HAULE_JR๐Ÿ’Š๐Ÿ’‰ (@dr_chriss_255) 's Twitter Profile
HAULE_JR๐Ÿ’Š๐Ÿ’‰

@dr_chriss_255

@Medical_personnel ๐Ÿ’Š๐Ÿ’‰
@CHELSEA_DIE_HARD_FAN ๐Ÿ’™
@Young_Africans_Fan ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ’š Lastborn ๐Ÿ˜‡

ID: 1185757657422016513

calendar_today20-10-2019 03:20:51

18,18K Tweet

5,5K Followers

4,4K Following

M.D (๐Ÿ…จ) (@regantesla_) 's Twitter Profile Photo

Wewe ukiona Tangazo la mtu la biashara kama hili iwe una hitaji au hauhitaji bidhaa twanga REPOST tu. Huwezi jua lolote linaweza kutokea hapo. Call/Whatsapp 0716006808 TV zipo kuanzia 19" mpaka 100" Tupo Dar na mikoani tunafanya delivery.

Wewe ukiona Tangazo la mtu la biashara kama hili iwe una hitaji au hauhitaji bidhaa twanga REPOST tu.

Huwezi jua lolote linaweza kutokea hapo.

Call/Whatsapp 0716006808
TV zipo kuanzia 19" mpaka 100"
Tupo Dar na mikoani tunafanya delivery.
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Petition ยท End Electoral Irregularities and Strengthen Democracy in Tanzania - Tanzania ยท Change.org change.org/p/end-electoraโ€ฆ

๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡น ๐Ÿ‡ฟ (@esireid) 's Twitter Profile Photo

#TajiriLaKihaya My Last Born, ISFA ISSA- Katimiza miaka MIWILI leo siku ya nane naneโ€ฆ Nisaidieni kumpa Birthday Blessings and Wishesโ€ฆ Akikua atakuja kuzisoma- IN SHA ALLAH๐Ÿ™๐Ÿฝ

#TajiriLaKihaya 

My Last Born, ISFA ISSA- Katimiza miaka MIWILI leo siku ya nane naneโ€ฆ

Nisaidieni kumpa Birthday Blessings and Wishesโ€ฆ Akikua atakuja kuzisoma- IN SHA ALLAH๐Ÿ™๐Ÿฝ
SIR JEFFโšก๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Si tu kwamba T. Lissu anajitetea mahakamani dhidi ya kesi mbaya zaidi kuwahi kutokea nchini๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Lkn pia: -Anainspire junior lawyers -Anatufundisha sheria buree -Anatoa motisha ya kujiamini na kuwa jasiri -Anaonyesha uozo uliopo ktk mihimili yetu In my books; this man is a GOAT๐Ÿ

Si tu kwamba T. Lissu anajitetea mahakamani dhidi ya kesi mbaya zaidi kuwahi kutokea nchini๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Lkn pia:

-Anainspire junior lawyers
-Anatufundisha sheria buree
-Anatoa motisha ya kujiamini na kuwa jasiri
-Anaonyesha uozo uliopo ktk mihimili yetu

In my books; this man is a GOAT๐Ÿ
M.D (๐Ÿ…จ) (@regantesla_) 's Twitter Profile Photo

Kama sisi wote ni Watanzani basi tunatakiwa kujiskia vibaya sana kwa huyu Baba kuendelea kuishi Gerezani.. #IamTunduLissu #FreeTunduLissu

Kama sisi wote ni Watanzani basi tunatakiwa kujiskia vibaya sana kwa huyu Baba kuendelea kuishi Gerezani..

#IamTunduLissu
#FreeTunduLissu
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hii video ya MAGARI MTAANI imeniuma kinoma yani. Nchi imekuwa ya kisenge sana hii. Juzi katekwa dogo wa miaka 25, yeye anafanya kazi ya kupost magari mazuri yanayopatikana Tanzania. Page yake ndio ilipost zile gari zakina Elvis , Abdul & mkuu aa usalama wa taifa. Dogo

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Kwanini EFM wamefuta video hii? Uchambuzi mzuri kama huu kwanini unafutwa? Haya muda wa kuisambaza hii video kwa speed umefika. REPOST 200 TUTAKUWEPO๐Ÿซต๐Ÿ˜Ž