James Lekey (@jameslekey) 's Twitter Profile
James Lekey

@jameslekey

Advocate, Notary Public & Commissioner for Oaths and
Parliamentary Draftsman

ID: 1252642595404165121

calendar_today21-04-2020 16:58:18

339 Tweet

972 Followers

3,3K Following

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Balozi Omari Ramadhan Mapuri, leo Machi 19, 2025 ametembelea vituo vya uandikishaji wapiga kura katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Jimbo la Kibamba, ambapo alishuhudia wananchi wengi wakijitokeza kushiriki katika zoezi la

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Balozi Omari Ramadhan Mapuri, leo Machi 19, 2025 ametembelea vituo vya uandikishaji wapiga kura katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Jimbo la Kibamba, ambapo alishuhudia wananchi wengi wakijitokeza kushiriki katika zoezi la
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti Mstaafu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani (Mst) Semistocles Kaijage leo Machi 19, 2025 amefika katika kituo cha Shule ya Msingi Oysterbay Kata ya Msasani Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam na kuboresha taarifa zake kwenye

Mwenyekiti Mstaafu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani (Mst)  Semistocles Kaijage leo Machi 19, 2025 amefika katika kituo cha Shule ya Msingi Oysterbay Kata ya Msasani Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam na kuboresha  taarifa zake kwenye
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira leo tarehe 19 Machi, 2025 ametembela vituo mbalimbali vya kuandikisha Wapiga kura Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuona zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira leo tarehe 19 Machi, 2025 ametembela vituo mbalimbali vya kuandikisha Wapiga kura  Jimbo la Ukonga Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuona zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Zakia Mohamed Abubakar leo tarehe 19 Machi, 2025 ametembelea vituo vya kuandikisha Wapiga Kura katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni mkoani Dar es Salaam. #kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora #elimuyampigakura

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Zakia Mohamed Abubakar leo tarehe 19 Machi, 2025 ametembelea vituo vya kuandikisha Wapiga Kura katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni mkoani Dar es Salaam.

#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora 
#elimuyampigakura
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora #elimuyampigakura #tumehuruyataifayauchaguzi #uboreshajiwadaftari #nendakajiandikishe #kaboreshetaarifazako #tuwemo #mpigakura

#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora 
#elimuyampigakura 
#tumehuruyataifayauchaguzi 
#uboreshajiwadaftari 
#nendakajiandikishe 
#kaboreshetaarifazako 
#tuwemo 
#mpigakura
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

KUJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MOJA! #kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora #elimuyampigakura #tumehuruyataifayauchaguzi #uboreshajiwadaftari #nendakajiandikishe #kaboreshetaarifazako #tuwemo #mpigakura

KUJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MOJA!

#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora 
#elimuyampigakura 
#tumehuruyataifayauchaguzi 
#uboreshajiwadaftari 
#nendakajiandikishe 
#kaboreshetaarifazako 
#tuwemo 
#mpigakura
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omari Ramadhan Mapuri, leo Machi 20, 2025 ikiwa ni siku ya nne ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mkoa wa Dar es Salaam ametembelea vituo vya uandikishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo,

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omari Ramadhan Mapuri, leo Machi 20, 2025 ikiwa ni siku ya nne ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mkoa wa Dar es Salaam ametembelea vituo vya uandikishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo,
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Jimbo la Ilala na Kinondoni mkoani Dar es Salaam leo Machi 20, 2025 katika siku ya nne ya zoezi hilo mkoani humo.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Jimbo la Ilala na Kinondoni  mkoani Dar es Salaam leo Machi 20, 2025 katika siku ya nne ya zoezi hilo mkoani humo.
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Ikiwa ni siku ya tano ya Machi 21, 2025 ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mkoa wa Dar es Salaam, Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu, Asina Omari, ametembelea na kukagua vituo vya uboreshaji katika Jimbo la Mbagala

Ikiwa ni siku ya tano ya Machi 21, 2025 ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mkoa wa Dar es Salaam, Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu, Asina Omari, ametembelea na kukagua vituo vya uboreshaji katika Jimbo la Mbagala
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Jimbo la Ilala na Segerea mkoani Dar es Salaam leo Machi 22, 2025 na kujionea mwenendo wa zoezi hilo. Uongezaji wa

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ametembelea vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Jimbo la Ilala na Segerea mkoani Dar es Salaam leo Machi 22, 2025 na kujionea mwenendo wa zoezi hilo.  Uongezaji wa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuongeza siku mbili zaidi za zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Dar es Salaam ambapo sasa zoezi hilo litamalizika Machi 25, 2025. Hatua hiyo imetangazwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, ni.

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuongeza siku mbili zaidi za zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Dar es Salaam ambapo sasa zoezi hilo litamalizika Machi 25, 2025.

Hatua hiyo imetangazwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, ni.
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

UBORESHAJI WA DAFTARI DAR KUMALIZIKA TAREHE 25 MACHI, 2025 SAA 12:00 JIONI #kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora #elimuyampigakura #tumehuruyataifayauchaguzi #uboreshajiwadaftari #nendakajiandikishe #kaboreshetaarifazako #tuwemo #mpigakura

UBORESHAJI WA DAFTARI DAR KUMALIZIKA TAREHE 25 MACHI, 2025 SAA 12:00 JIONI
#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora 
#elimuyampigakura 
#tumehuruyataifayauchaguzi 
#uboreshajiwadaftari 
#nendakajiandikishe 
#kaboreshetaarifazako 
#tuwemo 
#mpigakura
Gilead Teri (@gileadteri) 's Twitter Profile Photo

Nilipopita hapa miezi 7 iliyopita niliwajuza kuhusu uwekezaji unaopangwa kufanyika hapa MAKAMBAKO. LEO Mhe Waziri Kitila Mkumbo (PhD) na RC Anthony Mtaka wamezuru kiwanda cha kuchakata parachichi. Na hali ni HII HAPA πŸ‘‡ NJOMBE ni πŸ”₯ #MwekezajiNiMtanzania

Nilipopita hapa miezi 7 iliyopita niliwajuza kuhusu uwekezaji unaopangwa kufanyika hapa MAKAMBAKO.

LEO Mhe Waziri <a href="/kitilam/">Kitila Mkumbo (PhD)</a> na RC Anthony Mtaka wamezuru kiwanda cha kuchakata parachichi. Na hali ni HII HAPA πŸ‘‡ 

NJOMBE ni πŸ”₯

#MwekezajiNiMtanzania
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungmza jambo wakati akiongoza kikao maalum cha Tume kilichoketi leo Aprili 03,2025 mkoani Dar es Salaam. #tumehuruyataifayauchaguzi

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungmza jambo wakati akiongoza kikao maalum cha Tume kilichoketi leo Aprili 03,2025 mkoani Dar es Salaam.

#tumehuruyataifayauchaguzi
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora #elimuyampigakura #tumehuruyataifayauchaguzi #uboreshajiwadaftari #nendakajiandikishe #kaboreshetaarifazako #tuwemo

#kujiandikishakuwampigakuranimsingiwauchaguzibora 
#elimuyampigakura 
#tumehuruyataifayauchaguzi 
#uboreshajiwadaftari 
#nendakajiandikishe 
#kaboreshetaarifazako 
#tuwemo
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (@tumeuchaguzitz) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Mei 19, 2025 ametembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura unaoendelea katika mikoa 16 ya

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Mei 19, 2025 ametembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura unaoendelea katika mikoa 16 ya