JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile
JUVICUF ~ ZANZIBAR

@ukarara1

Sisi ni vijana wa jumuiya ya chama cha wananchi cuf. Tunaopigania na kuhakikisha kwamba HAKI SAWA inatamalaki kwa wote wote, kwa rika zote, kwa jinsia zote.

ID: 1520378606740029441

calendar_today30-04-2022 12:24:59

48 Tweet

22 Followers

82 Following

JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

JUVICUF tunalaani na kukemea vitendo vya jeshi la polisi Mkoa wa Manyara, Wilaya ya Babati kuwashikilia vijana na viongozi wa vijana CHADEMA wakiwa katika shughuli zao za siasa. Tunaliomba jeshi la polisi kuwaachia watu hao haraka iwezekanavyo ili kuondosha taharuki kwa wananchi.

JUVICUF tunalaani na kukemea vitendo vya jeshi la polisi Mkoa wa Manyara, Wilaya ya Babati kuwashikilia vijana na viongozi wa vijana CHADEMA wakiwa katika shughuli zao za siasa.
Tunaliomba jeshi la polisi kuwaachia watu hao haraka iwezekanavyo ili kuondosha taharuki kwa wananchi.
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Leo Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF, Mhe. Hamad Masoud Hamad amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Bibi Regine Hess. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Umoja House, Dar-es-Salam.

Leo Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF,  Mhe. Hamad Masoud Hamad amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Bibi Regine Hess. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Umoja House, Dar-es-Salam.
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi-CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba leo amewasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo Mhe. Prof. Lipumba amezitmbelea Ofisi za Chama za Kilimahewa na kumjuilia hali Mzee Machano, Muasisi na Mwanachama wa Chama cha Wananchi-CUF.

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi-CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba leo amewasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo Mhe. Prof. Lipumba amezitmbelea Ofisi za Chama za Kilimahewa na kumjuilia hali Mzee Machano, Muasisi na Mwanachama wa Chama cha Wananchi-CUF.
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Chama cha wananchi cuf tunalaani vikali vitendo vya kijana walivyo fanyiwa MASAI katika maeneo ya Ngorongoro. Busara ndo msingi mkuu wa amani, nguvu, vitisho kamwe haviwezi kutatua migogoro. Kuna haja ya Serikali kujithmini juu ya jambo hili na dhulma na nyanyasi wa raia.

Chama cha wananchi cuf tunalaani vikali vitendo vya kijana walivyo fanyiwa MASAI katika maeneo ya Ngorongoro. Busara ndo msingi mkuu wa amani, nguvu, vitisho kamwe haviwezi kutatua migogoro. Kuna haja ya Serikali kujithmini juu ya jambo hili na dhulma na nyanyasi wa raia.
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

JUVICUF inamtakia Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF kheir ya siku yake ya kuzaliwa. Mungu amjaalie baraka na fanaka kwa kila jambo. Na ampe sifa na uwezo wa kuwaunganisha wazanzibar wote kua katika mstari mmoja wa chama cha CUF. HAKI SAWA FURAHA KWA WOTE. AMEEN🤲

JUVICUF inamtakia Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF kheir ya siku yake ya kuzaliwa. Mungu amjaalie baraka na fanaka kwa kila jambo. Na ampe sifa na uwezo wa kuwaunganisha wazanzibar wote kua katika mstari mmoja wa chama cha CUF. HAKI SAWA FURAHA KWA WOTE. AMEEN🤲
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Tuwajengee watu uwezo wa kuhudumu maisha yao. Sio kujenga majumba na minara mikubwa watu wanakufa njaa. CCM basi hata Mwalim Nyerere hamuishi kwenye malengo yake. Hamueleweki njaaa kali nchi hiii

JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Tukiwa tunajiandaa kuelekea katika shughuli na tukio kubwa la kufungua Matawi ya Chama cha Wananchi-CUF kesho Bububu Zanzibar (Magharibi A), Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF, Mhe. Hamad Masoud leo alikua na Vikao kadhaa vya kiutendaji ambapo alipata fursa kuonana na viongozi

Tukiwa tunajiandaa kuelekea katika shughuli na tukio kubwa la kufungua Matawi ya Chama cha Wananchi-CUF kesho Bububu Zanzibar (Magharibi A), Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF, Mhe. Hamad Masoud leo alikua na Vikao kadhaa vya kiutendaji ambapo alipata fursa kuonana na viongozi
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Wanzanzibariii eeeeeeeh Chama cha wananchi CUF kupitia Katibu mkuu wake Mhe. Hamad ksho kitafungua matawi tisa katika maeneo mbali mbali ya BUBUBU. Karibuni nyooote mnakaribishwa. Hakiiiiiiiiiiiiiiii

JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Leo Mhe. Hamad Masoud Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF, amewatembelea waasisi wa Chama cha Wananchi-CUF wa Jimbo la Kikwajuni pamoja na Wagonjwa kwa lengo la kuwajuilia hali na kuwapa kadi za Chama chao cha Wananchi-CUF. Hii ni Program maalum ya kuwakabidhi Kadi wasis

Leo Mhe. Hamad Masoud Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF, amewatembelea waasisi wa Chama cha Wananchi-CUF wa Jimbo la Kikwajuni pamoja na Wagonjwa kwa lengo la kuwajuilia hali na kuwapa kadi za Chama chao cha Wananchi-CUF. Hii ni Program maalum ya kuwakabidhi Kadi wasis
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Katibu Mkuu wa chama cha Wananchi CUF akiwa pamoja na Mwenyekiti wa chama cha ACT katika msikiti wa Othman Maalim. Kwa nia ya kumuombea dua Marhuum Bi Khadija Makontena. Allah ampe kauli thabiti na amsamehe dhambi zake na amuondoshee adhabu za kabri.

Mhe. Katibu Mkuu wa chama cha Wananchi CUF akiwa pamoja na Mwenyekiti wa chama cha ACT katika msikiti wa Othman Maalim. Kwa nia ya kumuombea dua Marhuum Bi Khadija Makontena. Allah ampe kauli thabiti na amsamehe dhambi zake na amuondoshee adhabu za kabri.
JUVICUF ~ ZANZIBAR (@ukarara1) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF, Mhe. Hamad Masoud Hamad pamoja na Viongozi wengine wa Chama wamefanya mazungumzo na Wajumbe wa UNDP wakiongozwa na Mhe. Akinyemi Agdebola, Head of Electoral Support Needs Assessment Mission katika Ofisi za Chama Mtendeni, Mjini Unguja.

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF,  Mhe. Hamad Masoud Hamad pamoja na Viongozi wengine wa Chama wamefanya mazungumzo na Wajumbe wa UNDP wakiongozwa na Mhe. Akinyemi Agdebola, Head of Electoral Support Needs Assessment Mission  katika Ofisi za Chama Mtendeni, Mjini Unguja.