Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile
Ibua Tanzania

@ibuatz

Unlocking Youth Potential

ID: 1163455368707616768

linkhttp://bit.ly/story-kijiweni-4 calendar_today19-08-2019 14:19:21

191 Tweet

620 Followers

20 Following

Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

Vijana milioni 13.2 kati ya miaka 16-24, hawana bima ya afya. Hii ni fursa ya Tsh. Bilioni 52.8 kwa watoa huduma za bima. Je, watoa huduma za bima waongeze nguvu wapi kushawishi vijana kuhusu bima? Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, tembelea: tinyurl.com/y6rvdlwe

Vijana milioni 13.2 kati ya miaka 16-24, hawana bima ya afya. Hii ni fursa ya Tsh. Bilioni 52.8 kwa watoa huduma za bima. Je, watoa huduma za bima waongeze nguvu wapi kushawishi vijana kuhusu bima? Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, tembelea: tinyurl.com/y6rvdlwe
Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

Tazama tamthilia ya IBUA! Msimu wa 2, sehemu ya 1. Baada ya misukosuko ya malipo kwa ajili ya matibabu alipopata ajali ya bodaboda, Mpinga amejiandaa vipi sasa? tinyurl.com/drama-series-s2 Femina Hip Clouds Media Fern (T) Company Ltd Studio 19😎 Msichana Initiative Youth of UN Tanzania TYVAVijana

Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

1% tu ya vijana kati ya miaka 16-24 wanakopa kwenye mabenki, wakati 8% ya vijana hawa hukopa kwenye vikundi vya kifedha. Hali gani inachangia vijana kukimbilia vikundi kupata mikopo? Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, tembelea: tinyurl.com/y6rvdlwe

1% tu ya vijana kati ya miaka 16-24 wanakopa kwenye mabenki, wakati 8% ya vijana hawa hukopa kwenye vikundi vya kifedha. Hali gani inachangia vijana kukimbilia vikundi kupata mikopo? Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, tembelea: tinyurl.com/y6rvdlwe
Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

86% au milioni 6.2 ya vijana kati ya miaka 16-24 hawana akaunti za benki. Hii ni fursa ya Tsh. Bilioni 628 kama kila kijana wa rika hili akifungua akaunti na kuweka Tsh. laki 1. Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/y6rvdlwe

86% au milioni 6.2 ya vijana kati ya miaka 16-24 hawana akaunti za benki. Hii ni fursa ya Tsh. Bilioni 628 kama kila kijana wa rika hili akifungua akaunti na kuweka Tsh. laki 1. Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/y6rvdlwe
Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

80% ya vijana kati ya miaka 16-24 hukopa kutoka kwa familia na marafiki. Ni vikwazo gani katika taasisi za kifedha vinavyosababisha hali hii? Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/y6rvdlwe

80% ya vijana kati ya miaka 16-24 hukopa kutoka kwa familia na marafiki. Ni vikwazo gani katika taasisi za kifedha vinavyosababisha hali hii? 
Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/y6rvdlwe
Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

1% tu ya vijana kati ya miaka 16-24 wana hati miliki, moja ya vitu muhimu kwa ajili ya kupata mikopo. Je, watoa huduma za fedha mnalionaje hili katika kumfikia huyu kijana? Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/finsightslabag…

1% tu ya vijana kati ya miaka 16-24 wana hati miliki, moja ya vitu muhimu kwa ajili ya kupata mikopo. Je, watoa huduma za fedha mnalionaje hili katika kumfikia huyu kijana?
Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/finsightslabag…
Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

Tazama tamthilia ya IBUA! Msimu wa 2, sehemu ya 5. Moza amekuwa akipewa ushauri mzuri sana na mama Malengo kuhusu namna ya kutunza daftari la mahesabu ya biashara yake. Lakini, daftari limekaa sawa kweli? youtu.be/YBTV4Bpo3Pc TYVAVijana Femina Hip Msichana Initiative Youth of UN Tanzania

Ibua Tanzania (@ibuatz) 's Twitter Profile Photo

70% ya vijana kati ya miaka 16-24 wanahusika katika maamuzi ya kifedha kwenye kaya zao, lakini wengi wao bado wanategemea ushauri wa kifedha kutoka kwa familia na marafiki. Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/finsightslabag…

70% ya vijana kati ya miaka 16-24 wanahusika katika maamuzi ya kifedha kwenye kaya zao, lakini wengi wao bado wanategemea ushauri wa kifedha kutoka kwa familia na marafiki. 
Kwa takwimu zaidi za vijana na huduma za fedha, soma jadala la FinSights Lab: tinyurl.com/finsightslabag…