๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ
@__abdulazack
Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Alhamdulillah
ID:1135266084100235265
02-06-2019 19:25:01
182,4K Tweets
93,3K Followers
93,7K Following
Huyu Mke wa Mnyika kama hawajakutana pale Mwananyamala kwenye kuchukua njugu mawe za uzima basi Mnyika alivyo na roho mbaya kashampa dada wa watu tiba.. sema hongerah jamaa angu MNYIKA John John enzi za mwanakulifaindi na kulitafuta umepakaza sana upupu kwa vibinti utulie sasa
Serikali imelipa madai ya malimbikizo ya mishahara ya watumishi 132,611 yenye thamani ya Sh219,732,820,025.74.
Serikali inatoa wito kwa waajiri wote nchini kuhakiki na kuwasilisha madeni ya watumishi kwa ajili ya taratibu za uhakiki na malipo.
#MguuKwaMguu2025
MAMBO 9 MUHIMU YANAYOKUSUDIWA KUTEKELEZWA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA #MguuKwaMguu2025
Katika Kipindi cha Tatu cha #SonganaSamia , tunaangazia namna Rais Samia Suluhu Hassan alivyoleta afueni kwa maelfu ya watoto wa Tanzania kupitia taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete. Hii ni #SonganaSamia . Bofya hapa kutazama kipindi chote: youtu.be/301Er6lF4q4?siโฆ
๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐? ๐๐ก๐๐๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐จ๐ฌ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐ข๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ง๐จ ๐ฒ๐ ๐ก๐๐๐ก๐๐ซ๐
Hali inazidi kuwa mbaya kwa chama cha Demokrasia na Maendeleo kutokana na ushawishi kuendelea kushuka siku hadi siku, hapo jana Makamu Mwenyekiti
๐๐๐๐ ๐๐ข๐๐ค๐ ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ ๐๐ข๐ฅ๐ '๐
๐ข๐ซ๐ฌ๐ญ ๐๐ฅ๐๐ฌ๐ฌ'?
Mwanafunzi pekee wa Fizikia, Kemia na Hesabu (PCM) Afrika kuwahi kuweka historia katika taaluma ya sheria kwa ufaulu, tafiti, machapisho ya kitaaluma n.k, ndiye Profesa kamili wa kwanza wa Sheria pale
Watanzania tunajivunia kuwa na kiongozi ๐
โ
Mnyeyekevu
โ
Mwenye upendo
โ
Mpenda maendeleo
โ
Mpenda haki
Hizi ni sifa chache tu za Mama yetu kipenzi taja zingine nyingi unazijua.
#MguuKwaMguu2025 mpaka 2030 hatuna wasiwasi tuko mikono salama.