Ngege (@exengege) 's Twitter Profile
Ngege

@exengege

ID: 1834655014511427584

calendar_today13-09-2024 18:07:27

3,3K Tweet

651 Followers

6,6K Following

TANZANIA BUSES DAILY ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๎จ€ (@busesdaily) 's Twitter Profile Photo

Wadada wa Mbeya wameamua kutoa ya Moyoni kwa kampuni ya Isamilo Express kwa njia Mbeya kwenda Mwanza... Video nzima ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Wadada wa Mbeya wameamua kutoa ya Moyoni kwa kampuni ya Isamilo Express  kwa njia Mbeya kwenda Mwanza...

Video nzima
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Peter Madeleka (@pmadeleka) 's Twitter Profile Photo

Nimepokea kwa MASIKITIKO taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP. GEORGE KATABAZI, kuhusu KIFO cha D/CPL JAIRO BONIFACE KALANDA baada ya KUPIGWA RISASI wakati akitekeleza majukumu yake. Poleni sana ADU MEMBERS tuliowahi KUISHI na KUFANYA KAZI na JAIRO.

Nimepokea kwa MASIKITIKO taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP. GEORGE KATABAZI, kuhusu KIFO cha D/CPL JAIRO BONIFACE KALANDA baada ya KUPIGWA RISASI wakati akitekeleza majukumu yake. Poleni sana ADU MEMBERS tuliowahi KUISHI na KUFANYA KAZI na JAIRO.
KIRIKUUโœ๏ธ (@kirikuu20) 's Twitter Profile Photo

Repost ๐Ÿซก๐Ÿ™๐Ÿฝ Keka nimelipeleka kwa mwamposa likaombewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ GAME ZA KUSHINDA MAZIMA LEO . Mchawi Nani hapa ???? 1. Chelsea-Mazima Gari limewaka โœ… 2. Fulham -anashinda mapema tuโœ… 3. Liverpool-mazima โœ… 4. Atalanta -Jeshii anashinda โœ… 5. Juventus -win โœ… 6. Ajax -win โœ… 7. Yanga

Repost ๐Ÿซก๐Ÿ™๐Ÿฝ
Keka nimelipeleka kwa mwamposa likaombewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
GAME ZA KUSHINDA MAZIMA LEO .
Mchawi Nani hapa ????

1. Chelsea-Mazima Gari limewaka โœ…
2. Fulham -anashinda mapema tuโœ…
3. Liverpool-mazima โœ…
4. Atalanta -Jeshii anashinda โœ…
5. Juventus -win โœ…
6. Ajax -win โœ…
7. Yanga
ROLEX10 (@joex_rolex) 's Twitter Profile Photo

Kuna Wanawake Alafu Kuna Huyu Rachel Ambae Ni Mke Wa Mchezaji Wa zamani Wa Afc Leopards Ya Kenya Ezekiel Otuoma Ambae Alikua Anaumwa Ugonjwa Wa Motor Neurons Disease. Ugonjwa Ambao Ulitamatisha Ndoto Na Career Yote Ya Mchezaji Huyo Kucheza Mpira Wa Miguu. Licha Ya Kuugua Huo

Kuna Wanawake Alafu Kuna Huyu Rachel Ambae Ni Mke Wa Mchezaji Wa zamani Wa Afc Leopards Ya Kenya Ezekiel Otuoma Ambae Alikua Anaumwa Ugonjwa Wa Motor Neurons Disease. Ugonjwa Ambao Ulitamatisha Ndoto Na Career Yote Ya Mchezaji Huyo Kucheza Mpira Wa Miguu. Licha Ya Kuugua Huo
๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya Mimi ndio maana WASIMBE huwa NAwaogopa saanaโ€ฆ Yaani single maza unaweza kuwa unataka KUPIGA tu NAKUPITA! Ghafla unapata ushaweka kambi Hadi Ndugu zako wanakushangaa-imekuaje kuaje Wanaganda wale kuzidi hata Gundi- anaweza hata kufumania lakini yeye ndio

