EastAfricaRadio
@earadiofm
Official account for East Africa Radio
ID: 386954529
08-10-2011 06:27:04
183,183K Tweet
1,3M Takipçi
10 Takip Edilen
#KIPENGA nsajigwa_senior anasema kuwa hivi sasa kocha Gamondi anamuamini sana Dube kama mshambuliaji namba moja halafu kisha washambuliaji wengine kama Mzize, Baleke, na Musonda ndiyo wanafuata nyuma yake. Wangapi mnakubaliana na hii? #Kipenga #EastAfricaRadio
#KIPENGA nsajigwa_senior anasema kuwa viungo washambuliaji watatu wa Yanga, Pacome, Maxi na Aziz Ki hivi sasa ni kama vile wame-relax sana tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita ambapo walikuwa wanajituma zaidi. Wangapi mnakubaliana na hii? #Kipenga #EastAfricaRadio
#HABARI Waziri wa Kilimo Hussein M Bashe amepiga marufuku wafanyabiashara wanaonunua kahawa kwa njia ya Kangomba na kuagiza wakamatwe huku akisisitiza kuwa uwekezaji mkubwa unaofanywa katika zao hilo umelenga kuteka soko la kahawa ya Tanzania kimataifa. Amesisitiza kuwa serikali
#VIDEO Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara, Isihaka Mchinjita amesikitishwa na Jiji la Dar es Salaam katika baadhi ya maeneo kuwa na uhaba wa maji akilitaja eneo la Kibamba jijini humo na kudai kuwa upo mtaa unaopata maji mara moja kwa mwezi. #EastAfricaTV
#KIPENGAXTRA Shabiki wa klabu ya Simba @mchungaji_wa_simba anasema kuwa kama Yanga wanamtaka Ahmed Ally aje kwenye press yao basi watoe bilioni 1. #KipengaXtra #EastAfricaRadio