Hizi ndizo sifa zangu mimi ππΏππΏππΏ
1: Mweusi
2: Mrefu
3: Nywele nzuri
4:Ndevu
5: Romantic boy
Lakin cha ajabu hawanielewi, halafu ukikaa nao utaskia wanataja sifa zote ambazo mimi ninazo,ntakuja niwatukane.π
Dullah_theKingπΉπΏ acha kukoroma kwani we ni tajiri π
March Bizness Mr Healthππ Tatu Utamu Fetty Wakuache Mkunaji mpembaπ Futa Hii comment yako,
Kulikua hakuna ulazima wa Kutag hizo acc, Futa Mara Moja.
Mr Healthππ Kaka mwambie aje kwangu, ntakua Nampa bamia changa kwa mwezi mzima, halafu nta mfanyia practical kuona kama imefanya kazi, please let her feel better with me!!,NB: najua ku care so asiwaze, half usisahau kumpa sifa zangu,mimi ni kijana mpole na mstaharabu