Siku ya jana nilipata mualiko kutoka Chuo kikuu cha Humboldt kupitia Baraza la Kiswahili la Berlin ( BALAKI-BE) na kupewa nafasi ya Kuwasilisha mada, Wasilisho langu lilihusu, (Nafasi Ya Hip Hop katika kukuza Maadili mema ๐น๐ฟ).
Kwa taarifa zaidi tembea IG yangu.
Life lessons from mzee Faraji
1. Usilale na gari lisilo na mafuta
2. Usilale na simu isiyo na salio
3. Usiadhibu mtoto ukiwa umelewa
4. Social capital ni msingi wa maisha ya kiafrika
5. Oa mchaga๐๐ป
Kama bado hujapata nakala ya #KATIBA_MPYA album Bei ni TSH 25000/= unaipata Kwa Email/Whatsapp/Telegram
Check na +255654600065/+255747828275
NICAS J.M.MACHUCHE
#SBEntertainment : ๐
Uthabiti na usahihi wa kumbukumbu zangu wanijuza ya kuwa ilikuwa ni kati ya miaka ya 2008 - 2011 hivi wakongwe hawa walipoteka soko la filamu za mapigano nchini.