DevotaTweve (@twevedevota) 's Twitter Profile
DevotaTweve

@twevedevota

Journalist & Activist | Instagram instagram.com/twevedevota_

ID: 2713275117

calendar_today15-07-2014 21:17:33

102,102K Tweet

85,85K Followers

972 Following

Daktari Wa Manesi 💉💊 (@mcinikawalamar) 's Twitter Profile Photo

Umechelewa Kuanza, Lakini Haujachelewa Kufanikiwa Changamoto za kifedha zisiwe sababu ya kusalimu amri. Ondoa wasiwasi jipatie mkopo wa haraka kutoka Soft Finance kwa haraka ndani ya dakika 45 kwa masharti nafuu na uanze kuchora njia mpya ya mafanikio. #MpangoPesa

Umechelewa Kuanza, Lakini Haujachelewa Kufanikiwa
Changamoto za kifedha zisiwe sababu ya kusalimu amri. 

Ondoa wasiwasi jipatie mkopo wa haraka kutoka <a href="/softfinancetz/">Soft Finance</a> kwa haraka ndani ya dakika 45 kwa masharti nafuu na uanze kuchora njia mpya ya mafanikio.

#MpangoPesa
MIRIAM💜 (@miriammkanaka) 's Twitter Profile Photo

“Jukwaa la Uziduaji ni jukwaa huru linalotoa nafasi ya kujadili masuala mbalimbali, ikiwemo nishati, haki za binadamu, sekta ya maji, na changamoto nyingine zinazosababishwa na uchafuzi wa mazingira.” ~ Adam Anthony #JukwaaLaUziduaji2025

“Jukwaa la Uziduaji ni jukwaa huru linalotoa nafasi ya kujadili masuala mbalimbali, ikiwemo nishati, haki za binadamu, sekta ya maji, na changamoto nyingine zinazosababishwa na uchafuzi wa mazingira.” ~ <a href="/adamthony/">Adam Anthony</a>

#JukwaaLaUziduaji2025
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Kuna haja ya kuwa na mwongozo wa kitaifa wa CSR ulioko ndani ya sheria — unaoongoza mahusiano ya Halmashauri, kampuni na jamii.” Lucy Shao #JukwaaLaUziduaji2025 HakiRasilimali

"Kuna haja ya kuwa na mwongozo wa kitaifa wa CSR ulioko ndani ya sheria — unaoongoza mahusiano ya Halmashauri, kampuni na jamii.”
<a href="/LucyShao_/">Lucy Shao</a> 
#JukwaaLaUziduaji2025 
<a href="/HakiRasilimali/">HakiRasilimali</a>
The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Luhaga Mpina, Bashe wanyukana hoja nzito mbele ya Rais Samia, Bashe aeleza kuwa Mpina alihusika kumpotosha Magufuli, awaonya wanasiasa.

Sally Brown🌷 (@officielsalome) 's Twitter Profile Photo

Karibu Fintech Festival Tanzania 2025 – Blockchain Africa 2025 Afrika ni ndoto mpya ya Marekani,Amini hilo na Wakituita wendawazimu waache – Wendawazimu! Ray Youssef

Karibu Fintech Festival Tanzania 2025 – Blockchain Africa 2025

Afrika ni ndoto mpya ya Marekani,Amini hilo na Wakituita wendawazimu waache – Wendawazimu!

<a href="/ray_noOnes/">Ray Youssef</a>
Franklin Tissa (@franklin_tissa) 's Twitter Profile Photo

Biashara yetu imeingiliwa sana kuanzia kwenye uvuvi hadi uchuuzi kwani Wachina wamekua ni kikwazo kikubwa kwa Wazawa. ~ Diana Kamteka (M/kiti TAOME) #KataaWavuviHaramu

Biashara yetu imeingiliwa sana kuanzia kwenye uvuvi hadi uchuuzi kwani Wachina wamekua ni kikwazo kikubwa kwa Wazawa. ~ Diana Kamteka (M/kiti TAOME)
#KataaWavuviHaramu
WHYMYCATISSAD (@influencerjr) 's Twitter Profile Photo

Sehemu ya biashara ibaki ni sehemu ya biashara usigeuze kijiwe cha wadau kuja kupiga stori, utapoteza wateja baadae uanze kusema umerogwa.