Malcom (@markomduda) 's Twitter Profile
Malcom

@markomduda

Isaiah 60:2 For, behold, the darkness shall cover the earth, and gross darkness the people: but the LORD shall arise upon thee,
@YoungAfricansSc & @arsenal

ID: 903361002942722048

calendar_today31-08-2017 20:57:01

9,9K Tweet

194 Followers

504 Following

Robert_Mabruki (@mabrukirobert) 's Twitter Profile Photo

Ukisoma Zaburi ya 37 Utagundua sio wote wanaoonekana wamefanikiwa ni kweli wamefanikiwa. Ninawashauri vijana msihusudu sana mafanikio ya watu bila kujua roho nyuma ya hayo mafanikio.Kuna watu wamefanikiwa kwa maagano magumu sana ya mateso na kwenda jehanamu.Ole wako, usiende nao!

Mishy🇲🇫 (@sharonmontana20) 's Twitter Profile Photo

Pichani ni mtoto SHADRACK MTIMIZI anayesumbuliwa na tatizo la moyo linalopelekea tumbo lake kuvimba na kuzimia mara kwa mara Unaweza kumshika mkono mama mzazi wa Shadrack kwa kumuwezesha gharama za kumhudumia mwanae apate tiba kwa namba 0766401682: ALLY MILANZI

Pichani ni mtoto SHADRACK MTIMIZI anayesumbuliwa na tatizo la moyo linalopelekea tumbo lake kuvimba na kuzimia mara kwa mara 

Unaweza kumshika mkono mama mzazi wa Shadrack kwa kumuwezesha gharama za kumhudumia mwanae apate tiba kwa namba 

0766401682: ALLY MILANZI
Pastor David Azael Mmbaga (@azaelmmbaga) 's Twitter Profile Photo

NITUMIE FURSA HII KUWASHUKURU KWA MAOMBI YENU NA USHAURI WAKATI MAHUBIRI TV ILIPOKUWA IMEDUKULIWA,NINAPENDA KUMSHUKURU MUNGU KUWA SASA IMERUDI MIKONONI MWETU NA MAHUBIRI YATAENDELEA KWA CHANEL ZOTE MBILI. “MAHUBIRI TV” NA “MAHUBIRI TV2”. MUNGU AWABARIKI

Millambo® (@millambo_) 's Twitter Profile Photo

Umewahi kukaa ukatafakari huu usemi...👇 Pesa haitafutwi. Pesa inavutwa. Pesa ni illusion. Ukiitafuta hutaipata. Badala yake, jibadili kuwa chombo cha thamani kitakachovuta pesa. Hivyo badala ya kutafuta pesa, kuwa wa thamani kwenye maisha ya wengine. NINAAMINI HAYA 💯

Malcom (@markomduda) 's Twitter Profile Photo

Dunia nayo imejawa na watu wakatili sana hadi leo kina DEUSDEDITH SOKA na wenzake hawajulikani walipo, maombi yangu usiku huu Mwenyezi Mungu awape kustahimili hao ndugu zao maana ni maumivu yasiyo na kipimo waliyonayo. Siku yaja iliyo njema zaidi.

Malcom (@markomduda) 's Twitter Profile Photo

Umeumba pumzi ninayovuta wewe ni Mungu.... Umeweka uhai ndani yangu ninaishi.... Yesu, Yesu Nguvu zangu... Yesu, Yesu uhai wangu...

Malcom (@markomduda) 's Twitter Profile Photo

Ile nayo ni level nyingine barca walivoenda itakia, akawawekea Milito, pemben anakichafua Samuel, nyuma yake yupo mzee wa mipira iliyokufa Wesley. but i think Jose he will be happy kwamba kumbe nimeacha DNA kule,

Malcom (@markomduda) 's Twitter Profile Photo

Kuna hako ka nyuma hapo kadogo kanaswagwa kama kondoo kamebebeshwa bonge la gobole, iweni na heshima kwenye nyumba za ibada, hizo sio sehemu ya ukitumwa tu unaenda mtaja kupata tabu kwenye vizazi vyenu msijue shida ilianzia wapi, Mungu hadhihakiwi.

Mwemezi Rwiza, PhD (@swahilibible) 's Twitter Profile Photo

WANAFUNZI wangu wawili Ms. Mkelemi na Ms. Kasambala tafiti zao zimekubaliwa (accepted) na journals mbili kubwa za Environmental Sciences: Advances, chini ya Royal Society of Chemistry (RSC) na Biomass Conversion and Biorefinery, chini ya Springer. Titles za tafiti hizi: 1.

WANAFUNZI wangu wawili Ms. Mkelemi na Ms. Kasambala tafiti zao zimekubaliwa (accepted) na journals mbili kubwa za Environmental Sciences: Advances, chini ya Royal Society of Chemistry (RSC) na Biomass Conversion and Biorefinery, chini ya Springer. Titles za tafiti hizi: 

1.
Malcom (@markomduda) 's Twitter Profile Photo

Umewaza vema sana wanasema msaada hupimwa na anaeupokea wewe unaweza kudhani umetoa kidogo lakini anaekipokea kwake ukawa msaada mkubwa sana.