OleDj Masai (@nginemiage) 's Twitter Profile
OleDj Masai

@nginemiage

The member of ministry of Educational,Science and Technology
in Tz

ID: 812501170262593536

calendar_today24-12-2016 03:32:29

194 Tweet

308 Followers

1,1K Following

ETAYA TV (@etayatvkisii) 's Twitter Profile Photo

Ladies stop asking a guy if he has a girlfriend. If you love him, join the queue. The winner will be announced eventually 🤭🚶‍♀️

Maulid Kitenge (@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Leo kwenye Twitter nimefikisha wafuasi milioni Moja, kwa Kifupi mimi ndiye mwanahabari wa michezo mwenye Nguvu zaidi kwenye mtandao huu wenye nguvu Duniani.Tanzania na Afrika Twitter imeamua kuniheshimisha na kunipa ukubwa. Ahsante kwa Heshima,ahsante Mashabiki wangu.

Leo kwenye Twitter nimefikisha  wafuasi milioni Moja, kwa Kifupi mimi ndiye mwanahabari wa michezo mwenye Nguvu zaidi kwenye mtandao huu wenye nguvu Duniani.Tanzania na Afrika  Twitter imeamua kuniheshimisha na kunipa ukubwa.

Ahsante kwa Heshima,ahsante Mashabiki wangu.
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Swali limerejewa mara mbili na hakuna jawabu. Kwanini bei ya mafuta petrol na diesel kwa lita, Zanzibar ni bei rahisi kuliko Tanganyika wakati mafuta ni suala la Muungano? NB: Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Sh. 100 bilioni ku' subsidize bei siyo pesa ya Samia. Ni pesa zetu.

Lucy Silayo (@silayo_lucy) 's Twitter Profile Photo

Hii siku hapa kwetu inakuja.... tunzeni vizuri maneno yangu. Nimeenda sokoni kununua VYAKULA vya sh.50,000/= nikikuonyesha vitu vyenyewe utaanguka chini. Alafu NCHI inaongozwa na mwanamke mwenzetu. SAD.

Hii siku hapa kwetu inakuja.... tunzeni vizuri maneno yangu. Nimeenda sokoni kununua VYAKULA vya sh.50,000/= nikikuonyesha vitu vyenyewe utaanguka chini. Alafu NCHI inaongozwa na mwanamke mwenzetu. SAD.
HB_CBE (@hb_cbe_2020) 's Twitter Profile Photo

adamlutta MATHAYO 5 31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; 32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu asimuache mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.