
DARMPYA TV
@darmpyatv
ID: 829388725
17-09-2012 16:34:36
97,97K Tweet
265,265K Takipçi
1,1K Takip Edilen

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Antiphas Lissu amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza kusikiliza kesi zinazomkabili Mei 19,2025. Lissu anakabiliwa na mashtaka ya uhaini na kuchapisha taarifa za uongo

Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo @ChademaTz Tundu Antiphas Lissu leo Mei 19,2025 katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.














