Aliyekuwa kocha wa Simba SC, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amekosoa usajili uliofanywa na klabu hiyo katika dirisha lililopita akidai haukuwa na tija kutokana na idadi kubwa ya wachezaji kutokuwa na ubora wa kuingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza.
Mbrazil huyo