GeoTraverse_Company Ltd. (@geo_traverse) 's Twitter Profile
GeoTraverse_Company Ltd.

@geo_traverse

Geospatial Data Consultants.
Land surveying,
Real Estate.
Architecture.

ID: 1477717459813687297

calendar_today02-01-2022 19:04:58

799 Tweet

1,1K Followers

2,2K Following

Polycarp The Bibliophile (@polycarpmdm) 's Twitter Profile Photo

NISAIDIE KUSHARE. Nimeibiwa hii DUMPY LEVEL na Hiyo MULTIFUNCTION GREEN BEAM LASER jana 24 MAY 2025, Jumla ya Case 11 zimeibiwa Baada ya Gari letu aina ya Pickup Hilux kupata Ajali eneo la Mikese. Kwa Yeyote Atakayeweza kuviona tuwasiliane 0756215504 Ahsante Sana

NISAIDIE KUSHARE.

Nimeibiwa hii DUMPY LEVEL na Hiyo MULTIFUNCTION GREEN BEAM LASER jana 24 MAY 2025, Jumla ya Case 11 zimeibiwa Baada ya Gari letu aina ya Pickup Hilux kupata Ajali  eneo la Mikese.

Kwa Yeyote Atakayeweza kuviona tuwasiliane 0756215504

Ahsante Sana
Coco Yang (@cocoyang123795) 's Twitter Profile Photo

🔥G970II International Version -Multi-communications network 4G -Tilt surveying 2.0 -Combination Antenna -Original software and Google map 📞WhatsApp:+8615779156738

🔥G970II International Version
-Multi-communications network 4G
-Tilt surveying 2.0
-Combination Antenna
-Original software and Google map
📞WhatsApp:+8615779156738
GeoTraverse_Company Ltd. (@geo_traverse) 's Twitter Profile Photo

Kama serikali kupitia wizara ya ardhi ingewekeza nguvu kubwa kwenye kupima Ardhi, angalau kila mtu anaemiliki ardhi maeneo ya miji, awe amepiwa, alipe kodi ardhi anayoimiliki, Kama Nchi tungepiga hatua kubwa sana.

Kama serikali kupitia wizara ya ardhi ingewekeza nguvu kubwa kwenye kupima Ardhi, angalau kila mtu anaemiliki ardhi maeneo ya miji, awe amepiwa, alipe kodi ardhi anayoimiliki, Kama Nchi tungepiga hatua kubwa sana.
MIRIAM💜 (@miriammkanaka) 's Twitter Profile Photo

Habari za Asubuhi Wakuu tunaweza kuendelea na hili mpaka sasa Mama Kupokea Tzs 180,000 tuendelea kum Support Namba yake hii hapa chini 0628255442 Magret Andrea Tubarikiwe sana🙏 RT ifike mbali zaidi.

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Ardhi ni mali ya Umma na siyo mali ya Serikali. Ardhi ya serikali ni Ardhi ya umma inayotumiwa na Serikali Kuu, Taasisi za Serikali na Serikali za Mitaa kwa ajili ya kutoa huduma zisizo za kibiashara kwa umma. Kwahiyo ardhi ni mali ya watanzania wote ila Mh Rais ndiyo msimamizi.

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Na Tanzania hii majority ya Vijana, hawakupata elimu bora, Wamezaliwa Kaya Maskini, hawapati Huduma bora za afya, wengine wana udumavu sababu ya lishe mbovu, hakuna kazi hata za viwandani zisizotaka ujuzi mwingi, Hawana sauti, hawana wa kuwasikiliza, hawajui kesho zao.