@hammyally11
ID: 1251157054263193600
calendar_today17-04-2020 14:34:51
4,4K Tweet
1,1K Followers
1,1K Following
4 months ago
"Conference league ni ndogo" hilo kombe kubwa ulikua unashiriki wewe liko wapi?
Adui zako hawataki kujua UMEFANIKIWA kufanya nini leo wanachotaka kujua ni UMESHINDWA kufanya nini leo. Good morning champs π
Mimi natoa ahadi ya kurepost kila tweet inayohusu Chelsea kwa kila shabiki wa Chelsea humu kuanzia Leo Ila isiwe tusi πππ Good morning champions βββπ
Β£30 millions? Dunia hii ambayo nyumbu walimsajili Hoijlund kwa Β£72 million. Don't tell me that this is not a good business
Mmh 130??naanza kusmell utapeli hapaππππ«΅
Ila hao Leipzig sio wa kufanya nao biashara jamaa ni matapeli kiwango cha lami mzee
Ange tayar kashaliwa kichwa bado Amorim na teta boyππ
Mbona simuoni Kishkiπ
Chenali si walifika nusu fainal lakiniπ
Rasmi sasa hivi nitakua shabiki wa England NT
BRIIINGGG
Aisee CHELSEA KMMKEEE mleteeniii huyuπ₯²π₯²π₯²π₯²
Mmhhh huyu mbn nishaanza kuogopa eti semaji Chelsea Tanzania KILA100
Liam Delap, welcome to our house. π‘
Kwannn wasingempa ile 19 daahhh
Chezaji lina goli 20 mnataka mlipe kwa hela ya chipsi yaiππππ«΅
Mmhh hili nyanda tunalohusishwa nalo..ASTAGHAFIRULLAH π₯²π