Adui wa Simba🎱 (@enemyofsimba) 's Twitter Profile
Adui wa Simba🎱

@enemyofsimba

shabiki wa kutupwa wa @yangasc1935 na Adui mkubwa wa Simba

ID: 1573395490250653696

calendar_today23-09-2022 19:35:27

2,2K Tweet

639 Followers

396 Following

Adui Wa Yanga (@aduiwayanga) 's Twitter Profile Photo

MAMA SAMIA ANAANDIKA HISTORIA KWA WINO WA DHAHABU TABORA Na Mwl Udadis, Sept 12 Tabora wameamua kuwa sehemu ya historia ya maendeleo, historia inayoandikwa kwa wino wa dhahabu. Mgombea urais mwenye utulivu wa fikra, busara ya uongozi na uwezo wa kuyageuza maono kuwa uhalisia

MAMA SAMIA ANAANDIKA HISTORIA KWA WINO WA DHAHABU TABORA

Na Mwl Udadis, Sept 12

Tabora wameamua kuwa sehemu ya historia ya maendeleo, historia inayoandikwa kwa wino wa dhahabu. Mgombea urais mwenye utulivu wa fikra, busara ya uongozi na uwezo wa kuyageuza maono kuwa uhalisia
βœΊπ‘΄π’‚π’“π’Šπ’‚π’Žβ… (@mariam255_) 's Twitter Profile Photo

MAMA SAMIA ANAANDIKA HISTORIA KWA WINO WA DHAHABU TABORA. Na Mwl Udadis, Sept 12 Tabora wameamua kuwa sehemu ya historia ya maendeleo, historia inayoandikwa kwa wino wa dhahabu. Mgombea urais mwenye utulivu wa fikra, busara ya uongozi na uwezo wa kuyageuza maono kuwa uhalisia

MAMA SAMIA ANAANDIKA HISTORIA KWA WINO WA DHAHABU TABORA.

Na Mwl Udadis, Sept 12

Tabora wameamua kuwa sehemu ya historia ya maendeleo, historia inayoandikwa kwa wino wa dhahabu. Mgombea urais mwenye utulivu wa fikra, busara ya uongozi na uwezo wa kuyageuza maono kuwa uhalisia
Brigedia (@brigediangoki) 's Twitter Profile Photo

Kilimo ni Uti wa Mgongo, Daima tunajivunia Uongozi imara wa Dkt. Samia katika kuimalisha sekta hii na kukifanya kilimo kuwa chenye tija na Chenye kumnufaisha Mkulima pamoja na walaji. Chagua Samia Chagua CCMβœ”οΈ

Godfather fan (@godfxer_fan) 's Twitter Profile Photo

πŸ”₯IGUNGA YATIKISIKA KWA NYOMI LA MAMA SAMIA πŸ”₯ Umati mkubwa wa wananchi ulifurika kwa mapenzi ya dhati kumpokea Mama wa Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa dhamira ya kweli, Mama Samia aliahidi Kituo cha Mabasi cha Kisasa, Soko la Kisasa, na barabara za lami kwenye maeneo ya

πŸ”₯IGUNGA YATIKISIKA KWA NYOMI LA MAMA SAMIA πŸ”₯

Umati mkubwa wa wananchi ulifurika kwa mapenzi ya dhati kumpokea Mama wa Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kwa dhamira ya kweli, Mama Samia aliahidi Kituo cha Mabasi cha Kisasa, Soko la Kisasa, na barabara za lami kwenye maeneo ya
𝑫𝒓.π‘―π’Šπ’π’‚π’“π’š π’˜π’‚ π’€π’‚π’π’ˆπ’‚π• (@daktariwayanga) 's Twitter Profile Photo

OKTOBA 29 TABORA INATIKI CCM Wananchi wa Tabora wameapa kwa ari na morali kuhakikisha kura zao zote zinakwenda kwa Dkt. Samia kupitia CCM. Ni ahadi ya kuendeleza maendeleo, mshikamano na historia ya ushindi. #KaziNaUtu #TunasongaMbele

OKTOBA 29 TABORA INATIKI CCM
Wananchi wa Tabora wameapa kwa ari na morali kuhakikisha kura zao zote zinakwenda kwa Dkt. Samia kupitia CCM. Ni ahadi ya kuendeleza maendeleo, mshikamano na historia ya ushindi.

