jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile
jatero isabiro

@nyans82783

Allah Akbar

ID: 1911434405886701568

calendar_today13-04-2025 15:03:28

331 Tweet

15 Followers

159 Following

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

BLO’ anajua kwamba anagombea ubunge? Usikute ameokota kidaftari cha Luhaga Mpina anazunguka na ahadi za mgombea Urais? BLO akumbushwe kwamba anagombea ubunge Kigoma Mjini siyo Urais. Halafu, mbunge mmoja anashusha vipi bei ya saruji? Au ana kiwanda chake cha saruji? Huu sasa

BLO’ anajua kwamba anagombea ubunge? Usikute ameokota kidaftari cha Luhaga Mpina anazunguka na ahadi za mgombea Urais? BLO akumbushwe kwamba anagombea ubunge  Kigoma Mjini siyo Urais. Halafu, mbunge mmoja anashusha vipi bei ya saruji? Au ana kiwanda chake cha saruji? Huu sasa
jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Kama miaka 63 maisha ya watz yanazidi kudidimia na mmeshindwa kabisa kuokoa maisha ya watu,kwa miaka 5 mtafanya nin?mmezoea kujipatia madaraka kwa njia ya udanganyifu.

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Aman ndio nin nyie?mnalinda amani zenu na familya zenu?au mnalinda amani za raia?kama hamjawah kujua kuwa ndege ya kuzima moto magorofani ni mhimu kulko V8 za mawazir.

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Waandishi wa habar wa zama hizi ndio wajinga kuliko wasomaji wa habar,huo ni mkusanyiko wa wanachama wa ccm mkoa mzima ndio wapo hapo na sio wapiga kura wa eneo huska,mnalishwa matangopori nanyi bila aibu mnatulisha,tumieni akili hata za kukopa basi.

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Miaka minne kashindwa kutatua matatizo ya bima hizo siku 100 zinaweza kutosha vipi?au ulimaanisha miaka 100 hatujakuelewa?uongo kwenu ni mira na destuli

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Unalemba kwa kulinda maslah yako tu kama mwandishi lakini ukweli unaujua,hapo ni wanachama wa mkoa mzima wa kilimanjaro,sio moshi tu.Acha kutumika.

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Chaguz za tanzania zina chekesha walio nuna,yaani kuna mgombea anatumia rasilimali za serkali ktk kampeni zake huku wengine wakijijua wenyewe.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 61 Mahakama imerejea muda huu saa 9 dkika 25 alasiri. Imepeigwa sauti ya High Courtttttt Wameingia majaji. Karani anasoma namba ya shauri. Shahidi yupo na Mshitakiwa yupo. Tunaendelea maswali ya Dodoso. Jaji anauliza mko tayari. Wakili

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 127 Anaendelea Katuga Shahidi alitambua vielelezo pale kizimbani na ndio maana tunasema vipokelewe, alisema hawezi kutufundisha na sisi tunataka akitufundisha atufundishe kutoka kwenye Sheria. Naomba niende kwenye hoja ya tatu ambayo inasema

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 128 Anaendelea Katuga naomba sasa nihamie kwenye hoja ya nne. Mshitakiwa anasema vielelezo visipokelewe eti akiwamaambia kwamba vielelezo hivi vimevunja mnyonyoro wa utunzaji. Watu wanacheka. 😂😂😂 Ni mnyororo kumbe. Amesema Chain of

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Eti kamati ya amani!!! Kamati ya amani ambayo haijawah kukemea utekeji na mauwaji?amani mnayo isimamia ni ya viongozi?au ni ya wananchi?

jatero isabiro (@nyans82783) 's Twitter Profile Photo

Kinacho tangulia ni kipi? Unawezaje kusisitiza amani bila kuanza na haki?yaan tunakoswq haki nyie mnaona ni amani ndio ya mhim?hiv amani ni nini?mnashiriki dhambi ya kuficha maovu ya viongozi kwa kivuli cha amani.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Huyu anaitwa Shababi Nsato Marijani. Ni mtoto wa Afande Nsato Marijani. Yeye na taasisi yake ya Uwakili inayoitwa Hyperion ndo inayotumika kwenye kesi ya mgawanyo wa mali za CHADEMA. Na sasa Taasisi hiyo hiyo ndo imetumika kutufungulia kesi ya kuidharau Mahakama ikiwa na

Huyu anaitwa Shababi Nsato Marijani. 

Ni mtoto wa Afande Nsato Marijani.

Yeye na taasisi yake ya Uwakili inayoitwa Hyperion ndo inayotumika kwenye kesi ya mgawanyo wa mali za CHADEMA.

Na sasa Taasisi hiyo hiyo ndo imetumika kutufungulia kesi ya kuidharau Mahakama ikiwa na
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 133 Anaendelea kusoma uamuzi Jaji Nduguru Kilichotokea hapa Mahakamani shahidi ametender flash disk yenye hizo video na memory card. Ingawa upande wa Mashitaka uliishawishi Mahakama kuwa hizo flash disk zimebeba picha na video na wakatumia