BenardJr11 (@nmbangule) 's Twitter Profile
BenardJr11

@nmbangule

ID: 1684528662178148355

calendar_today27-07-2023 11:40:03

14,14K Tweet

239 Followers

517 Following

Simba Sports Club (@simbasctanzania) 's Twitter Profile Photo

Shukrani kwa Wanasimba wote waliojitokeza kuipa nguvu timu yetu kwenye mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Tumerudi nyumbani, zamu ya kuionyesha Afrika ukubwa wa Simba yetu. #WenyeNchi #NguvuMoja

Shukrani kwa Wanasimba wote waliojitokeza kuipa nguvu timu yetu kwenye mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Tumerudi nyumbani, zamu ya kuionyesha Afrika ukubwa wa Simba yetu. #WenyeNchi #NguvuMoja
iddy nonga (@iddynonga_) 's Twitter Profile Photo

โšกSimba muda wowote kuanzia sasa watatangaza kuwa mechi yao itaenda kupigwa katika dimba la New Amani huko visiwani Zanzibar !.

#GWIJI๐Ÿ”ด (@athanas_pius) 's Twitter Profile Photo

Ukute ni Maelekezo Kutoka Juu Iliomba Game Iende Chato, Ili Kuitangaza Chato! Sisi tulikua Tufosi Kwa Mkapa Kwa Mkapa! Hii Nchi Utapeli ni mwingi sana ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚

#GWIJI๐Ÿ”ด (@athanas_pius) 's Twitter Profile Photo

Baada ya CAF Kuuthibitisha Uwanja wa Amani Zanzibar, Sasa ni Rasmi Young Afrika Wamefuzu Hatua ya Makundi Kwenda robo fainali. Hongereni Sana Utopolo ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜ƒ

Baada ya CAF Kuuthibitisha Uwanja wa Amani Zanzibar, Sasa ni Rasmi Young Afrika Wamefuzu Hatua ya Makundi Kwenda robo fainali. 

Hongereni Sana Utopolo ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜ƒ
Fumbo Khan (@fumbokhanjr) 's Twitter Profile Photo

Nimefurahia sana Kuona Asilimia Kuwa ya wana Simba wana Iman kubwa sana na team Yao, wanasema ata ikichezewa Morocco Ushindi Lazima.

Nimefurahia sana Kuona Asilimia Kuwa ya wana Simba wana Iman kubwa sana na team Yao, wanasema ata ikichezewa Morocco Ushindi Lazima.
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#HABARI Wizara ya Afya nchini imetangaza ongezeko la watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita. Mganga Mkuu wa serikali Dk Grace Magembe amesema kumekuwepo na ongezeko la tetesi zinazohusiana na magonjwa ya mfumo wa njia ya

#HABARI Wizara ya Afya nchini imetangaza ongezeko la watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
 
 Mganga Mkuu wa serikali Dk Grace Magembe amesema kumekuwepo na ongezeko la tetesi zinazohusiana na magonjwa ya mfumo wa njia ya