Nipashe Tanzania (@nipashetz) 's Twitter Profile
Nipashe Tanzania

@nipashetz

The Guardian Ltd
Home of Great Newspapers
Mikocheni Light Industrial Area
P.O. Box 31042
Dar es salaam
Tel:+255 745 700 710
[email protected]

ID: 3194223616

linkhttp://www.ippmedia.com calendar_today22-04-2015 09:31:19

60,60K Tweet

207,207K Followers

26 Following

Nipashe Tanzania (@nipashetz) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida,Thomas Mgonto amechukua fomu kuomba uteuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugombea ubunge katika jimbo la Ikungi Mashariki. Mgonto ndiyo mtiania aliyeteuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa

Aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida,Thomas Mgonto amechukua fomu kuomba uteuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugombea ubunge katika jimbo la Ikungi Mashariki. 

Mgonto ndiyo mtiania aliyeteuliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa