OFFICIALDESIDERIUS🥇 (@desderiusog) 's Twitter Profile
OFFICIALDESIDERIUS🥇

@desderiusog

1k. Let's connect the world
Yebo.cross. Available. Jumla. Location Dar es Salam mkuranga industrial area
📞 Message D3M on WhatsApp. wa.me/255618386859

ID: 705115078836756481

calendar_today02-03-2016 19:38:30

7,7K Tweet

500 Followers

795 Following

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

“Hakuna inayomtambua Mgombea Binafsi”- Wakili Lwijiso Ndelwa akifafanua kuhusu Kanuni na Sheria za Uchaguzi Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Katika Mdahalo wa #CafeTalk na Waandishi wa Habari. #HapaNiNyumbani #CrownDigital

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Mdau wa Sekta ya Habari na Mwandishi Mkongwe Paschal Mayala akiwa kwenye #KasriLaKikeke anadai kuwa Tanzania tuna changamoto ya Maudhui. #KasriLaKikeke

Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Ni Binadamu pekee mwenye Asili ya Ujuaji na Chuki ndani yake... Ndie atakae thubutu kusema huyu jamaa ana uandishi wa kuunga unga.... Puuza huyo mtu 🚶🏾‍♂️

Ni Binadamu pekee mwenye Asili ya Ujuaji na Chuki ndani yake...

Ndie atakae thubutu kusema huyu jamaa ana uandishi wa kuunga unga....

Puuza huyo mtu 🚶🏾‍♂️
MEDIA KUU✨🎉 (@mediakuu07) 's Twitter Profile Photo

Dunia inabadilika. Matukio ya ajabu yanazidi kutokea. Ukiwa na macho ya kuona na masikio ya kusikia, lazima utagundua kuwa kuna kitu kikubwa kinachotendeka. Sio hadithi za kutunga, . 👇⤵️

Dunia inabadilika. Matukio ya ajabu yanazidi kutokea.

Ukiwa na macho ya kuona na masikio ya kusikia, lazima utagundua kuwa kuna kitu kikubwa kinachotendeka.
Sio hadithi za kutunga, .

👇⤵️
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma leo May 07, 2025 Bungeni Jijini Dodoma amehoji juu ya urejeshaji Pesa za mikopo zilizotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Wasanii Nchini. “...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna Shilingi ngapi au

Abuubakaryabdy,, (@abuubakarya) 's Twitter Profile Photo

Dullah_theKing🎧 Enjoy ni Ngoma ya vibe ambayo utaiskia tu kwenye vigodoro kitu ambacho ni seasonal, ni ngumu kuishi kwenye MAISHA ya kawaida,, SUMU ipo cool na calm; feeling extraction track, unaweza kuskiliza hata night ukitaka kulala, imepoa na kupenya. Hapa ndo unapouona UFALME WA MFALME 👑