Tajiri Kichwa (@tkichwa) 's Twitter Profile
Tajiri Kichwa

@tkichwa

Fukara mnara sina busara weka mibara nije kusala.Unalalwa.

ID: 1477561610302599172

calendar_today02-01-2022 08:45:40

938 Tweet

82 Followers

32 Following

Rajamu (@dadaconso) 's Twitter Profile Photo

Mnapenda sana kuogopwa na kuabudiwa.. To a point akitokea mtu hawaogopi Wala kuwaabudu mnakuwa shocked.. mnashindwa kujishikilia.. πŸ₯ΊπŸ₯Ί

β—‹π—™π—™π—œπ—–π—œπ—”π—Ÿπ—§β—‹π— π— π—£π—”π—‘π—§π—›π—˜π—₯ β˜ͺ (@1tommpanther) 's Twitter Profile Photo

πŸ–πŠ π‹πŽπ‚πŠ 𝐒𝐂𝐑𝐄𝐄𝐍 | π‡πŽπŒπ„ 𝐒𝐂𝐑𝐄𝐄𝐍 𝐖𝐀𝐋𝐋𝐏𝐀𝐏𝐄𝐑 𝐓𝐇𝐑𝐄𝐀𝐃 𝐋𝐄𝐓'𝐒 π†πŽ

πŸ–πŠ π‹πŽπ‚πŠ 𝐒𝐂𝐑𝐄𝐄𝐍 | π‡πŽπŒπ„ 𝐒𝐂𝐑𝐄𝐄𝐍 𝐖𝐀𝐋𝐋𝐏𝐀𝐏𝐄𝐑

𝐓𝐇𝐑𝐄𝐀𝐃

𝐋𝐄𝐓'𝐒 π†πŽ
NGUCHIROπŸ‡ΉπŸ‡Ώ (@nguchiro47) 's Twitter Profile Photo

πŸ‘‰ Luhaga Mpina ni mmoja wa viongozi wanaoamini kuwa siasa ni huduma, siyo njia ya kujinufaisha binafsiβœοΈπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

πŸ‘‰ Luhaga Mpina ni mmoja wa viongozi wanaoamini kuwa siasa ni huduma, siyo njia ya kujinufaisha binafsiβœοΈπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Mbwaa wa Ileje. (@baharyy25) 's Twitter Profile Photo

millardayo Achen huu usenge punguzen bei ya mafuta yeye hata akienda kwa baiskel haitusaidii kitu kama bei iko juu ya mafuta, bidhaa na gharama za maisha zinapanda sio kwa sababu yeye anatembea na msafar wa magari mia 200 hapana coz ya mafuta yamepanda, achen kutuona kama watoto.

Johnbest Mwahaja (@johniezebest) 's Twitter Profile Photo

Kila msichana ana haki ya kuchagua maisha yake bila hatari. Tujenge uelewa, tuimarishe huduma salama, na tuwape vijana nguvu ya kufanya maamuzi sahihi. Cc; Binti Salha Foundation #BeyondLabelsVoices

Kila msichana ana haki ya kuchagua maisha yake bila hatari. Tujenge uelewa, tuimarishe huduma salama, na tuwape vijana nguvu ya kufanya maamuzi sahihi.

Cc; <a href="/BintiSalhaFound/">Binti Salha Foundation</a>

 #BeyondLabelsVoices