
Twaha Mwaipaya
@twaha_mwaipaya
Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA) 2019-2025
Prison graduate 133 days in jail.
ID: 1230407338873495552
https://whatsapp.com/channel/0029VaWFNTgBKfhysSbtr50e 20-02-2020 08:22:46
20,20K Tweet
312,312K Followers
3,3K Following













Nipo kwenye bus 🚌 naelekea dsm nimekuta gari ya CDM inatangaza mkutano wa leo hapa SAME. Nimekusikia Twaha Mwaipaya ukihamasisha na kuwaambia wananchi wasiogope polisi (nimeona polisi mbele ako)# wala mwenyekiti wala mtendaji...KAMANDA unapiga kazi ya kitume Mungu ATAKULIPA.

Tafadhali chakula kifike mpaka kwa mawakili sio tunatoka nje tunakuta kina Twaha Mwaipaya wanajipukuta midomo na kubeua tu 😂😂😂😂



