
Tanzania Editors Forum (TEF)
@editorsforums
We defend freedom of expression and promote editorial excellence as keystone to realization of mature democracy in Tanzania.
ID: 1106545504333283328
http://tanzaniaeditorsforum.com 15-03-2019 13:19:41
3,3K Tweet
3,3K Followers
674 Following


















Mwanachama wa TEF ambaye pia ni Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania Media Women , Dk. Rose Reuben akizungumza wakati wa mada ya 'Tunawezaje kubadili dhana na mtazamo juu ya nishati safi ya kupikia?' kwenye Kongamano la Pika Kijanja 2025, jijini Dar es Salam.
