Dullah excel (@dullah_sky) 's Twitter Profile
Dullah excel

@dullah_sky

Economist, Data analyst.
power BI
SQl
Excel

ID: 1559815614688071680

calendar_today17-08-2022 08:13:51

324 Tweet

4,4K Followers

3,3K Following

Tanzania Ya Samia (@tanzaniayamama) 's Twitter Profile Photo

Na kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na hizo Roho saba za Mungu, na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hai, nawe umekufa. πŸ€” tafakari!.

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

Kama umependa Uzi Huu basi Usisahau Ku-RETWEET na Kufollow AmosiNyanda Ili USIKOSE Madini kama Haya Kila Siku BURE Kabisa Kama una Interest na.. -Copywriting -Closing -Persuasion & Influence Psychology Plus..."Masculinity" Basi Follow AmosiNyanda πŸ‘‡

Dullah excel (@dullah_sky) 's Twitter Profile Photo

What a number 10? His passing skills are very awesome. Yanga chini ya coach Gamondi speed ya wachezaji imeongezeka wanaachia pass kwa wakati, timu inacheza soka safi tuipe muda itafanya makubwa kwenye michuano wanayoshiriki #save this tweet.

What a number 10? His passing skills are very awesome. Yanga chini ya coach Gamondi speed ya wachezaji imeongezeka wanaachia pass kwa wakati, timu inacheza soka safi tuipe muda itafanya makubwa kwenye michuano wanayoshiriki 
#save this tweet.
Dullah excel (@dullah_sky) 's Twitter Profile Photo

Uchambuzi uliojificha Ili timu iweze kucheza kwa style wanayotaka inabidi wa win Middfield battle uwezo wa kucontrol mpira timu inakuwa balance. Kwa upande wa club ya yanga(wananchi) kazi hiyo inafanywa na mtaalam daktari khalid Aucho ila haimbwi sana #Thelivinglegend

Uchambuzi uliojificha
Ili timu iweze kucheza kwa style wanayotaka inabidi wa win Middfield battle uwezo wa kucontrol mpira timu inakuwa balance.
Kwa upande wa club ya yanga(wananchi) kazi hiyo inafanywa na mtaalam daktari khalid Aucho ila haimbwi sana 
#Thelivinglegend
Sylah arts (@pichanzurii) 's Twitter Profile Photo

Kindly nisaidie #Kurepost 🌸 Kwa wale mliokua mnaulizia gharama ya mashine ya kulaminate na kutengeneza pichambao nawasogezea hii apa na vifaa vyake. Mafunzo ni bure kabisa , mikoani tunasafirisha mzigo unafika hadi ulipo πŸ“sinza palestina ☎️ 0786445451

Kindly nisaidie    #Kurepost 🌸

Kwa wale mliokua mnaulizia gharama ya mashine ya kulaminate na kutengeneza pichambao nawasogezea hii apa na vifaa vyake.

Mafunzo ni bure kabisa , mikoani tunasafirisha mzigo unafika hadi ulipo

πŸ“sinza palestina
☎️ 0786445451
ProsperNow. (@prossoff) 's Twitter Profile Photo

From DM. "Brother, nina kwangu, Nimeoa naiashi na mke wangu mwaka wa 5 sasa, namoenda na inaonekana ananipenda pia tumekuwa tukiishi Kwa Amani kabisa na furaha kama kawaida. Nyumba yangu ni kubwa kiasi kwamba mgeni/wageni yeyote anaweza kuja/wanaweza kuja na kukaa siku kadhaa

𝗣 𝗔 𝗕 π—Ÿ 𝗒 🦁 (@kingpablotz) 's Twitter Profile Photo

Mwanamume anahitaji kujiamini ili kufanikiwa katika nyanja zote za maisha. Kujiamini si kitu unachozaliwa nacho, ni ujuzi unaojifunza na kuukuza. Ni kama msuli, kadiri unavyoufanyia mazoezi, ndivyo unavyozidi kuwa na nguvu. Njia 10 za kukuza kujiamini Fungua thread 🧡 πŸ‘‡πŸΎ

Mwanamume  anahitaji kujiamini ili kufanikiwa katika nyanja zote za maisha. 

Kujiamini si kitu unachozaliwa nacho, ni ujuzi unaojifunza na kuukuza.

Ni kama msuli, kadiri unavyoufanyia mazoezi, ndivyo unavyozidi kuwa na nguvu.

Njia 10 za kukuza kujiamini

Fungua thread 🧡 πŸ‘‡πŸΎ
Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

"LOVE SONG"🎢 πŸ‘‰πŸ½ "Ona hata Sura zao Mbaya" "DISCONNECT"🎢 πŸ‘‰πŸ½ "Sura Baya toka hapa" Ifike Hatua "MARIOO" aziheshimu Sura za wenzie sasa πŸ˜‚πŸ˜‚

ALLY MSANGI (@ally_eh) 's Twitter Profile Photo

Umemaliza chuo, hauna kazi, lakini una internet, simu or computer. Anza kujifunza baadhi ya hizi skills hata YouTube tu. 1. Copywriting and Content Writing 2. Search Engine Optimisation (SEO) 3. Video and Audio production 4. UX design 5. Blockchain / Web3 6. Data Analysis