#KaziNaUtu
#TunasongaMbele
πƒπ’πœπ€πžπ§π¨ (@kingdickeno) 's Twitter Profile Photo

Maaskofu wanaonesha nia nzuri kwa kumuombea Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakimtakia mafanikio na ustawi mkubwa kwa taifa. Kila Hatua Dua πŸ™ OKTOBA TUNATIKI KWA MAMA SAMIA βœ…βœ…

Maaskofu wanaonesha nia nzuri kwa kumuombea Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakimtakia mafanikio na ustawi mkubwa kwa taifa. Kila Hatua Dua πŸ™

OKTOBA TUNATIKI KWA MAMA SAMIA βœ…βœ…
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Asubuhi ya leo Tabora, nilipokutana na kuzungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Kardinali Protase Rugambwa pamoja na Askofu Mkuu Mstaafu, Paulo Ruzoka. Nimewashukuru kwa sala na baraka kwangu, kwa nchi yetu na kwa Watanzania wote, tukiongozwa na tafakuri

Asubuhi ya leo Tabora, nilipokutana na kuzungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Kardinali Protase Rugambwa pamoja na Askofu Mkuu Mstaafu, Paulo Ruzoka. 

Nimewashukuru kwa sala na baraka kwangu, kwa nchi yetu na kwa Watanzania wote, tukiongozwa na tafakuri
UlimwenguπŸ‡¦πŸ‡· (@hamisuniversal) 's Twitter Profile Photo

Kila hatua Dua. Kardinali Protase Rugambwa Askofu mkuu jimbo kuu la Tabora na Askofu mstaafu wa Jimbo hilo Baba Askofu Paul Ruzoka, kwa pamoja wamejuika Kumuombea Dkt. Samia. Mama Samia amebarikiwa 🀲 Oktoba Tunaenda Kutiki kwa Kishindo

Kila hatua Dua.

Kardinali Protase Rugambwa Askofu mkuu jimbo kuu la Tabora na Askofu mstaafu wa Jimbo hilo Baba Askofu Paul Ruzoka, kwa pamoja wamejuika Kumuombea Dkt. Samia.

Mama Samia amebarikiwa 🀲

Oktoba Tunaenda Kutiki kwa Kishindo
UlimwenguπŸ‡¦πŸ‡· (@hamisuniversal) 's Twitter Profile Photo

Mama Samia ni kinara wa nishati nchini, kwa kufanikisha hilo tunaona kazi ya uongozi imara ndani ya wilaya ya sikonge na nchi nzima kwa ujumla. #kaziNautu2025 #TunasongaMbele

UlimwenguπŸ‡¦πŸ‡· (@hamisuniversal) 's Twitter Profile Photo

Mama Samia amepandisha hadhi ya kilimo nchini na kumnufaisha mkulima na mazao yake. naam hiki ndio Kilimo Chenye tija, Zao la Tumbaku lipo juu. tbaroa tunatiki kwa kishindo. OKTOBA TUNATIKIβœ”οΈ

Headboy wa mtaa (@sirajitz1) 's Twitter Profile Photo

changamoto ya kukosa umeme wilayani Sikonge sasa imetatuliwa, na huduma ya nishati imeimarishwa chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan. October tunatiki

Headboy wa mtaa (@sirajitz1) 's Twitter Profile Photo

Chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, zao la tumbaku limepewa msukumo mpya, thamani yake imeongezeka na wakulima wamerudishiwa matumaini. October tunatiki βœ…

πƒπ’πœπ€πžπ§π¨ (@kingdickeno) 's Twitter Profile Photo

Ukosefu wa umeme Sikonge umebaki kuwa historia. Serikali ya Dk Samia Suluhu imetekeleza miradi mikubwa ya umeme, ikiwemo uboreshaji wa miundombinu na uwekezaji wa teknolojia mpya, na hivyo kuleta maendeleo makubwa kwa wananchi wa Sikonge. OKTOBA KURA ZOTE KWA MAMA SAMIA