Dullah_theKing🇹🇿(@DullahTheking2) 's Twitter Profileg
Dullah_theKing🇹🇿

@DullahTheking2

There's no one who can stop you except yourself...
I refuse to stop🙌🏽..

https://t.co/lCJQZQ0Mcn

ID:1527071464402391040

calendar_today18-05-2022 23:40:10

327,6K Tweets

85,1K Followers

2,2K Following

Ezekiel(@MTOTOWAKAMB) 's Twitter Profile Photo

Unadawa elf 10 naumepata hiyo hiyo elf 10 afu mtu anaekudai amekuganda utakubali kulipa hiyo elf 10 yote au utafanyeje

account_circle
Fumbo Khan(@fumbokhanJr) 's Twitter Profile Photo

Burudani ya Euro 2024 itakuwa live Kupitia Kisimbuzi chako cha Dstv.

Hii sio ya Kukosa Kwanzia juni 14 moto wa Euro unaaanza kuwaka.

Lipia Kisimbuzi Chako Mapema Kwa kupiga *150*53#

Burudani ya Euro 2024 itakuwa live Kupitia Kisimbuzi chako cha Dstv. Hii sio ya Kukosa Kwanzia juni 14 moto wa Euro unaaanza kuwaka. Lipia Kisimbuzi Chako Mapema Kwa kupiga *150*53# #MfalmeWaBoma
account_circle
Kabigwa_Afya💊(@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

UKIAMKA...!

1. Kunywa Glass 1-2 za Maji Asubuhi hii, Fanya hivyo Kwa Ajili ya Vital organs zako 🫀!

2. Pata Angalau dk 15-30 za Mazoezi ya Asubuhi, KEGEL ni MUHIMU zaidi Kwa Mwanaume!

3. Oga Maji Baridi (Zingatia mazingira na sehemu iliyopo).

4. 'Kaa Mbalii' na Sukari Nyingi.

account_circle
SATIVA17(@Sativa255) 's Twitter Profile Photo

Jana nilitangaza “SPECIAL” naona wengi waliishia kudhihaki.🔥

Mm napenda DHIHAKA zenu.🤝

Hii ni day 3 tunapiga odds 2 mfululizo.🦅

UKISHINDA 15,000/= inabaki KILINGENI.🤑

Ukikimbia baada ya USHINDI unakuwa umenisadia.👏🏾

Leo tena nitatangaza wanaotaka watanitafuta.

See you🫡

Jana nilitangaza “SPECIAL” naona wengi waliishia kudhihaki.🔥 Mm napenda DHIHAKA zenu.🤝 Hii ni day 3 tunapiga odds 2 mfululizo.🦅 UKISHINDA 15,000/= inabaki KILINGENI.🤑 Ukikimbia baada ya USHINDI unakuwa umenisadia.👏🏾 Leo tena nitatangaza wanaotaka watanitafuta. See you🫡
account_circle
𝐆𝐚𝐯𝐢𝐧𝐝𝐞 💎(@techygaspar) 's Twitter Profile Photo

Naomba repost

HP ALL IN ONE PC 24'

- Intel Core i5
- 9th GENERATION

✨MEMORY
- 8GB DDR4- RAM

✨STORAGE
- 500GB HDD drive (SSD Support)

✨DISPLAY
- 24-inch FHD (1920 x 1080) IPS
- Anti-glare finish

✨GRAPHICS
- Intel FHD Graphics

Price 950,000

Wa.me/+255685661089

Naomba repost HP ALL IN ONE PC 24' - Intel Core i5 - 9th GENERATION ✨MEMORY - 8GB DDR4- RAM ✨STORAGE - 500GB HDD drive (SSD Support) ✨DISPLAY - 24-inch FHD (1920 x 1080) IPS - Anti-glare finish ✨GRAPHICS - Intel FHD Graphics Price 950,000 Wa.me/+255685661089
account_circle
Dream_ online shop.(@Dream_onlineshp) 's Twitter Profile Photo

Timberland suede leather 👟🔥
.
Bei: 70,000/=. Size 40-45
.
Njoo Whatsapp chap nifanye delivery 🚚🛍️
.
wa.me/message/AQXUYZ…
.
Nisaidie ku Repost mteja yupo kwenye TL yako 🙏
.
MIRIAM💜 Carol Ndosi Daktari Wa Manesi 💉💊 Lubasha Jr SATIVA17 SANUKAnaCHAPO MR BEN

Timberland suede leather 👟🔥 . Bei: 70,000/=. Size 40-45 . Njoo Whatsapp chap nifanye delivery 🚚🛍️ . wa.me/message/AQXUYZ… . Nisaidie ku Repost mteja yupo kwenye TL yako 🙏 . @MiriamMkanaka @CarolNdosi @McinikaWaLamar @MarekaMalili @Sativa255 @chapo255 @Eric__Bernard
account_circle
CERTIFIED HATER.🚀(@Noedson_tz) 's Twitter Profile Photo

Washkaji wanaojifanya wanyamwezi na kuwatoa toa out wanawake kila mara (Uzungu mwingi) ndio wanaongoza kugongewa Wanawake zao.

Amini nakwambia.

account_circle
nameless97💉🩸(@msonjo972) 's Twitter Profile Photo

Sikuhizi uki mkopesha mtu usimwambie nitakulipa mwisho wa mwezi mwambie hata baada ya miezi 3 maana siku zinakimbia kinyama

Sikuhizi uki mkopesha mtu usimwambie nitakulipa mwisho wa mwezi mwambie hata baada ya miezi 3 maana siku zinakimbia kinyama
account_circle