Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile
Mjamaa

@evern20

Mjamaa Mzalendo

ID: 755477203899543552

linkhttp://mcaf.ee/o8ulm0?mjamaa calendar_today19-07-2016 18:59:36

4,4K Tweet

1,1K Followers

4,4K Following

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Unaweza kujiuliza, Simba Sports Club msimu huu imesajili wachezaji 11 kati yao ni 2 tu ndio wameingia kikosi cha kwanza, ambao ni Che Malone na Ngoma, nao viwango vyao ni chini ya 70% sio kwa 100% kama ilivyotarajiwa. Ukiangalia usajiri unasimamiwa na Rais wa Timu Try Again na

Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

Sawa ndugu mwenyekiti... Ni siku 12 zilizosalia kucheza mechi ya klabu bingwa na timu ngumu Asec Mimosa.... Mnataka kumtangaza kocha siku ya mechi au huyu wa makipa naye mnamtafutia sababu ya kumtimua?

Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

Maeneo yao ya asili kuwaondoa na kama haitoshi mwaenda mbali zaidi kuanza kuzigusa nguzo za tamaduni zao.. Naamini hii haitaishia hapa bali mtakuja wazuia kuvaa mashuka yao kwa lazima.. Maasai na Hadzabe ndio tamaduni pekee za makabila ya ukanda huu zilizodumu kwa karne na karne

Dr. Hamisi Kigwangalla (@hkigwangalla) 's Twitter Profile Photo

So guys, huu hapa mchango wangu wa senti mbili juu ya kuanza kitu: 1. “Elimu haijawahi kumtupa mtu.” Hii ni kauli aliitoa mwanetu mmoja tukiwa intern residences pale Muhimbili. Alikuwa amemaliza internship yake akaitwa interview sehemu, akafanikiwa kupata ajira. Starting salary

Dr. Hamisi Kigwangalla (@hkigwangalla) 's Twitter Profile Photo

So, tunaendelea tulipoishia, au siyo? 8. Kama wewe hauna urithi wa biashara, asset ama mtaji kama nilivyokuwa mimi, basi njia yako ni ngumu zaidi. Tumia akili, elimu, uzoefu na maarifa yako yote kubuni wazo linalofaa. Ukiishakuwa na wazo na ukajua unahitaji nini, sasa utajua

Dr. Hamisi Kigwangalla (@hkigwangalla) 's Twitter Profile Photo

INAENDELEA HAPA… So, tunaendelea tulipoishia, au siyo? 8. Kama wewe hauna urithi wa biashara, asset ama mtaji kama nilivyokuwa mimi, basi njia yako ni ngumu zaidi. Tumia akili, elimu, uzoefu na maarifa yako yote kubuni wazo linalofaa. Ukiishakuwa na wazo na ukajua unahitaji

Dr. Hamisi Kigwangalla (@hkigwangalla) 's Twitter Profile Photo

Nimefurahi tumekuwa na mjadala mzuri kuhusu kuweka akiba, kuwekeza, kuanzisha biashara na ujasiriamali. Huu ni mjadala muhimu kwenye jamii. Lakini, ni mjadala muhimu zaidi kwenye ‘nafsi’ ya kila mtu anayejitafuta. Maisha ni magumu sana. Kiukweli, hayajawahi kuwa rahisi. Kama

Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

Hivi wale wakuitwa watetezi wa haki za wanawake waliomkalia Makonda kooni wapo wapi? Hawasikiki wa kuonekana x.com/StoneSaphia/st…

Kampista (@davidkampista) 's Twitter Profile Photo

Mara ya mwisho Ateba kuifungia bao Simba ilikua Oct 4,2024 kwenye sare dhidi ya Coastal (penati) baada ya hapo hajafunga dhidi ya Yanga,Prisons na Namungo!iwapo Ateba hatofunga kesho dhidi ya Mashujaa tutarajie hadi Nov 4 atatimiza mwezi bila kufunga bao na itakua ni kama Another

Mara ya mwisho Ateba kuifungia bao Simba ilikua Oct 4,2024 kwenye sare dhidi ya Coastal (penati) baada ya hapo hajafunga dhidi ya Yanga,Prisons na Namungo!iwapo Ateba hatofunga kesho dhidi ya Mashujaa tutarajie hadi Nov 4 atatimiza mwezi bila kufunga bao na itakua ni kama Another
Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

Unapowaza kwakutumia KINYEO basi ukumbuke kuchamba kwa Gunzi pia. Dube Prince ~unikumbushe alifunga lini tangu kuanza kwa ligi msimu huu. Musonda ana goli 1 alilofunga 3/10/024 dhidi ya Pamba ✍️ Mzize ana goli 1 alilofunga tar 29/08/024 vs kagera✍️

Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

Ama kuachana na mumewe ((mpenziwe)) au kuibuka kw skendo dhidi yake tutasikia tu...labda hayo mengine abaki nayo hivyo hivyo kifuani but akiamua kuyasanua yote basi asiache mwanya kati yake na Mungu Mkuu..Muumba wa vitu vyote.

Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

We jamaa kiazi kweli..... Jeshi letu limefight mission nyingi likiwa kama kiongozi wa mission hizo nakushinda kibabe......achilia mbali hii ya SAMIDRC ambayo inaongozwa na S.Afrika na sisi tukiwa washirika tu.... Msandawana ana jambo behind the scene shenzzy

Mjamaa (@evern20) 's Twitter Profile Photo

Unakoelekea utatuambia pale Misheni peramiho ndipo yalipokuwa makaomakuu ya Uislamu kusini mwa Tanzania... Acha ubaguzi na uchochezi mwezi mtukufu huu kaka..