EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profileg
EastAfricaTV

@eastafricatv

Official EastAfricaTV (EATV) Twitter
Email: [email protected]

ID:169557169

linkhttp://www.eatv.tv calendar_today22-07-2010 16:39:48

172,6K Tweets

1,7M Followers

7 Following

Follow People
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Katika kukabiliana na matokeo hasi yanayoletwa na mabadiliko ya Tabia Nchi, Mkurugenzi wa NemcTanzania Dkt. Immaculate Semesi ameeleza kuwa Taasisi zote za serikali na zisizokuwa za Serikali na Jamii wanapaswa kushirikiana.

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

: Sarah Mbasha, Mhadhiri Chuo cha Ustawi wa Jamii, idara ya Mahusiano kazini amesema siku hizi watoto wa kiume hawana uwezo wa kuzungumza kama walivyo watoto wa kike.

Je ni kweli?

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

: @sara_ngoma05 katika DADAZ amezungumzia faida za mwanamke kujiamini na kuwa na uwezo wa kuzungumza kwenye jamii.

Wewe ulianza kuwa na uwezo wa kujiamini kuzungumza ukiwa na umri gani?

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Kuna kila dalili kuonekana kwamba ni maeneo baadhi tu ndio yalipata athari na utawala wa kikoloni wa ujerumani hiyo sio kweli nchi yote ya Tanzania iliathirika na utawala wa kijerumani na sio maeneo baadhi tu

Wanapokuja na kwenda baadhi ya maeneo kwamba ndio yaliathirika zaidi

'Kuna kila dalili kuonekana kwamba ni maeneo baadhi tu ndio yalipata athari na utawala wa kikoloni wa ujerumani hiyo sio kweli nchi yote ya Tanzania iliathirika na utawala wa kijerumani na sio maeneo baadhi tu Wanapokuja na kwenda baadhi ya maeneo kwamba ndio yaliathirika zaidi
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

: Sarah Mbasha, Mhadhiri Chuo cha Ustawi wa Jamii ambaye pia ni Mtaalamu wa Mahusiano kazini, ameelezea kuwa wanawake wanaozungumza mbele za watu wanaonekana kuwa wanaharakati kwenye jamii.

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Tuna utajiri mkubwa wa lugha ambao tunaweza kuutumia kama utalii, Tanzania ni nchi pekee ambayo ina makundi yote ya lugha ikiwemo wabantu, wakhoisani na makundi mengine na hii naomba ipelekwe hata umoja wa mataifa itambulike kuwa Tanzania ndio nchi pekee yenye makundi

'Tuna utajiri mkubwa wa lugha ambao tunaweza kuutumia kama utalii, Tanzania ni nchi pekee ambayo ina makundi yote ya lugha ikiwemo wabantu, wakhoisani na makundi mengine na hii naomba ipelekwe hata umoja wa mataifa itambulike kuwa Tanzania ndio nchi pekee yenye makundi
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Katika hotuba yake kwa wadau wa kongamano la mazingira leo Mei 31, 2024 Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amebainisha kuwa kuna sheria inayoongoza uhusiano wa kutegemeana baina ya viumbe na mazingira yake na sheria hiyo inasema nitunze nikutunze au nifae nikufae na

Katika hotuba yake kwa wadau wa kongamano la mazingira leo Mei 31, 2024 Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amebainisha kuwa kuna sheria inayoongoza uhusiano wa kutegemeana baina ya viumbe na mazingira yake na sheria hiyo inasema nitunze nikutunze au nifae nikufae na
account_circle
EastAfricaRadio(@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

: Mohamed kutoka Mbezi Beach anasema mke wake amekuwa akimnyima tendo la ndoa Mwaka wa pili sasa, na anasema anakaa naye kwasababu ya watoto tu, na amegundua ana Mwanaume mwingine.

Mpe ushauri Mohamedi naye atasoma comment yako hapa.

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Kina cha maji katika ziwa Tanganyika kimeongezeka wastani wa zaidi ya mita mbili na zaidi, hata kwenye maeneo ya fukwe ambako watu wamefanya uwekezaji kuna baadhi ya nyumba haziwezi kutumika tena kwasababu maji yameongezeka na yote ni mabadiliko ya tabia nchi'

'Katika upande wa

'Kina cha maji katika ziwa Tanganyika kimeongezeka wastani wa zaidi ya mita mbili na zaidi, hata kwenye maeneo ya fukwe ambako watu wamefanya uwekezaji kuna baadhi ya nyumba haziwezi kutumika tena kwasababu maji yameongezeka na yote ni mabadiliko ya tabia nchi' 'Katika upande wa
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

: Dallas Mavericks imefuzu kucheza fainali ya NBA 2024 baada ya kuwaondosha Minnesota Timberwolves kwa jumla ya matokeo 4-1 kutoka kanda ya Magharibi baada ya kuwafunga kwenye mchezo wa 5 leo Alfajiri kwa alama 124-103.

