Amiri Nazareth
@amiri_naza42007
ID:1725212586910597120
16-11-2023 18:02:06
74 Tweets
41 Followers
672 Following
millardayo muungano hauna faida kwa Tanganyika, kwa sababu kama mtu wa bara huwezi kujenga zbar bila kitambulisho cha mzanzibari mkazi, pia wale wana bendera yao tofauti na yetu wana mamlaka yao ya mapato(ZRA), pia mtu wa bara huwezi kuajiriwa zbar ila wao wanaajiliwa,