Maulid Kitenge (@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

ASLEY MIHOGO COCO BEACH INATEKETEA Moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeteketeza Mabanda ya Muuza Mihogo maarufu katika fukwe za Coco Jijini aitwaye Asley Mihogo. Tayari Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji kimefika hivi sasa. #KitengeUpdates

Polycarp The Bibliophile (@polycarpmdm) 's Twitter Profile Photo

Naumia kuona mwanangu anakua mlemavu sababu ya umaskini. Naitwa Hosea Nzuzu kutoka Singida mjini. Mapema mwaka huu mimi na mke wangu tulisafiri kwenda Iringa kusalimia ndugu. Wakati tukiwa ndani watoto wakawa wanacheza nje. Mwanangu Ivan (03), alikua anacheza na watoto wenzie wa

Naumia kuona mwanangu anakua mlemavu sababu ya umaskini. Naitwa Hosea Nzuzu kutoka Singida mjini. Mapema mwaka huu mimi na mke wangu tulisafiri kwenda Iringa kusalimia ndugu. Wakati tukiwa ndani watoto wakawa wanacheza nje.

Mwanangu Ivan (03), alikua anacheza na watoto wenzie wa
Kabigwa_Afya๐Ÿ’Š (@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

๐”๐’๐ˆ๐Š๐”๐‘๐”๐๐”๐Š๐„, Hakikisha unafanya vipimo hivi kabla ya ndoa na mwenzi wako. 1. Rhesus status, 2. Fertility Profile, 3. Genotype, 4. Hepatitis B and C, 5. HIV and other STIs, 6. Any Chronic medical conditions, โ€” Ni muhimu kupima afya zetu kwa undani zaidi, ili

๐”๐’๐ˆ๐Š๐”๐‘๐”๐๐”๐Š๐„,

Hakikisha unafanya vipimo hivi kabla ya ndoa na mwenzi wako.

1. Rhesus status,

2. Fertility Profile,

3. Genotype,

4. Hepatitis B and C,

5. HIV and other STIs,

6. Any Chronic medical conditions,

โ€” Ni muhimu kupima afya zetu kwa undani zaidi, ili
Kabigwa_Afya๐Ÿ’Š (@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

Fahamu Kwa Undani Ugonjwa Wa Kupooza Chanzo cha kupooza, dalili zake, tiba na kinga ya kupooza Uzi ๐Ÿงต, Twende Pamoja ๐Ÿ‘‡

Fahamu Kwa Undani Ugonjwa Wa Kupooza

Chanzo cha kupooza, dalili zake, tiba na kinga ya kupooza

Uzi ๐Ÿงต,

Twende Pamoja ๐Ÿ‘‡
Adv. Dickson Matata (@advmatata) 's Twitter Profile Photo

Nimekuwa Njombe kwa jumla ya miezi miwili na nusu kupigania haki ya George Sanga na wenzake waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya Mauaji. Hatimaye jana wameachiwa huru. Tusherekee siku ya leo kwa kuwagusa kwa chochote kwenda namba 0755636735 jina; George Menson Sanga.

Nimekuwa Njombe kwa jumla ya miezi miwili na nusu kupigania haki ya George Sanga na wenzake   waliokuwa wanakabiliwa na  kesi ya Mauaji. Hatimaye jana wameachiwa huru.
Tusherekee siku ya leo kwa kuwagusa kwa chochote kwenda namba 0755636735  jina; George Menson Sanga.
Mwita C. Mwita (@mwitah_tz) 's Twitter Profile Photo

Tayari nafasi 8000 za ufadhili wa masomo ya ufundi bure zimetoka na yeyote mwenye umri wa miaka 18-35 anaweza kuomba. Ziko fani zaidi ya 20 kwa elimu kuanzia darasa la saba na kuendelea. Unaweza kutazama zaidi kupitia website hii; kazi.go.tz/announcements/โ€ฆ

Tayari nafasi 8000 za ufadhili wa masomo ya ufundi bure zimetoka na yeyote mwenye umri wa miaka 18-35 anaweza kuomba. Ziko fani zaidi ya 20 kwa elimu kuanzia darasa la saba na kuendelea.

Unaweza kutazama zaidi kupitia website hii; kazi.go.tz/announcements/โ€ฆ