Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile
Main FM Tanzania

@mainfmtanzania

Main FM 91.7 Kigoma, Redio ya Kwanza Kigoma inayokupa burudani, habari mbalimbali na vipindi vya kijamii.kutoka Kigoma Mjini - Mwanga #Kigoma

+255677 775 533

ID: 1557295823209340928

linkhttp://www.mainfm.co.tz calendar_today10-08-2022 09:20:47

463 Tweet

64 Followers

6 Following

temesatanzania (@temesatanzania) 's Twitter Profile Photo

zeno.fm/radio/main-fm-… Sikiliza Main Fm radio muda huu. Meneja TEMESA Kigoma anazungumza muda huu kuhusiana na kazi za Wakala Mkoani Humo. Main FM Tanzania

Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

Uongozi na wafanyakazi wa Main Fm unawatakia Waumini wa dini ya Kiislamu na Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitri. #mainfmtanzania .......................... Tufuatilie zaidi kupitia mainfm.co.tz #instagram Main FM Tanzania #facebook Main FM Tanzania

Uongozi na wafanyakazi wa Main Fm unawatakia Waumini wa dini ya Kiislamu na Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Eid al Fitri. 
#mainfmtanzania 
..........................
Tufuatilie zaidi kupitia
mainfm.co.tz
#instagram <a href="/mainfmtanzania/">Main FM Tanzania</a>
#facebook <a href="/mainfmtanzania/">Main FM Tanzania</a>
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

Heri ya kumbukizi ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar Kwa pamoja tuendelee kuudumisha muungano wetu. #MuunganoDay #Miaka60 #TanganyikanaZanzibar

Heri ya kumbukizi ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Kwa pamoja tuendelee kuudumisha muungano wetu.
#MuunganoDay
#Miaka60
#TanganyikanaZanzibar
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

Main Fm Tanzania inakutakia heri ya sikukuu ya wakulima duniani. #NaneNane .......................... Powered by @vertexsecuritiestz @apexattorneysadvocates

Main Fm Tanzania inakutakia heri ya sikukuu ya wakulima duniani.
#NaneNane
..........................
Powered by
@vertexsecuritiestz
@apexattorneysadvocates
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

Burudani za ufunguzi wa Main FM Cup 2024 zitahudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma (mgeni rasmi) Dkt. Rashid Chuachua katika uwanja wa Kawawa-Ujiji. Ni Jumapili hii ya Oktoba 27, 2024 mechi ya ufunguzi ikizikutanisha Bangwe Beach Combine Sc dhidi ya Mlole FC. #mainfmcup2024

Burudani za ufunguzi wa Main FM Cup 2024 zitahudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma (mgeni rasmi) Dkt. Rashid Chuachua katika uwanja wa Kawawa-Ujiji.

Ni Jumapili hii ya Oktoba 27, 2024 mechi ya ufunguzi ikizikutanisha Bangwe Beach Combine Sc dhidi ya Mlole FC.
#mainfmcup2024
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

#HABARI: Tanzania na Urusi zasaini vipengele vya mfumo wa makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa Biashara na Uchumi wakihitimisha Mkutano wa kwanza wa tume ya pamoja ya Ushirikiano wa Biashara na Uchumi baina ya nchi zao jijini Dar es Salaam. Soma zaidi instagram.com/p/DByGwVXNowM/…

#HABARI: Tanzania na Urusi zasaini vipengele vya mfumo wa makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa Biashara na Uchumi wakihitimisha Mkutano wa kwanza wa tume ya pamoja ya Ushirikiano wa Biashara na Uchumi baina ya nchi zao jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi instagram.com/p/DByGwVXNowM/…
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

#HABARI: Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelezea dira yake ya kuifanya Tanzania kuwa mzalishaji mkubwa wa chakula barani Afrika kupitia mikakati mitatu mikuu ya Serikali katika sekta ya kilimo. Soma zaidi instagram.com/p/DByLrz5NPFU/…

#HABARI: Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelezea dira yake ya kuifanya Tanzania kuwa mzalishaji mkubwa wa chakula barani Afrika kupitia mikakati mitatu mikuu ya Serikali katika sekta ya kilimo.
Soma zaidi instagram.com/p/DByLrz5NPFU/…
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

#NISHATI:Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inatarajia kuanza mradi mpya wa upelekaji umeme kwenye vitongoji utakaohusisha ujenzi wa njia za kati na ndogo za kusafirisha umeme. Soma zaidi instagram.com/p/DBynXbGtXLz/…

#NISHATI:Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inatarajia kuanza mradi mpya wa upelekaji umeme  kwenye vitongoji utakaohusisha ujenzi wa njia za kati na ndogo za kusafirisha umeme. 
Soma zaidi instagram.com/p/DBynXbGtXLz/…
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

#Mainfmcup2024: Je, wajua? Matumizi ya Nishati safi ya kupikia hupunguza mabadiliko hasi ya hali ya hewa. Jipatie mtungi wa @oryxenergiestanzania wa Kg 6 Compelete set kwa bei nafuu. #zimamkaa #washaoryxgas #mainfmcup2024 #michezo #sokalikohuku

#Mainfmcup2024: Je, wajua?

Matumizi ya Nishati safi ya kupikia hupunguza mabadiliko hasi ya hali ya hewa.

Jipatie mtungi wa @oryxenergiestanzania wa Kg 6 Compelete set kwa bei nafuu.
#zimamkaa
#washaoryxgas
#mainfmcup2024
#michezo
#sokalikohuku
Main FM Tanzania (@mainfmtanzania) 's Twitter Profile Photo

Timiza jukumu lako la kutoa taarifa ya vitendo vyote vya Rushwa na viashiria, vishawishi na kila aina ya ukiukwaji wa taratibu unaohusisha Rushwa kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa. TAKUKURU.TZ @mainstreammedia_tz #uchaguziserikalizamitaa2024 #rushwa #takukuru