🇹🇿 Desmond_JJ🇹🇿 (@desmond_jj) 's Twitter Profile
🇹🇿 Desmond_JJ🇹🇿

@desmond_jj

Mshairi wa kiswahili|Mshindi wa heshima,tunzo za ushairi za Ibrahim Hussein _Bilisi Atoke_ 2016|📋|Mwalimu
🇹🇿Tanzania nyumbani🇹🇿|

ID: 395389093

calendar_today21-10-2011 15:51:25

2,2K Tweet

413 Followers

653 Following

Bonge La Afya (@bongelaafya) 's Twitter Profile Photo

Chifu Kiluswa aliomba wamishenari wajenge hospitali katika eneo la Ukinga ambako kulikua hakuna huduma za afya. Wamishenari wakakubali na tarehe 30/11/1961 mwalimu Nyerere akaifungua. Kusini hii ndio Muhimbili yao, kwa mifupa hii ndio MOI yao. Consolatha Ikonda Hospital

Chifu Kiluswa aliomba wamishenari wajenge hospitali katika eneo la Ukinga ambako kulikua hakuna huduma za afya. Wamishenari wakakubali na tarehe 30/11/1961 mwalimu Nyerere akaifungua. 

Kusini hii ndio Muhimbili yao, kwa mifupa hii ndio MOI yao.

Consolatha Ikonda Hospital
CHECHEN KAKA🇹🇿 (@fransiscogod) 's Twitter Profile Photo

🇹🇿 Desmond_JJ🇹🇿 ISIKE🗝 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Nadhani watz wengi bado hawajui sheria zinavyofanya kazi wakati wa uchaguzi. Wakala anaesimamia interest za mgombea wake kituoni anamaliza jukumu lake kituo kinapomaliza kuhesabu kura Ukienda kwenye majumuisho kila chama kinatakiwa kuwa na wakala mwake kwenye kituo cha majumuisho

CHECHEN KAKA🇹🇿 (@fransiscogod) 's Twitter Profile Photo

TFF TANZANIA Mwambieni Huyu Kocha wetu hawa Morocco ni timu ya kawaida tu na ina wanaume 11 sawa kabisa na Taifa Stars. Kuwaogopa ni kosa la kifala kabisa. Tupambane kwa kushambulia... Tukifungwa ni matokeo tukiwa tunasaka ushindi kuliko kufungwa kiuoga namna hii.