M.a.n.a.n.a πŸ—½ (@mananajr_) 's Twitter Profile
M.a.n.a.n.a πŸ—½

@mananajr_

Humble soul

ID: 1261032754290012165

calendar_today14-05-2020 20:37:04

33,33K Tweet

2,2K Followers

1,1K Following

M.a.n.a.n.a πŸ—½ (@mananajr_) 's Twitter Profile Photo

Unampiga mtu simu anapokea ndio unagundua umekosea, unamueleza samahani nimekosea namba, anakupigia tena anakuuliza wewe ni wa wapi? 😑

wezzey (@kasimuabuu98) 's Twitter Profile Photo

Wazungu nao kama sio binadamu yaani wanafanya vitu vya kuhatarisha maisha et ni tour au kuenjoy. Siwezi kuparamia milima na kamba au kwenda kwenye mapango yasiyoeleweka kisa enjoyment kupapapeki zao.

M.a.n.a.n.a πŸ—½ (@mananajr_) 's Twitter Profile Photo

Unaangaika kusaka hela alafu ukizipata wanao wanasubiri unaumwa wanaziuza wanakimbilia South, unaanza kuwaona tiktok wanakuambia ashate shana....ujatoka bado.

Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Kesi ya Uhaini ya TAL itakuwa kWa ajili ya Plea Taking tarehe 08/09/2025, Tutatoa Muongozo kwa wanachama na watanzania wote kuelekea tarehe hiyo muhimu muda sio mrefu! Uelekeo ni Mahakama Kuu! #IamTunduLissu

Kesi ya Uhaini ya TAL itakuwa kWa ajili ya Plea Taking tarehe 08/09/2025, Tutatoa Muongozo kwa wanachama na watanzania wote kuelekea tarehe hiyo muhimu muda sio mrefu! Uelekeo ni Mahakama Kuu! #IamTunduLissu