kwenye shamba la mbegu za mbogamboga za asili ASA Tengeru-Arusha , tunamwagilia 5 hector's
account_circle
Holly Green(@greenagrictz) 's Twitter Profile Photo

Greenhouse aka Kitalu Nyumba ni njia bora sana ya kuzalisha mboga na matunda hasa kipindi hiki cha mvua , karibu Holly Green zipo greenhouse za chuma na miti (8mx15, miche 300, 8mx30m miche 750) pia tunaweza kukupa gh kulingana na mahitaji yako , Wasiliana nasi +255763347985

Greenhouse aka Kitalu Nyumba ni njia bora sana ya kuzalisha mboga na matunda hasa kipindi hiki cha mvua , karibu @greenagrictz zipo greenhouse za chuma na miti (8mx15, miche 300, 8mx30m miche 750) pia tunaweza kukupa gh kulingana na mahitaji yako , Wasiliana nasi +255763347985
account_circle
Wizara ya Kilimo(@WizaraKilimo) 's Twitter Profile Photo

“Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haitafunga mipaka yake kwa ajili ya kuuza mazao nje. Tutaendelea kuwekeza kwenye tija ili tuweze kuzalisha mazao zaidi na kurudisha gharama za uzalishaji nchini kwa kuongeza thamani ya mazao, kufanya

“Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haitafunga mipaka yake kwa ajili ya kuuza mazao nje. Tutaendelea kuwekeza kwenye tija ili tuweze kuzalisha mazao zaidi na kurudisha gharama za uzalishaji nchini kwa kuongeza thamani ya mazao, kufanya
account_circle
Irri-Hub KE(@IrriHub) 's Twitter Profile Photo

Drip irrigation technology is a climate-smart solution that ensures effective water use by supplying water directly to the plant, It is a reliable method that lowers water demand during seasonal droughts and is affordable as it gives a lifetime solution to farmers.

Drip irrigation technology is a climate-smart solution that ensures effective water use by supplying water directly to the plant, It is a reliable method that lowers water demand during seasonal droughts and is affordable as it gives a lifetime solution to farmers.
account_circle
Eng Octavian Lasway(@Octavianlasway) 's Twitter Profile Photo

Tuende mbele turudi nyumba , Waziri Wetu wa Kilimo Mhe Hussein M Bashe anaipenda sana kazi yake na anaifanya vizuri , yuko humble kujibu hata maswali madogo madogo , Kama wadau wa Kilimo tunajivunia sana hamasa yake

Tuende mbele turudi nyumba , Waziri Wetu wa Kilimo Mhe @HusseinBashe anaipenda sana kazi yake na anaifanya vizuri , yuko humble kujibu hata maswali madogo madogo , Kama wadau wa Kilimo tunajivunia sana hamasa yake
account_circle
Hussein M Bashe(@HusseinBashe) 's Twitter Profile Photo

Salaam Parwason

Mazao ya kimkakati ni kama yafuatayo;

- Mpunga
- Mahindi
- Mbaazi na Kunde
- Alizeti
- Muhogo
- Parachichi
- Tumbaku
- Pamba
- Korosho
- Kahawa
- Chikichi
- Ngano
- Kakao
- Maharagwe
- Shayiri na Mtama
- Ufuta

account_circle
Hussein M Bashe(@HusseinBashe) 's Twitter Profile Photo

Moja ya eneo tumewekeza ni uzalishaji wa Mbegu Bora na Miche bora ili kukuza tija na uzalishaji.

Jumla ya miche 27,249,993 ya mazao mbalimbali imezalishwa na kusambazwa kwa wakulima nchini

• Miche ya kahawa 21,899,560,
• Miche ya chai 3,048,000,
• Miche ya mkonge 821,523,

Moja ya eneo tumewekeza ni uzalishaji wa Mbegu Bora na Miche bora ili kukuza tija na uzalishaji. Jumla ya miche 27,249,993 ya mazao mbalimbali imezalishwa na kusambazwa kwa wakulima nchini • Miche ya kahawa 21,899,560, • Miche ya chai 3,048,000, • Miche ya mkonge 821,523,
account_circle
Hussein M Bashe(@HusseinBashe) 's Twitter Profile Photo

Wakulima sasa wanajikita na uzalishaji wa miche bora ya michikichi

Tumedhamiria kuboresha uzalishaji wetu wa mafuta ya kula nchini.