Nyota wa Mavericks,Luca Doncic na Kyrie Irving

#MICHEZO: Dallas Mavericks imefuzu kucheza fainali ya NBA 2024 baada ya kuwaondosha Minnesota Timberwolves kwa jumla ya matokeo 4-1 kutoka kanda ya Magharibi baada ya kuwafunga kwenye mchezo wa 5 leo Alfajiri kwa alama 124-103. Nyota wa Mavericks,Luca Doncic na Kyrie Irving
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Simaanishi kuwa Taasisi hazifanyi kazi lakini katika mjadala huu nadhani tujikite kujadili ufanyaji kazi wa pamoja katika hizi taasisi ambazo zimeanzishwa hapa nchini kwa mfano NEMC na TFS, NEMC na taasisi zingine zote, kwa bahati mbaya sana kila taasisi ni kama inafanya kazi

'Simaanishi kuwa Taasisi hazifanyi kazi lakini katika mjadala huu nadhani tujikite kujadili ufanyaji kazi wa pamoja katika hizi taasisi ambazo zimeanzishwa hapa nchini kwa mfano NEMC na TFS, NEMC na taasisi zingine zote, kwa bahati mbaya sana kila taasisi ni kama inafanya kazi
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Moja ya mafanikio makubwa katika sekta ya utalii nchini ni kuongezeka kwa mapato yatokanayo na utalii ambapo kwa utalii wa ndani peke yake mapato yameongezeka kutoka shilingi bilioni 46.3 kwa mwaka 2021 hadi kufikia bilioni 173.3 kwa mwaka 2023 ikiwa ni sawa na ongezeko la

'Moja ya mafanikio makubwa katika sekta ya utalii nchini ni kuongezeka kwa mapato yatokanayo na utalii ambapo kwa utalii wa ndani peke yake mapato yameongezeka kutoka shilingi bilioni 46.3 kwa mwaka 2021 hadi kufikia bilioni 173.3 kwa mwaka 2023 ikiwa ni sawa na ongezeko la
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa jimbo la Buchosa ambalo liko wilayani Sengerema, Mhe. Erick Shigongo wamewasilisha hoja yake bungeni na kuomba ijadiliwe kwa upana ambapo amesema kwa kipindi cha miaka mitatu watu 36 wameliwa na mamba katika jimbo lake

Amesema kwa mujibu wa sheria mamba wanalindwa na

Mbunge wa jimbo la Buchosa ambalo liko wilayani Sengerema, Mhe. Erick Shigongo wamewasilisha hoja yake bungeni na kuomba ijadiliwe kwa upana ambapo amesema kwa kipindi cha miaka mitatu watu 36 wameliwa na mamba katika jimbo lake Amesema kwa mujibu wa sheria mamba wanalindwa na
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Mimi katika mkoa huu wa Dar es salaam nimepewa jukumu kubwa la kuhakikisha nazuia mikaa inayotoka mikoani, jukumu hilo kwakweli mimi silifanyi niwe mkweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu'

'Tumetumia nguvu nyingi kuzuia mikaa na hatujawekeza nguvu kule ambako mti unakatwa na

'Mimi katika mkoa huu wa Dar es salaam nimepewa jukumu kubwa la kuhakikisha nazuia mikaa inayotoka mikoani, jukumu hilo kwakweli mimi silifanyi niwe mkweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu' 'Tumetumia nguvu nyingi kuzuia mikaa na hatujawekeza nguvu kule ambako mti unakatwa na
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

'Nikiri wazi kuwa fasili ya neno mazingira bado sijaielewa vizuri, inawezekana katika mjadala wa leo nitakuwa makini kusikiliza yanayojadiliwa, nimesoma vizuri sana nimeona wanasema ni vitu vyote vinavyozunguka ardhi, vinavyotuzunguka sasa neno vyote ni kama halina mipaka,

'Nikiri wazi kuwa fasili ya neno mazingira bado sijaielewa vizuri, inawezekana katika mjadala wa leo nitakuwa makini kusikiliza yanayojadiliwa, nimesoma vizuri sana nimeona wanasema ni vitu vyote vinavyozunguka ardhi, vinavyotuzunguka sasa neno vyote ni kama halina mipaka,
account_circle
EastAfricaRadio(@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

Tumeshuhudia wakufunzi wa mambo mengi kwenye mitandao ya kijamii, lakini vipi kwa upande wako ukiwa kama binti, mzazi au mlezi. Umeshawai kutana na Elimu ya kwenye ?

Binti Salama ni haki yako inasimama nawe kuhamasisha upatikanaji wa

Tumeshuhudia wakufunzi wa mambo mengi kwenye mitandao ya kijamii, lakini vipi kwa upande wako ukiwa kama binti, mzazi au mlezi. Umeshawai kutana na Elimu ya #Hedhi kwenye #SocialMedia? Binti #HedhiSalama ni haki yako #Namthamini2024 inasimama nawe kuhamasisha upatikanaji wa
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Mtangazaji wa kissa_daniel ni miongoni mwa wanahabari walioongozana na Rais wa Tanzania Samia Suluhu kuelekea nchini Korea Kusini kwa ziara ya kikazi ya siku 7.

Kwa updates zote kuhusu na ziara hiyo usiache kufuatilia kwenye mitandao yetu ya kijamii.

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari vya Makampuni ya IPP wakiwa kwenye msafara wa Rais Samia Suluhu kuelekea Korea Kusini kwenye ziara ya kikazi ya siku saba. kissa_daniel

#PICHA Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari vya Makampuni ya IPP wakiwa kwenye msafara wa Rais @SuluhuSamia kuelekea Korea Kusini kwenye ziara ya kikazi ya siku saba. @kissadaniel2 #EastAfricaTV
account_circle