Jerry Silaa (@jerrysilaa) 's Twitter Profile
Jerry Silaa

@jerrysilaa

Minister for Lands & Housing MP for Ukonga | mPAP | BSC in Electronics Science & Communication UDSM | MBA MSM-Esami | LL.B-OUT | PGD LP-LST |

ID: 363573554

linkhttp://www.imc.go.tz calendar_today28-08-2011 09:32:14

8,8K Tweet

87,87K Followers

181 Following

millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa Jerry Silaa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara yake Eng. Anthony Sanga kuwasimamisha kazi Wapima Ardhi Enock Katete na Cleoface Ngoye kwa tuhuma za kuidhinisha na kubadilisha ramani ya eneo linalomilikiwa na Kanisa la

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa <a href="/JerrySilaa/">Jerry Silaa</a> amemuagiza Katibu Mkuu Wizara yake Eng. Anthony Sanga kuwasimamisha kazi Wapima Ardhi Enock Katete na Cleoface Ngoye kwa tuhuma za kuidhinisha na kubadilisha ramani ya eneo linalomilikiwa na Kanisa la
OfisiyamkuuwamkoaTanga (@ofisiyamkuuwam1) 's Twitter Profile Photo

"Ardhi sio maji wala chakula utanunua kila wakati ni rasilimali, kwa hiyo tusichukulie mchakato wa kumiliki ardhi ghafla. Yoyote anayetaka kumiliki ardhi atumie muda wa kutosha kijiridhisha na sehemu pekee ya kufanya hivyo ni kwenye Ofisi za Ardhi "Jerry Silaa leo Jijini Tanga.

"Ardhi sio maji wala chakula utanunua kila wakati ni rasilimali, kwa hiyo tusichukulie mchakato wa kumiliki ardhi  ghafla. Yoyote anayetaka kumiliki ardhi atumie muda wa kutosha kijiridhisha na sehemu pekee ya kufanya hivyo ni kwenye Ofisi za Ardhi "<a href="/JerrySilaa/">Jerry Silaa</a> leo Jijini Tanga.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia kibao cha Uzinduzi wa mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwenye hafla iliyofanyika katika Ofisi za Baraza hilo Kijitonyama - Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia kibao cha Uzinduzi wa mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwenye hafla iliyofanyika katika Ofisi za Baraza hilo Kijitonyama - Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Doris Ntuli Kalasa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino tarehe 2 Februari, 2024 .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Doris Ntuli Kalasa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino tarehe 2 Februari, 2024 .
Jerry Silaa (@jerrysilaa) 's Twitter Profile Photo

A legend has rested. A principled, straight forward, no nonsense and decisive leader. Life well lived, million lessons for young leaders. Pole nyingi kwa mama na familia, wanaCCM na watanzania wote. Our thoughts and prayers are with you at this sad moment. RIP EL JS

A legend has rested.
A principled, straight forward, no nonsense and decisive leader.
Life well lived, million lessons for young leaders.
Pole nyingi kwa mama na familia, wanaCCM na watanzania wote.
Our thoughts and prayers are with you at this sad moment.
RIP EL
JS
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa kupitia Vyombo vya Habari kuhusu kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi kilichotokea Hospitali ya Mzena Jijini Dar es salaam alikolazwa kwa matibabu ya 29 Februari 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa kupitia Vyombo vya Habari kuhusu kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi kilichotokea Hospitali ya Mzena Jijini Dar es salaam alikolazwa kwa matibabu ya 29 Februari 2024.
Jerry Silaa (@jerrysilaa) 's Twitter Profile Photo

Wababa tunajukumu kubwa la kutengeneza nguvu kazi ya kizazi kijacho kupitia watoto wetu tutimize wajibu wetu happy fathers day to all fathers