Tunafanya jitihada za maksudi kushirikiana na wakulima ili kuongeza ubora wa mafuta haya kuanzia refining hadi packaging

Wakulima sasa wanajikita na uzalishaji wa miche bora ya michikichi #Tanzania Tumedhamiria kuboresha uzalishaji wetu wa mafuta ya kula nchini. Tunafanya jitihada za maksudi kushirikiana na wakulima ili kuongeza ubora wa mafuta haya kuanzia refining hadi packaging #Agenda1030
account_circle
Holly Green(@greenagrictz) 's Twitter Profile Photo

Holly Green tupo site kumpimia mteja shamba lake Kwa ajili shughuli za kilimo, makazi na ufugaji . Tunatumia vifaa Bora sana (high accuracy) Kwa ajili ya surveys. Kulingana na mabadiliko ya Hali ya hewa kufanya shughuli za kilimo na ufugaji kitaalam ni muhimu

@greenagrictz tupo site kumpimia mteja shamba lake Kwa ajili shughuli za kilimo, makazi na ufugaji . Tunatumia vifaa Bora sana (high accuracy) Kwa ajili ya surveys. Kulingana na mabadiliko ya Hali ya hewa kufanya shughuli za kilimo na ufugaji kitaalam ni muhimu
account_circle
Holly Green(@greenagrictz) 's Twitter Profile Photo

Holly Green tupo site kumpimia mteja shamba lake Kwa ajili shughuli za kilimo, makazi na ufugaji . Tunatumia vifaa Bora sana (high accuracy) Kwa ajili ya surveys. Kulingana na mabadiliko ya Hali ya hewa kufanya shughuli za kilimo na ufugaji kitaalam ni muhimu

@greenagrictz tupo site kumpimia mteja shamba lake Kwa ajili shughuli za kilimo, makazi na ufugaji . Tunatumia vifaa Bora sana (high accuracy) Kwa ajili ya surveys. Kulingana na mabadiliko ya Hali ya hewa kufanya shughuli za kilimo na ufugaji kitaalam ni muhimu
account_circle
Juma Ngomuo(@Jumangomuo) 's Twitter Profile Photo

Hasa wale wanaofanya Kilimo Biashara kwenye mnyororo wa thamani wa Kilimo kuanzia uzalishaji, utoaji huduma, uchakataji, uhifadhi, usafirishaji, Kuuza na Kununua pamoja na wale wanafanya biashara katika minyororo inayoendana na Kilimo mf. Mifugo, uvuvi, Utalii, Ubunifu na

Hasa wale wanaofanya Kilimo Biashara kwenye mnyororo wa thamani wa Kilimo kuanzia uzalishaji, utoaji huduma, uchakataji, uhifadhi, usafirishaji, Kuuza na Kununua pamoja na wale wanafanya biashara katika minyororo inayoendana na Kilimo mf. Mifugo, uvuvi, Utalii, Ubunifu na
account_circle
AgroEcology TZ(@AgroEcologyTZ) 's Twitter Profile Photo

Wakulima wengi hawana elimu ya kutosha na exposure nzuri juu ya technolojia mbali mbali za kuongeza thamanu kwani sik zote zina gharama kubwa ...kwa kufanya hivho ukiongeza thamani unaongeza ubora na kuongeza shelf life ya bidhaa yako
Mje AgroEcology TZ tuna suluhu.

Wakulima wengi hawana elimu ya kutosha na exposure nzuri juu ya technolojia mbali mbali za kuongeza thamanu kwani sik zote zina gharama kubwa ...kwa kufanya hivho ukiongeza thamani unaongeza ubora na kuongeza shelf life ya bidhaa yako Mje @AgroEcologyTZ tuna suluhu.
account_circle